Nashindwa kuwaamini wanaume

Nashindwa kuwaamini wanaume

........Daah! Wanawake wa siku hizi mmmh!!, kila siku kila mwanamke anakuja na thread mpya yenye wimbo huo huo wa kutowaamini wanaume utadhani wanaume tumeteremshwa kutoka Mbinguni kumbe wanasahau kwamba sisi pia tunaishi katika mazingira haya haya wanayoishi hao na hizo tabia wanazoziona mbaya hutokana na wanawake husika.

Nakushauri uiaaie na utafakari enedo yakokata mapenzi na mahusiano, manamke una nafasi kubwa sana ya kyafanya mahsio yako yawe mazuri au mabaya kama inavyotokea kwako dada angu.

Mara tatu zote umeumizwa wewe, umejifunza kitu gani kwa upande wako hadi wanaamua kukufanya uwe "Punching bag" la vibuti?
 
Pole mwaya.
Ndio ukubwa huo ila ujifunze kuangalia facts zaidi badala ya mihemko.

Tumia akili, acha woga, jiamini, potezea hisia za mwili kwa muda, kwa kifupi tafuta mwanaume wa ukweli ukimpata be your best fuata sheria zote ulizofundishwa na wazazi wakati unakua, and pray a lot. funga na kushirikisha marafiki katika sala yako.
Ni kweli mke mtarajiwa anatakiwa awe mpole, mchangamfu, mwenye bidii na kazi, mwenye mvuto, msafi, asiye mvivu, trustworthy, mywepesi kuonyesha upendo wa kweli (sio sex), considerate, mwenye msimamo, stylish, asie na tamaa.
Very confusing lakini try.

duuuh!
 
Habari za jumapili wana JF.

Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .

Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.

Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.

Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.

Asanteni.



Si tatizo per say....ni suala tu la wanaume kutowaamini wanawake kwani wanawake wengi hapa Bongo ni machangu yaani kila mmoja anataka kuwa changudoa wa bongo muvi. Wakiona wenzao wanauza sura kwenye muvi zao uchwara basi wao wanafikiria maisha ndivyo yako vile, matokeo yake unakuta demu anabaki kuvuliwa chupi na kila jamaa kwa ahadi ya bajaj au baiskeli ya kutembelea mjini ili aonekane apate mabasha wengi zaidi.
 
pole sister ila kunakitu unakikosea ndo maana unapata mtihani jichunguze na hao wanaume huwa unawapata mazingira gani? kwenye masoko, mikutano ya kidini, disco, vilabu vya pombe, we chunguza utagundua tatizo lipowapi
 
Habari za jumapili wana JF.

Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .

Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.

Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.

Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.

Asanteni.

Woga utaisha siku ukitoa huo mkono wako wa kushoto hapo ulipo kwenye avatar yako.
avatar300714_3.gif
 
Habari za jumapili wana JF.

Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .

Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.

Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.

Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.

Asanteni.

jaribu kijitathmini uone nini kasoro kwako katika aina ya relation inayoitaka..
usije ukawa unachanganya uchumba kwenye uboyfriend, au ndoa kwenye uchumba.
jifunze kwa waliofanikiwa katika hilo
 
Pole mwaya.
Ndio ukubwa huo ila ujifunze kuangalia facts zaidi badala ya mihemko.

Tumia akili, acha woga, jiamini, potezea hisia za mwili kwa muda, kwa kifupi tafuta mwanaume wa ukweli ukimpata be your best fuata sheria zote ulizofundishwa na wazazi wakati unakua, and pray a lot. funga na kushirikisha marafiki katika sala yako.
Ni kweli mke mtarajiwa anatakiwa awe mpole, mchangamfu, mwenye bidii na kazi, mwenye mvuto, msafi, asiye mvivu, trustworthy, mywepesi kuonyesha upendo wa kweli (sio sex), considerate, mwenye msimamo, stylish, asie na tamaa.
Very confusing lakini try.


Du hapo umemuwekea kila kitu umemaliza ukifuata hizo kanuni I'm sure tutasikia unaomba michango U.S. Send off
Nimekupenda bure we mdada
 
Just be good and be in good places. Wapo wengi tu.
Yani wewe uwe unafaa kwanza ndio utafute anaefaa.


True talk, hats mwanamme awekapinda vipi ukiwa na hizo character unamkamata as simple as that
 
Habari za jumapili wana JF.

Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .

Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.

Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.

Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.

Asanteni.

Pole sana dada unachosema ni kweli kabisa tatizo ni kwamba hujampata mwanaume mwenye mapenzi ya dhati isipokuwa umekutana na wanaume wenye tamaa tu ya mapenzi ktk hao watatu. Nakushauri uwe makini, mwangalifu ktk kufanya maamuzi vinginevyo utakutana na wengi ambao watajifanya kukupenda kumbe ni matapeli wa mapenzi.
 
Kwenye mambo ya mapenzi ni very complicated situation, sometimes its better to stay alone for a little while learning from others how they Play it.
 
True talk, hats mwanamme awekapinda vipi ukiwa na hizo character unamkamata as simple as that

jidanganye, wanaume sisi tupo kiajabu-ajabu sana, omba umpate yule anayekupenda kweli otherwise we ni kilio tu
 
Habari za jumapili wana JF.

Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .

Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.

Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.

Kiukwel naogopa sana kuingia katika relation na nimekuwa mwoga na sielew huu uoga utaisha lini.

Asanteni.
feity mama shida kubwa ni wewe kuamini kuwa kuna wanaume wenye mapenzi ya kweli na wewe kusahau kuwa unatakiwa kuwa na mapenzi ya kweli kwao...! Binafsi nijuavyo wanawake wengi muwabinfsi nyie kazi kudeka tuu na kungoja kupetiwapetiwa hii ndiyo sababu kubwa nyie wanawake mumekuwa mkilalamika na kuamini haujakutana na mwanaume mwenye mapenzi ya kweli...! Siyo siri mimi binafsi nimetoka kwenye relationship muda nimekutana na msichana mmoja ni mbinafsi sana.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom