Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Status
Not open for further replies.
Haya wenye kujua taratibu zake wakuu ingawa nami nimuhitaji sana wa hii kazi pia mwenye kujua anaweza kuni Pm
 
Mtu yoyote anaweza kufanya ndani ya idara hizo wengine kwa kujua au kutokujua huyo jamaa nimemwomba anitumie cv yake kwenye email yangu hapo juu au namba yake ya simu nitampigia, ila atoe taarifa za ukweli tu na ahakikishe hana madoa mengine ya ajabu ajabu
 
Mhuu! nenda kwa mkulu pale omba kuongea nae falagha na mweleze suala lako! atakusaidia maana kuna mtu mmoja alisaidiwa toka Afisa mtendaji wa kijiji mpaka mkuu wa wilaya huko kusini
 
una ndg, jamaa au rafiki wa karibu huko?coz siku hizi nao wako corrupt na ukipata km huna godfather hutapewa dilli za hela kama misafara
 
Hata mimi nilikuwa napenda sana kufanya kazi usalama wa taifa. Nakumbuka mwaka jana january nilianza kufuatilia kwa ukaribu, wakati huo nipo sekta binafsi pale palm beach. Ilifikia mpaka nikaonana na kigogo mmoja mstaafu, yeye akasema ataongea na rafiki yake ambaye alkuwa boss wao miaka ya nyuma sana. Nilifuatilia sana mpaka baadea akaniambia alishampa CV yangu bosi mstaafu wa UWT kwa kazi zaidi. Mpaka leo kimya kingi. Nikaamua niingie kwa utumishi wa umma ingawa bado naipenda
 
Kwani kazi ya usalama wa Taifa mpaka ujue Karate? au ndio kigezo cha nchi yenu?

mi navyojua usalama wa taifa ni uwigo mpana sana kuna kitengo cha mawasiliano, uchumi, ulinzi, ujasusi nk,
na saa nyingine akili, uelewa, upelelezi, umakini, uchambuzi mzuri wa mambo ni kitu cha kwanza kuliko hayo mapigano

good luck wamekusikia na watakuchukua
sitaki nikifike kule halaf nifanye kazi za umbea umbea .ndio mana nikasema mapema kuwa nacheza karate.better yet kunfu,judo.taekwondo,boxing 2 mention a few.lol
 
Walio Ndani ya Ngome wanalilia kutoka........na walio Nje ya Ngome wanalilia kuingia.......!!!!!!!!!! KUWA UYAONE
 
sitaki nikifike kule halaf nifanye kazi za umbea umbea .ndio mana nikasema mapema kuwa nacheza karate.better yet kunfu,judo.taekwondo,boxing 2 mention a few.lol
<br />
<br />
Bosi usiende huko mana utatuua wenzio na izo tai chi zen kwanin usiact movie!
 
hivi wewe mama huwa huna kaz maana kila sehemu upo,siasa mapenz, udaku, umbea had kwenye kazi,duh! pole kwa aliyeoa huyu mama
<br />
<br />
Nilikuwa nafikiria imekuaje huyu faizafoxy amekua mpole hajaleta zile vurugu zake sasa hivi nimepata jibu,kumbe ni mwezi wa ramadhani,ngoja uishe lazima achafue hali ya hewa humu jamvini.
 
Upo tayari kufanya hata kazi ya kufunguwa mageti kwenye hiyo idara? maana hata ikulu kuna wasafisha vyoo lakini ukimuuliza anafanya kazi wapi atakujibu nipo ikulu.
By the way kwa nafasi ya kawaida tu ndani ya idara hiyo mshahara ni mdogo sana. ebu zijuwe kwanza kazi za usalama wa Taifa kabla haujatamani kitu ambacho hauna ufahamu nacho.
View attachment 35073
 
Upo tayari kufanya hata kazi ya kufunguwa mageti kwenye hiyo idara? maana hata ikulu kuna wasafisha vyoo lakini ukimuuliza anafanya kazi wapi atakujibu nipo ikulu.
By the way kwa nafasi ya kawaida tu ndani ya idara hiyo mshahara ni mdogo sana. ebu zijuwe kwanza kazi za usalama wa Taifa kabla haujatamani kitu ambacho hauna ufahamu nacho.
View attachment 35073
wakuu kumbe bado mnakimbizana na hii thread.tayari nilishaghairi kufanya kazi huko.nimepata ofa ya kuuza kuuza tende mtaa wa kongo-dsm.lol
 
Wanachukua waliofeli darasa la saba na form four. Nitafute kwa maelezo zaidi.
 
Ckieni kule usalama kuda fani zote...the matter nikuwa na conectn na mtu wa ndani...unalipwa accodn 2 educatn na nafac uliyopo...hizo karet,Tai kondo ni mbwembwe tu labda uwe mtu wa field..ndo utatumia...hata pale BOT,TRA...na secta nyingine wapo watu waliowekwa na usalama.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom