T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,650
- 34,938
Hata mimi hapo hapo pekee nimefeli kujuaKwenye 'mtu na Kaka yake' ungefungua code kidogo, nimebaki gizani
Hata mimi hapo hapo pekee nimefeli kujuaKwenye 'mtu na Kaka yake' ungefungua code kidogo, nimebaki gizani
Mzushi tu huyo,hana lolote ajualo.Kwenye 'mtu na Kaka yake' ungefungua code kidogo, nimebaki gizani
Ulimbuliii!!Sukuma gang mna roho ya paka au ?
Samia amesema hamtoboi..
Turudishe majeshi ndg zang.
Vivaaa!!! sukuma gang.
Nami naaminiIla kuna siku ccm itadondoka tu
Labda anataka tuamini kuwa siidiieff na aijiipiiHata mimi hapo hapo pekee nimefeli kujua
Hebu tuanze kubashiri,labda anamaanisha siidiieffu na aiijiipiiKwenye 'mtu na Kaka yake' ungefungua code kidogo, nimebaki gizani
Kuna mtu kanipigia simu just now kunambia eti Mkulu ndo hivyotena..
Alikufa Magufuli na nchi imetulia nn unataka kusema jombii ?? Hata akifa spika tunazika na nchi inakaza mwendo usiishi kwa msisimko boss utakufa mapema kwa matatizo yasiyoambukiza.Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.
Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.
Kuna kimya chakutisha sana tena kutoka kwa wenye roho za hili Taifa, kuna giza nene limeikumba nchi na tunaiyona nembo ya taifa tu ikiwakawaka ktk moyo wa Taifa...
Ukimya huu huwezi kuuwona wala kuhisi kama nimwanadam wakawaida. Ila mimi naona nakuwathibitishia kalitafute neno au andiko lamzee yeyote unaye mjuwa mwenye hekima na alie shiba siri za taifa hili... Ukiliona rudi hapa uniambie mm nitapeli.
Kama ni mchezo wa draft basi mchezeshaji wa hii draft atakuwa na nguvu za ajabu maana draft inameza kete na draft inatoa mlio wa ajabu pindi kete zinasukumwa....
Hakuna anaye shituka wala kudhania kesho yaweza ikawa juu chini na chini juuu...
Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.
Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.
Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.
Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.
Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.
Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.
Pray for Nation. Amen
Hata Magu mliimba hivi, hamjajifunza kuwa wanyenyekevu?Tunaenda na Samia mpaka 2035, atakapo nikabidhi Mimi nchi.
Kwenye 'mtu na Kaka yake' ungefungua code kidogo, nimebaki gizani
Wamalizane tuNasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.
Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.
Kuna kimya chakutisha sana tena kutoka kwa wenye roho za hili Taifa, kuna giza nene limeikumba nchi na tunaiyona nembo ya taifa tu ikiwakawaka ktk moyo wa Taifa...
Ukimya huu huwezi kuuwona wala kuhisi kama nimwanadam wakawaida. Ila mimi naona nakuwathibitishia kalitafute neno au andiko lamzee yeyote unaye mjuwa mwenye hekima na alie shiba siri za taifa hili... Ukiliona rudi hapa uniambie mm nitapeli.
Kama ni mchezo wa draft basi mchezeshaji wa hii draft atakuwa na nguvu za ajabu maana draft inameza kete na draft inatoa mlio wa ajabu pindi kete zinasukumwa....
Hakuna anaye shituka wala kudhania kesho yaweza ikawa juu chini na chini juuu...
Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.
Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.
Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.
Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.
Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.
Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.
Pray for Nation. Amen
Hapa umenena sasa. Hawa ukibadili uongozi wanawekwa nje hasa IGP. Na kweli walisisitiza aapishwe. Kingine naanza kuamini ile siri aliyosema CD4 inamhusisha Nimekosa mimi, nimekosa sanaLabda anataka tuamini kuwa siidiieff na aijiipii
Hakuna lolote baya,kila kitu kipo kwenye mikono salamaNasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.
Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.
Kuna kimya chakutisha sana tena kutoka kwa wenye roho za hili Taifa, kuna giza nene limeikumba nchi na tunaiyona nembo ya taifa tu ikiwakawaka ktk moyo wa Taifa...
Ukimya huu huwezi kuuwona wala kuhisi kama nimwanadam wakawaida. Ila mimi naona nakuwathibitishia kalitafute neno au andiko lamzee yeyote unaye mjuwa mwenye hekima na alie shiba siri za taifa hili... Ukiliona rudi hapa uniambie mm nitapeli.
Kama ni mchezo wa draft basi mchezeshaji wa hii draft atakuwa na nguvu za ajabu maana draft inameza kete na draft inatoa mlio wa ajabu pindi kete zinasukumwa....
Hakuna anaye shituka wala kudhania kesho yaweza ikawa juu chini na chini juuu...
Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.
Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.
Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.
Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.
Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.
Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.
Pray for Nation. Amen
Na badoPray for Nation. Amen
Hakuna cha zamu wala nini.Zamu yenu hii, mnakula tu urojo
Amen.Pray for Nation. Amen
Sukuma gang..Ulimbuliii!!