EP cosmetics
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,494
- 3,880
Mganga wa kweli ni Mungu pekee. huku ukifanya kazi kwa bidii na akili, kutumia vizuri opportunities utazopata na BAHATI wakati sahihi.
Aende wapi boss?😀Huko unampoteza tuuu.
Mmmnh🤔🤔...nicheki 0712 163245
niko mvuti
tamu au chungu ?Mmmnh🤔🤔...
Unataka umtapeli kijana😃😃😃😂😂tamu au chungu ?
hapana, wazaramo wamenifundisha ugangaUnataka umtapeli kijana😃😃😃😂😂
Ndo nasikia leo mganga wa kizaramo😃😃🧐hapana, wazaramo wamenifundisha uganga
niko kwa pro level
hapa mtaani wa kwanza ni mama mariam wa mzee mwinyi, toka Mloka, siyo MasasiNdo nasikia leo mganga wa kizaramo😃😃🧐
Kweli nimeamini mganga hajigangi😃😃😃🤣🤣🤦♀️hapa mtaani wa kwanza ni mama mariam wa mzee mwinyi, toka Mloka, siyo Masasi
wa pili mie, natoa majini mahaba, walioathirika na nyeto, natoa hilo pepo pia, kama unataka mchumba chap unapata pia
Aje huku ndipo kwenye utajiri wa kweli.Aende wapi boss?😀
Hata mimi nahitaji na nimedhamiliaUmedhamiria?
😂 😂 😂 loh umeshindaKweli nimeamini mganga hajigangi😃😃😃🤣🤣🤦♀️
Jamani kwa anayemfahamu mganga mkweli a siekua na utapeli ndani yake anijuze au ikishindikana kumjua basi hata anayejua mikoa wanapopatikana anijuze tafafhalii..Asanteni
unakifua ?
Hahaha🤣🤣🤣🤣🤣🙌😂 😂 😂 loh umeshinda
Tayari nimeenda nimerudi chapUna uhakika unataka huo utajiri wa kishetani?
Hebu kafikirie Tena halafu uje. Nenda kamtizame mama yako, mkeo wanao na wote unao wapenda halafu uje.
Una umri gani?Tayari nimeenda nimerudi chap
Amina sana.Aje huku ndipo kwenye utajiri wa kweli.
"Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi."