baba angu ni usalama wa taifa ila cjuagi anafanya kaz gan i mean anakuwa anapeleleza nn zaidi na cjui alijiungaje, ila nakumbuka kn cku ahsawahi sema nilitaka kwenda jesh nikagaiiri nikaenda usalama , afu wana chuo chao bagamoyo huwa wanaendaga , wakiwa huko no mawasiliano ya cm, ila cjui wanajifunzaga nn, yukoidarani zaidi ya miaka 30