Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Status
Not open for further replies.
1984 nikiwa JKT pale Ruvu walikuja kuli cruit watu waliopenda kujiunga na taasisi hiyo na vijana wengi waliokuwa wamemaliza form 6 walikwenda kwenye interview na walichaguliwa watu wasiopungua kama 6 tu kati ya umati wa watu kama 200 hivi.
Huwezi kujua viwango wanavyotaka p53. Hiyo siku zote ni siri yao. Ingawa maswala ya elimu ni priority kwao kwani wanataka wasomi siku hizi, lakini si rahisi kujua nini wanahitaji hata uchaguliwe hata kama ungefanya interview na wewe ni msomi. Wasomi wangapi wana hata PHD na hawako huko?
Natambua kuwa hapo hapo chuo kikuu mlimani ni recruiting center yao watu wa UWT na wanawa target wasomi sijui katika vyuo vingine. Wakikuhitaji sawa kama hawajakuhitaji, achana nao ziko kazi nyingi za kujenga taifa tena zenye heshima kuliko hiyo.
Wewe komalia kazi unayofanya achana na kazi zisizoeleweka na zinazoweza kukuweka katika risk maishani mwako. Unajua nasema nini?


sawa mkuu nimekupata na nitazingatia ushauri
 
Some are interesting in read and others are practical.
 
Hivi kwanza big deal ya kuwa spy ni nini? kubeba kibastola kila uendako na kujisikia wewe ni superman au superwoman au?

Kwa muono wangu, mtu ukiwa ktk mambo hayo hata maisha huwezi kuyafurahia kwa sana. But to each his own....

Sio wote wanaobeba bastola lol.
 
wakuu heshima mbele sana
kwa mnaojua,nisaidieni kunipatia vigezo ambavyo vinaweza kumfanya mtanzania kufanya kazi usalama wa taifa.mtaani nimesikia wakisema hizi kazi huwa unachaguliwa tangia ukiwa shule ya msingi au sekondari huwezi kujipeleka mwenyewe kuomba hizi kazi.je ni kweli?je ni kweli ni lazima upitie mafunzo ya kijeshi kabla ya kujiunga usalama wa taifa?
mimi napenda sana kufanya kazi na usalama wa taifa je siwezi kujiunga uko baada ya miaka 2 nikimaliza masomo yangu(nina miaka 28,nafanya masters sasa).
mods naomba muiache kidogo halafu mnaweza kuiamisha panapostahili.

Nchi kama marekani kazi hizo hutangazwa na tangazo huwa hivi.


“This job is For the extraordinary individual who wants more than a job, this job will challenge the deepest resources of your intelligence, self-reliance, and responsibility.

It demands an adventurous spirit, a forceful personality, superior intellectual ability,toughness of mind and the highest degree of integrity.

It takes special skills and professional discipline with an excellent academic record to produce results. (Tanzania???mhhhh)

You will need to deal with fast-moving, ambiguous, and unstructured situations that will test your resourcefulness to the utmost.

All applicants must successfully complete a thorough medical and psychological exam, a polygraph interview, and an extensive background investigation.”

Idara hiyo hujulikana kama Intelligence maana yake ni sehemu ya watu wenye akili sana sio wajinga wajinga waliofeli masomo au ambao maisha yamewapiga mwereka sasa wanatafuta popote pa kujishika.Watu hao intelligent huwa wana akili kuanzia darasani hadi nje.Waweza kuwajaribu kama wakimbiaji wakakimbia sana.Ukawajaribu kama waimbaji wakaimba sana.Ukawaingiza darasani wakafaulu mno.Ni watu ambao karibu ukimweka kila eneo aweza fanya vizuri kushinda hata walio katika eneo hilo.Ni watu above avarages almost katika maeneo mengi.

Nchi zingine Ukiwa na mtoto kwa mfano ambaye anajiweza mno kimasomo na anaweza kuongoza mfano shuleni vizuri kama kiongozi wa darasa au shule ,na akanyakua zawadi shuleni nyingi kwenye maeneo mengi ya darasani na nje ya darasa mfano michezo,skauti,n.k kwa muda mrefu akiwa anaongoza darasani na nje yawezekana akafaa baadaye usalama wa Taifa mlee na umkuze vizuri kitabia n.k unatakiwa mzazi u- mshauri ajiunge na jeshi lolote baadaye akimaliza digrii zake vizuri na akapata pass nzuri.mengine waachie wengine watajuana naye mbele kwa mbele na si lazima arudi kukwambia kuwa sasa niko usalama wa taifa.

Wanaposema mtoto hutizamwa kuanzia akiwa mdogo ni kuwa mwenye akili sana anakuwa hivyo kuanzia mdogo na anaendelea hivyo (consistency) hadi utu uzima anapomaliza digrii zake.Na juhudi zake na kujituma hupimwa kuanzia mdogo hadi anamaliza digrii zake ndani na nje ya Darasa.Na tabia hutizamwa toka mdogo ndani na nje ya darasa kabla ya kufikia uamuzi wa kuona kweli afaa kuitwa intelligent anayeweza kuingizwa Intelligence unit baada ya kutizamwa vigezo vingine.

Nchi iwe na utaratibu wa kutangaza au ule wa siri lakini cha msingi vigezo hivyo hubidi vizingatiwe visipozingatiwa huwi na intelligence unit bali dull unit ambayo madude kama ya Richmond na dowans ni rahisi tu kupita sababu akina richmond wanakuwa na akili kuliko ma-dull yaliyoko usalama wa taifa yaliyoajiriwa bila vigezo vya intelligence.
 
Una uhakika hiyo profile ni ya kweli? kama ana bachelor's na kajifanya ana master's utajuaje kuwa ni yeye akija kutuma maombi ya kazi? akiwa na miaka 25 na kajifanya ana miaka 28 utamstukia akija? kwa vile katumia jina bandia uwezekano wa yeye kubandika hiyo profile na vitu visivyo vya kweli kwenye online forum ili aweze labda kupata idea yoyote ile ni mkubwa...

Au unataka kunambia watu vitu wanavyoandika humu kuhusu wao wewe unaviamini moja kwa moja bila hata kutilia shaka? Don't tell me you're that gullible...


kwi kwi kwi Nyani bin Ngabu ...the JF Spy
 
...

something is not right kwenye hii thread.


Your a dead right on that one Mkuu Icadon as it seems most of the posts depict individual perceptions of what "Usalama wa Taifa" is all about. "Usalama wa Taifa" seems to try to do what is done by more than a dozen agencies in developed countries. Ndiyo maana eventually wanatia aibu kwa ku-stack tape recorders chini ya vitanda, sijui walizinunua hapa Spycam Surveillance - Edic Mini Tiny B21-2240

Wenzetu walio makini na "Usalama wa Taifa" wa nchi zao wana idara zifuatazo ambazo zote zinajumuika kutekeleza lengo la usalama wa taifa lao;
UNITED STATES INTELLIGENCE COMMUNITY - WHO WE ARE

Na wako waazi kiasi cha kukuambia wazi kuwa, ukiwa bingwa wa lugha ya kiswahili then apply online kwa vile wanahitajika wataalam wa lugha ya kiswahili (falls under other Sub-Saharan Africa languages category) na kuna kianzio kinono; Acquisition, Finance and Business Management Careers with the National Security Agency (NSA)

Na kweli "Usalama wa Taifa".

ZalendoHalisi
 

Your a dead right on that one Mkuu Icadon as it seems most of the posts depict individual perceptions of what "Usalama wa Taifa" is all about. "Usalama wa Taifa" seems to try to do what is done by more than a dozen agencies in developed countries. Ndiyo maana eventually wanatia aibu kwa ku-stack tape recorders chini ya vitanda, sijui walizinunua hapa...

