Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,350
- 13,923
Huu ulikua ukatili mkubwa sana kuvichoma moto vifaranga vikiwa hai...hili jambo Jiwe litamtafuna japo ni wanyama lakini aliwafanyia ukatili.
Sio ukatili tu, Bali inaonyesha jiwe ana asili ya uchawi, unyama na gubu