ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,267
- 2,519
Hivi inakujae Mkuu wa Majeshi ana miaka 64 na bado yupo ofisini analitumikia Taifa ilhali muda wa kustaafu kisheri ni miaka 60. Hayo ndio mambo ya huku Venezuela, kweli tembea ujionee!!
Sijui atastaafu lini maana nasikia Rais wa huku Venezuela ambaye ni mpya madarakani kaamua kuendelea naye kwenye ujenzi wa Taifa hilo.
Hii kitu ingetokea huko nyumbani Tanzania watu wangepiga kelele sana, Watanzania mjifunze kwa wenzetu huku!
Nisalimieni sana huko nyimbani, naskia Manara kahamia Yanga😂
Sijui atastaafu lini maana nasikia Rais wa huku Venezuela ambaye ni mpya madarakani kaamua kuendelea naye kwenye ujenzi wa Taifa hilo.
Hii kitu ingetokea huko nyumbani Tanzania watu wangepiga kelele sana, Watanzania mjifunze kwa wenzetu huku!
Nisalimieni sana huko nyimbani, naskia Manara kahamia Yanga😂