Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Status
Not open for further replies.
inshort,hakuna utaratibu wa wazi.ila kama yupo ambaye unahisi ni UwT mweleze nia yko hope akione kweli unalengo atakupa mwongozo.ile we msomi mkuu! ukiambiwa nenda nyaruyeye miaka 5 na unajitenda na utandawazi utakubali

we msomi? Alokwambia usalama sio wasomi nani? Acha dharau.
 
by the way, why do you want to work fot the national security? to me you have missed a point already. try something else and this might fall on your way sometimes to come.
 
wakuu heshima mbele sana

kwa mnaojua,nisaidieni kunipatia vigezo ambavyo vinaweza kumfanya mtanzania kufanya kazi usalama wa taifa.mtaani nimesikia wakisema hizi kazi huwa unachaguliwa tangia ukiwa shule ya msingi au sekondari huwezi kujipeleka mwenyewe kuomba hizi kazi.je ni kweli?je ni kweli ni lazima upitie mafunzo ya kijeshi kabla ya kujiunga usalama wa taifa?

mimi napenda sana kufanya kazi na usalama wa taifa je siwezi kujiunga uko baada ya miaka 2 nikimaliza masomo yangu(nina miaka 28,nafanya masters sasa).

hebu jaribu kumPM kilahunja. Anaweza kukupa clue..
 
wakuu heshima mbele sana

kwa mnaojua,nisaidieni kunipatia vigezo ambavyo vinaweza kumfanya mtanzania kufanya kazi usalama wa taifa.mtaani nimesikia wakisema hizi kazi huwa unachaguliwa tangia ukiwa shule ya msingi au sekondari huwezi kujipeleka mwenyewe kuomba hizi kazi.je ni kweli?je ni kweli ni lazima upitie mafunzo ya kijeshi kabla ya kujiunga usalama wa taifa?

mimi napenda sana kufanya kazi na usalama wa taifa je siwezi kujiunga uko baada ya miaka 2 nikimaliza masomo yangu(nina miaka 28,nafanya masters sasa).

Mkuu p53 heshima mbele.

Kazi ya kukusanya taarifa za siri (intelligence gathering ni pana kidogo), hasa kwenye karne hii ambapo kuna mpaka kuangalia mitandao au "cyberspace"

Inategemea upo uraiani, jeshini, polisi, Ikulu au nje ya nchi lakini lengo ni moja kupata data ambazo zitatumika kupata ama faida juu ya mshindani wako kwenye maeneo kama uzalishaji viwandani, siasa, vita baina ya nchi na nchi na maeneo mengine.

Kuna maeneo mengi tu ambayo ofisa usalama anaweza kuajiriwa na akafanya kazi yake kulingana na elimu yake kama vile kutafsiri mawasiliano ambayo yanatumia lugha mbalimbali ama mitandaoni kwenye simu au internet.

Bila kueleza sana, idara za kijasusi zinapenda kuajiri watu wa kutoka rika zote na kabila mbalimbali ili kuleta uwiano kwenye suala zima la ajira kwa wananchi na pia kuhakikisha hawaonekani kuwa ni wabaguzi na wenye kutoa nafasi kwa upendeleo.

Sasa idara ya usalama Tanzania sifahamu imekalia vipi suala la ajira na muelekeo mzima wa kuwa na watu hata wa aina yako mkuu ambao wapo tayari kujitoa mhanga kutetea na kulinda nchi yao.

Nasema hivi kwasababu katika nchi zilizoendelea kwa mfano, idara za usalama hutoa matangazo katika magazeti, internet na hata kujipenyeza kwenye michezo ya video kwenye internet au online games kuchagua wanafunzi.

Kwakweli kwa sisi watanzania sifahamu wanapitia wapi ila nafikiri bado watakuwa wanatumia zile njia zao za asili ambazo ni shuleni, jeshini, vyuoni na pengine ukibahatika hata mitaani.

Ni kazi nzuri ukiwa mtaalam (specialist) hasa kwenye computer, hesabu, lugha (multilingual ) ambae unazungumza lugha nyingi na umahili mwingine kama wa James Bond.

Jitahidi kaka unaweza kupata.
 
