Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,930
Most of the time wenye kupelekea mahusiano yavunjike ni wao kutokana na matendo yao
Matendo gani tena?!
Most of the time wenye kupelekea mahusiano yavunjike ni wao kutokana na matendo yao
Pole mwaya.
Ndio ukubwa huo ila ujifunze kuangalia facts zaidi badala ya mihemko.
Tumia akili, acha woga, jiamini, potezea hisia za mwili kwa muda, kwa kifupi tafuta mwanaume wa ukweli ukimpata be your best fuata sheria zote ulizofundishwa na wazazi wakati unakua, and pray a lot. funga na kushirikisha marafiki katika sala yako.
Ni kweli mke mtarajiwa anatakiwa awe mpole, mchangamfu, mwenye bidii na kazi, mwenye mvuto, msafi, asiye mvivu, trustworthy, mywepesi kuonyesha upendo wa kweli (sio sex), considerate, mwenye msimamo, stylish, asie na tamaa.
Very confusing lakini try.
Habari za jumapili wana JF.
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.
Asanteni.
Habari za jumapili wana JF.
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.
Asanteni.
Habari za jumapili wana JF.
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.
Asanteni.
Pole mwaya.
Ndio ukubwa huo ila ujifunze kuangalia facts zaidi badala ya mihemko.
Tumia akili, acha woga, jiamini, potezea hisia za mwili kwa muda, kwa kifupi tafuta mwanaume wa ukweli ukimpata be your best fuata sheria zote ulizofundishwa na wazazi wakati unakua, and pray a lot. funga na kushirikisha marafiki katika sala yako.
Ni kweli mke mtarajiwa anatakiwa awe mpole, mchangamfu, mwenye bidii na kazi, mwenye mvuto, msafi, asiye mvivu, trustworthy, mywepesi kuonyesha upendo wa kweli (sio sex), considerate, mwenye msimamo, stylish, asie na tamaa.
Very confusing lakini try.
Just be good and be in good places. Wapo wengi tu.
Yani wewe uwe unafaa kwanza ndio utafute anaefaa.
Habari za jumapili wana JF.
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.
Asanteni.
Amwamini nani labda?
True talk, hats mwanamme awekapinda vipi ukiwa na hizo character unamkamata as simple as that
feity mama shida kubwa ni wewe kuamini kuwa kuna wanaume wenye mapenzi ya kweli na wewe kusahau kuwa unatakiwa kuwa na mapenzi ya kweli kwao...! Binafsi nijuavyo wanawake wengi muwabinfsi nyie kazi kudeka tuu na kungoja kupetiwapetiwa hii ndiyo sababu kubwa nyie wanawake mumekuwa mkilalamika na kuamini haujakutana na mwanaume mwenye mapenzi ya kweli...! Siyo siri mimi binafsi nimetoka kwenye relationship muda nimekutana na msichana mmoja ni mbinafsi sana.Habari za jumapili wana JF.
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.
Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.
Asanteni.
Kwenye mambo ya mapenzi ni very complicated situation, sometimes its better to stay alone for a little while learning from others how they Play it.
nimefunga huo ukrasa .......wa wapenz...... baaassss inatosha