Wenzetu walio makini na "Usalama wa Taifa" wa nchi zao wana idara zifuatazo ambazo zote zinajumuika kutekeleza lengo la usalama wa taifa lao...

You are dead wrong on that one. Hilo ndilo lililosababisha wakapenyezwa na magaidi wa tarehe 11 mwezi wa tisa. Si jambo la kuiga.

"The current IC remains fragmented with too many agencies, lacks the capacity to effectively integrate and organize its activities, and does not have the right balance of collection and analytical assets to meet the intelligence needs of the 21st century. Reform and additional resources are needed.

Post 9/11 Initiatives

The events of September 11, 2001 threw into sharp relief the problems inherent in the current U.S. intelligence system. After 9/11, the task of coordinating and integrating terrorist threat intelligence was given to the newly created Department of Homeland Security (DHS)--although even now there appears to be overlap and tensions concerning the roles and missions among the DHS, the FBI Counter-Terrorism Division, the CIA Counter-Terrorism Center, and other agencies. The challenges facing the Information Analysis and Infrastructure Protection Directorate in DHS offer a case in point. This is the first time that the task of amalgamation of intelligence from law enforcement, private sources, "domestic information" (such as tips by concerned citizens), and intelligence agencies has been done by a single agency. Over time, some of these problems, such as duplication of efforts by different agencies, will likely smooth out."

The Heritage Foundation:
The Case for Intelligence Reform: A Primer on Strategic Intelligence and Terrorism from the 1970s to Today.

James Jay Carafano, Ph.D
Heritage Lecture

Sasa, tusiige kunya kwa tembo.
 
That was then, idara hizo bado zipo ila kilichofanyika ni kuondoa ukiritimba ambao ulikuwa unazuia urahisi wa sharing of intelligence. Issue siyo kuiga kunya kwa tembo ila kuangalia wenzetu wanafanyaje shughuli hizo na kuiga mazuri na kujifunza kutokana na makosa yao. BTW wenzetu angalau wanakubali kujikosoa wenyewe.
 
Well, kwanza hao sio "wenzetu" katika masuala ya Usalama tunayokabiliana nayo. Kuiga kunya kwa tembo kutakuwepo kama tutajifanya tunahitaji hizo idara zote.

Nitajie a couple credible national security threats Tanzania, zaidi ya kulinda Kikwete asipigwe mawe tena vijijini usiku.
 

zamani hata mtoto alikuwa hajui kama baba yake anafanya kazi huko...kuna mzee mmoja alifariki karibuni ..alikuwa huko ,that old man was very desplined [kama mfano tu]....hakuna siku amepata hata kutamka,hata walevi wenzake walikuwa wakijuwa yeye ni shoe shiner style mission town...siku anazikwa ndio wakaaza kushangaa ...alaa kumbe naye huyu alikuwa na mwajiri [pale mc alipotangaza wafanyakazi wenzake ..bila kutaja wa taasisi gani waje waweke shada la maua]

....TUWEKE UTARATIBU KAMA KUNA NAFASI 1000 TUNAAZA NA WALE VIJANA WALIOJITOLEA ..ZIKIBAKI NDIO WENGINE WAFIKIRIWE!!!!!

Kama walitangaza wafanyakazi wenzake bila kutaja taasisi, kwanini watu wasijue ni Shoe shiners wenzake na wahisi ni usalama wakati Marehemu alikuwa shoe shiner. Nadhani hata huyo Mzee alikuwa anajulikana ni Usalama.

Kuweka utaratibu wa kujitolea ndio watu waajiriwe, basi kila mtu atajitolea, manake huko kujitolea ndio kutakuwa chanzo cha kazi.

Mkuu p53, kwani kazi unayotaka ni usalama tu?,kwanini usitafute na kazi nyingine?. Kutokea kwa hiyo kazi nyingine dhamira,utendaji na ulivyo inaweza kuwa sababu ya kuja kuwa usalama. Manake hawa jamaa wako kila kona, wakikuona unafaa watakupendekeza.
 
Kuna mzee mmoja kule mtaani kwetu SUKA-KIMARA anajiitaga USALAMA WA TAIFA ,kwa mujibu wa maelezo kutoka midomoni mwake,na amejithibitishia kuwa ANA MKONO MREFU SANA serikalini.wewe mtafute kama vipi.ukiwa suka kuna baa fulani inaitwa BUFFALO,huwa anakamata mvinyo pale
 
Wadau hzo cyo kweli,issue znanatangazwa na applications znafanywa kama kazi zingine...fatilieni vyanzo husika
 
Siku hizi UWT ni mapandikizi tu . Kwa asilimia kubwa utakuta ni watoto wa hao hao wakubwa is like recycling of the system. Sasa unajua kuna wakati itafikia system yote itacease kwa sababu watu hawafuati sifa au ujuzi wa mtu. Na ndio maana siku hizi hata siri za serikali utazisikia mtaani au kijiweni na wanaotoa ni hao hao pamoja na kula viapo.
 
Shaycas,

Unamaanisha watu wanaotaka kazi Usalama wa Taifa Tanzania wakapange mstari nyumbani kwa mstaafu Mkurugenzi wa Usalama, Hassi Kitine, kwa mazungumzo ya faragha, ndio wewe ulivyopata kazi hivyo huko Usalama? Na kama mtu hamjui Kitine akamwone nani, Apson? Hakuna utaratibu rasmi, sio?

Mjomba, usifikiri kila mwananchi ana access na the Apson's and the Kitine's of the world. Hivi mbona watu wengine wako so out of touch?

Eti unafundishwa "how to secure info and to protect it against un authorized personnel"!

Ndio ukachero huo uliofundishwa huko?


Kwa kuongeza ni kuwa sasa hivi hakuna kazi ya kulinda uslama wa taifa, kama ingekuwepo Taifa linsingekuwa hapa lilipo sasa, isipokuwa kuna kazi ya kulinda viongozi wa taifa. Sasa hivi heshima ya taifa iko chini kuliko hata ilivyokuwa wakati wa mzee ruksa, usalama wa taifa unatia shaka kiasi kwamba hata Kagame akitaka kufanya jeuri anayofanya Kongo anaweza kufanya TZ na tukahangaika ku-deal naye. Corruption imeingia huko TISS kiasi kwamba hata kuwashughulikia kina Chenge, Mkapa, Lowassa etc wanashindwa au wanaogopa, kinyume chake ni kuwa sasa ndio wanawalinda. Na bahati mbaya zaidi ni kuwa jeshi letu bado liko kwenye usingizi mnono,
 
Kuna mzee mmoja kule mtaani kwetu SUKA-KIMARA anajiitaga USALAMA WA TAIFA ,kwa mujibu wa maelezo kutoka midomoni mwake,na amejithibitishia kuwa ANA MKONO MREFU SANA serikalini.wewe mtafute kama vipi.ukiwa suka kuna baa fulani inaitwa BUFFALO,huwa anakamata mvinyo pale

huyo mzee anaitwa nani mkuu?
 
Usitoke nje ya mada bro/sister.Jamaa ana uliza atapataje hiyo kazi na kama kozi zao zina mambo ya kijeshi(mafunzo).
Kwa kuwa jamaa inaonekana anaipenda hiyo kazi,namshauri aweke mawasiliano yake hadharani (sio username yake ya hapa JF)ili wanaohusika wamtafute na naamini akiwa trainned atakuwa mzuri kwa sababu anaipenda toka moyoni na kama ana dhamira ya kweli aweke sababu walao tano za kutaka kufanya kazi hiyo ukiondoa anayosema anaipenda.
Akishindwa kufanya hivyo,kuna mambo mawili ama tayari ni USALAMA anataka kujua watu wanauchukuliaje au wanauelewaje usalama na au Anataka kujua 'wenzake' wako cautious vp kuhusu utoaje na utafutaji wa habari za kiusalama
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom