Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,049
- 143,043
Huyo anayefikiria kila mtu anayefanya kazi kwenye Intel Org ni SPY aka James Bond.
ahahahahahaaa....that's kicks mayn...
Huyo anayefikiria kila mtu anayefanya kazi kwenye Intel Org ni SPY aka James Bond.
Umeshtukia eh?
P53 unataka kuwa kwenye field au kwenye desk?
.................hii mada tumeshaijadili humu ndani ndani ya thread ..NATAFUTA KAZI USALAMA WA TAIFA....kuna inputs nyingi tafuta hiyo thread...
P53 unataka ufanye kazi usalama wa taifa kuna nini?...Una Ajenda gani? kuna lipa au? au unapenda kuwa shushu? kama una akili zako Timamu tafuta kazi ingine ya kufanya na si ya kazi ya kuchunguza watu. ni kazi ambayo at the end hutokuwa na raha nayo.
Pili moja ya ABC za kutaka kazi sehem ni kujua sehem au kampuni hio inadeal na nini...then vema ukaanza kujiandaa mapema incase for interview.
Nakubaliana na Kuhani, huu utaratibu usio rasmi ambao tumejijengea ya kuwa huwezi pata kazi sehem hadi ujuane na mtu si utaratibu mzuri na sie watafuta kazi tunajijengea mazingira ya kutojiamini ya kuwa unaweza pata kazi pasina connections.
Kama alivyosema shy, kila ukiona kazi Gazetini au Mtandaoni au kwa juhud zako binafsi za kupita maofisini na kuacha CV yako, nafikiri unaweza jikuta unaitwa na Hao the so called usalama wa Taifa. Wala kuingia Usalama hapahitaji connections...kwa utaratibu mpya wa sasa Usalama wengi huajiriwa kama wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani, from there then wanakuita kukuuliza kuwa kama unaweza fanya kazi nao, ukikubali watakufanyia uchunguzi wao, ukipita ajira umepata, na Hasa hizi kwa Proffessionals kama wewe unaefanya masters...
hao unaosikia mtaani, ni usalama wasio na elimu(wengi wao huishia form 4 au 6) au wale ambao ndugu zao au Jamaa zao wapo huko then wao ndio wanaakuuunganisha, kwani kazi ya kuchunguza inakuwa rahisi kwao, kwani tayari yeye na familia na rafiki wote washachunguzwa....
Bahati Mbaya wenzetu nchi zilizoendelea wanachukua wasomi na vipanga, sie tunachukua vijana walioishia ,F4 au F6 kuogopa kuhojiwa mara kwa mara na wasomi, maana tushazoea YES kila mara. huu ni kwa uzoefu wangu wa baadhi ya watu ambao walikuwa wakisemwa usalama wa taifa then wengi wao wanaishia F4/F6.
Mi nadhani muone hata Pinda atakupa utaratibu yeye aliingiaje uko😀
Mdogo wangu huna sifa. Hii kazi kama unataka hutakiwi kuji publish. Hutaweza kutunza hutayoshuhudia au kuyaona. Kuna kitengo cha research na recruitment kama una access nao poa tu. Mara nyingi hizi kazi kama ni kuapply huwa taarifa zinatoka ndani na huwa hazitoki magazetini. ndo maana wanopata kazi ni wale ambao wana ndugu au marafiki huko. kwa hiyo kama una mjomba yeye ndo hapo hapo. na pia ukishafanya interview wanaweza wakakuchukua hapo hapo au wakakaa kimya hata miaka minnee mitano siku wanakuja kukushtukiza wakati ulishasahau. Kama una ndugu yoyote huko mwambie upo interested then baada ya muda nafasi zikitoka atakustua. lakini usipende kuongea kwa watu kama unataka hiyo kazi sababu hutoipata. unaoongea nao hao ndo baadhi yao ni ma informer. ndo watakao kurecommend kama unafaa au laa. good luck.
Hana sifa kivipi wakati katumia jina bandia? Akienda kuomba hiyo kazi kutumia jina lake la serikali watajuaje yeye ndiye ajiitaye p53 kule Jamiiforums?