Hii thread ni ya tangu Februari 2009. Huyu mtu kila siku anaileta hapa na nyie Mods mnaiweka, hamuoni kuwa anatupotezea muda na kama haridhiki na michango aliyopewa na wadau basi, kuliko kuleta hii mada kila mara.... akafanye kazi zingine za kiusalama ziko nyingi tu ukiwemo ulinzi kwenye makampuni binafsi na masters aliyo nayo atawafaa sana!
 
kwa wale ndugu zangu ambao hawana ajira angalieni sana sasa hivi watu wanatumia huu mwanya kutapeli watu. Kuna jamaa mmoja kajitokeza na anajifanya kuwa yeye ni afisa wa usalama wa taifa. Kwa kuwa kazi za usalama wa taifa huwa hazitangazwagi sehemu yeyote, yeye anakulaghai kuwa wameambiwa waajiri watu. kwanza anakwambia umtumie Cv yako, vyeti vya shule, cha kuzaliwa, picha na barua ya mjumbe. ukishampelekea anakwambia utoe pesa ili uwe kwenye list ya watakaokwenda kupigishwa shule ya usalama wa taifa na anakusisitiza utafute jamaa zako wa karibu ili awaunganishe kwenye orodha. ukishampa pesa tu, unaanza kupigwa kalenda. mara ooh, mtaripoti ijumaa, ooh, imeairishwa mpaka jumanne ijayo. oooh, mkuu kasema mpaka mwezi ujao. kidogo jamaa anatoweka na cm inakuwa haipatikani. Kuna jamaa kama saba hivi washalizwa ndugu zanguni. SO TAKE CARE
 
kwa wale ndugu zangu ambao hawana ajira angalieni sana sasa hivi watu wanatumia huu mwanya kutapeli watu. Kuna jamaa mmoja kajitokeza na anajifanya kuwa yeye ni afisa wa usalama wa taifa. Kwa kuwa kazi za usalama wa taifa huwa hazitangazwagi sehemu yeyote, yeye anakulaghai kuwa wameambiwa waajiri watu. kwanza anakwambia umtumie Cv yako, vyeti vya shule, cha kuzaliwa, picha na barua ya mjumbe. ukishampelekea anakwambia utoe pesa ili uwe kwenye list ya watakaokwenda kupigishwa shule ya usalama wa taifa na anakusisitiza utafute jamaa zako wa karibu ili awaunganishe kwenye orodha. ukishampa pesa tu, unaanza kupigwa kalenda. mara ooh, mtaripoti ijumaa, ooh, imeairishwa mpaka jumanne ijayo. oooh, mkuu kasema mpaka mwezi ujao. kidogo jamaa anatoweka na cm inakuwa haipatikani. Kuna jamaa kama saba hivi washalizwa ndugu zanguni. SO TAKE CARE

Next time ukikutana na issue kama hiyo irushe humu JF kwa ushauri kabla ya kutoa hela yako.
 
Ni kweli hii mijitu ipo si usalama tu. kikubwa tukushukuru kwani wataliwa wengi wenye pesa zao kama huna pesa hata kuongea nae utamkwepa.
 
Tanzania ya leo si kama ile ya jana. Matapeli wapo wengi na wa kila namna, tunapaswa kufikiri kwanza na kushirikisha watu wengine kabla ya maamuzi. Wapo kuanzia kwenye majiji, mikoani na hata vijijini.
 
kama staili yenyewe ndo hiyo tutaibiwa wengi, inatubidi tuwe makin sana.......................ukikutana na huyo mtu piga sim polisi haraka iwezeekanavyo
 
Yap cha msingi ni akili kichwani na umakini na uangalifu wa hali ya juu mliotapeliwa poleni jamani ambao bado na mlikuwa na hako ka mpango kaeni chonjo thax kwa taarifa mkuu
 
Ni ujinga kutoa fedha kununua ajira, kama kweli hili limetokea watu wanapaswa kuwa waangalifu.
 
kama staili yenyewe ndo hiyo tutaibiwa wengi, inatubidi tuwe makin sana.......................ukikutana na huyo mtu piga sim polisi haraka iwezeekanavyo


Ni kweli, huyo inabidi akamatwe mara moja
 
wanajamvi nijuzeni ,hivi kazi za usalama wa taifa hazitangazwi sasa wanaoajiriwa wanatolewa wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom