duu kumbee!!Mh hzo ishu huwa wanatafte wenyewe mkuu.Vinginevyo uwe mtoto wa kigogo ndo utapata kirahsi
Hv wewe unadhani kazi za usalama zi magazeti yale yanuzwa barabarani???wakuu shida yangu ni kupata ajira idara ya usalama wa taifa.sifaham ofisi zao zilipo wala mfumo wao wa kupokea maombi.
nina degree ya mass comm.nina moyo wa kizalendo,nacheza karate.mkakamavu nina sifa za ziada kem kem.nisaideni.
sawa Junior Member ila wakati mwingine usisahau kuacha nafasi kati ya neno na neno,embu cheki vzur hapo ktk red.lolHv wewe unadhani kazi za usalama zi magazeti yale yanuzwa barabarani???
Au utadhan watapita kutangaza???? Kwa hiyo stegi ya kutangazaunataka kazi umechemsha tena sana, maana kila kona wanapata taarifa so wakikujua uko hvyo byeeeee
wakuu shida yangu ni kupata ajira idara ya usalama wa taifa.sifaham ofisi zao zilipo wala mfumo wao wa kupokea maombi.
nina degree ya mass comm.nina moyo wa kizalendo,nacheza karate.mkakamavu nina sifa za ziada kem kem.nisaideni.
tangaza dau lako.Kutokana na CVs zako nadhani wewe utanifaa; nahitaji mlinzi , achana na usalama wa Taifa; ni PM mkuu, kazi umeishapata!!!
iet men,ofcos that's what i'm tryna do.Keep it up to know about it, on the process you will have your answer
Hizo issue Kaka inakuwa ni ngumu kupata unless otherwise uwe na mtu wako wa karibu ambaye yupo huko!!
Yaani hii kazi mpaka upate inabidi usahau kidogo na kupata kwake wanapitia michakato mingi sana so kirahisi rahisi!!
Kwa mfano kuna jamaa yangu nilisoma naye Advance secondary fulani hapa TZ, huyo Jamaa kuna siku aliitwa na Headmaster akaambiwa kwamba akimaliza anahitajika kwenye hiyo kazi!! kwa bahati tulivyomaliza Advance tulifanikiwa kuendelea na Elimu ya Juu!!
Yeye amemaliza Degree yake hapa hapa TZ, sasa kuna siku alikuja home ndo akaniambia kwamba wale jamaa wamempigia simu na wanamuhitaji!!
Kwa hiyo mlolongo wake ni mrefu!! You have to be patient Brother!!
jaman ni weng tunaopenda kufanya kaz usalama wa taifa lakin hatujui tuanzie wap tusaidien wengine toka utoto wetu tunapenda tuwe watu wa usalama wa taifa