Unless kwenye cheti chake cha kuzaliwa jina lililopo ni p53, mimi sidhani kama hana sifa. And for all we know, he could be one of them already....
we hujasoma text yake vizuri. huoni ameshajifanyia kitu kinaitwa profiling.
na pia hatakuwa amshawaambia na marafiki zake before kaja hapa. Based on the profile unaweza kumjua. current masters student, age 28, interest: Usalama, Dislikes: Military Training. Atakuwa kishamuambia one of his/her friends au watu anaofahamiana nao sasa huoni kam hiyo ni profile.
Zamani Usalama wa Taifa walikuwa wanapita katika shule za Sekondari wanafanya recruting.
Usalama wa Taifa ni kazi nzuri. Ukitaka kuingia Usalama wa Taifa,lazima utakuwepo ushindani,kwa sababu watu wengi watakuwa wanaitaka hiyo kazi,wengine kwa ajili ya uzalendo,na wengine kwa ajili tu wanatafuta kazi yoyote ile waifanye. Kwa hiyo kuonana na wahusika will be only the first step.
I suggest,uende Kijitonyama,Karibu na Makumbusho kwenye Makao Makuu yao,na uingie mule ndani,uende pale reception,uwaeleze shida yako. I mean kama ukitaka kujiunga na Jeshi si utakwenda Ngome? Kwa hiyo,my suggestion is that you should just walk into their HQ,halafu utapata maelekezo pale.
Wrong!! Kijitonyama sio makao makuu, makao makuu yako karibia na St. Peters, kama anataka information aende ofisi za pale Stesheni au pale Ocean Road karibia na uwanja wa basketball wale ndio wanaweza kumsaidia. Kama hayuko Dar Es Salaam aende kwenye ofisi za wilaya au mkoa.
mkuu kabla sijajibu embu fafanua kuwa kwenye field na kuwa kwenye desk manake nini?
Haha, bado unaendelea kupoteza sifa tuu za kuwa uko unakotaka kwenda kufanya kazi(PSYKE)
Since mnawazungumzia akina James Bond and them, nitatumia mfano wa kwenye sinema.
**Jason Bourne ni field agent or Intelligence Operative/Officer
**Alex Conklin au M ni Desk officers.
Sasa since umesema hutaki military training basi wewe utakuwa unataka kuwa desk officer, mind you lazima upitie basic training ambayo ina;
-hand to hand combat(self defence etc)
-jinsi ya kutumia silaha kama bastola na bunduki
-jinsi ya kuinterrogate.
-etc etc
kama instructor wako atakuona unafaa kuwa IO mzuri atakutrain kuwa field agent, hapa ndio utapewa paramilitary training etc etc.
**Majina ya Jason Bourne na Alex Conklin ni kutoka kwenye Filamu ya Bourne Identity
M ni kutoka kwenye filamu za 007-James Bond
Huyo anayefikiria kila mtu anayefanya kazi kwenye Intel Org ni SPY aka James Bond.
Associated Press: Pakistan spy chief seen as tough on militants: Pakistan's new intelligence chief is seen as likely to strengthen the fight against al-Qaida and the Taliban, but takes the job amid U.S. concerns that elements in the country's spy agency are helping extremists. His appointment as head of the powerful Inter-Services Intelligence, the country's main spy agency, was...
Spiegel International: Germany Spy Chief under Pressure: The head of Germany's foreign intelligence agency has come under fire over admissions his employees monitored e-mails exchanged between a minister in the Afghan government and a SPIEGEL journalist. Chief spy Ernst Uhrlau will likely keep his job, but the scandal is...
NY Times: Global Economy Top Thread to US., Spy Chief Says: The new director of national intelligence warned Congress yesterday that the global economic crisis poses a graver and more immediate threat to the US than international terror, the New York Times reports.
sawa mkuu.kwahiyo all in all itategemea na uamuzi wa instructor wangu kuwa na fit wapi.
sasa mkuu icadon na wale wa kwenye msafara wa viongozi nao inakuwaje?ndiyo hao desk au field?
Inategemea wewe unataka kuwa wapi(interview ya pili), ukienda kwenye basic training ukionekana wewe una uwezo wa kuwa field agent mzuri basi instructor atakwambia na kukuuliza kama uko interested.
Wale ni bodyguards lol.
something is not right kwenye hii thread.