Nashauri Spika Ndugai ajiuzulu
Mliompa dhamana? ..ni lini mlimpa dhamana wewe na nan?
Tulimpa dhamana watanzania wote kwenye sanduku la kura 2020 akiwa kama mgombea mwenza. Kwa maana hiyo watanzania tuliridhia in case of anything kwa mujibu wa katiba huyo atakuwa Rais wetu!!
 
Kauli ya Ndugai itawaprove wrong. Kukopa hovyo na kupeleka kujenga matundu ya vyoo, ndio hela itarudi? Matundu ya vyoo yanaongezaje uwezo wa serikali wa kukusanya kodi za kuweza kurejesha mkopo?
alizokopa zinatumika pia kwenye miradi ya sgr nz stigler's george!! uwe mwelewa
 
Ndugu zangu wa JF

Nitoe maoni yangu kama Mtanzania Mzalendo kufuatia kauli ya Ndugai kubeza kitendo cha Rais Samia kuendelea na Sera ya kukopa Fedha nje ya Nchi kugharamia miradi ya Maendeleo

Kauli ya Mheshimiwa Ndugai sio tu inabeza na kudharau mamlaka ya Rais bali inalenga kuhujumu jitihada za makusudi za Rais Samia kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo inayohitaji Fedha nyingi sana kuikamilisha

Mheshimiwa Ndugai akiwa Kiongozi wa Bunge ameshindwa kuonyesha uwajibikaji wa pamoja wa kidola na ameamua kwa makusudi kutumia nafasi yake vibaya kwa maslahi binafsi

Ieleweke Rais Samia anakopa fedha kwa maslahi ya Nchi yetu na amekuwa muwazi kwenye suala hili

Ieleweke kuwa Fedha za Tozo haziwezi kugharamia miradi yote mikubwa ya kimkakati na haiwezi kuwa mbadala wa kukopa Fedha

Mheshimiwa Ndugai angeliweza kuomba kuonana na Rais Samia na kumshauri aonavyo badala ya njia aliyoitumia ya kuropoka HADHARANI!

Kwa maoni yangu kauli ya Mheshimiwa Ndugai likusudia kukwamisha juhudi za Rais wetu kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM

Nashauri Mheshimiwa JOB NDUGAI ajiuzulu mara moja wadhifa wake wa Uspika na akishindwa kufanya hivyo mamlaka husika zimchukulie hatua za kumvua uanachama wa CCM kwani kwa sasa sio Mwenzetu tena

Tumpe ushirikiano Rais Samia

KaziIendelee
Hakika Ndugai yuko vizuri sana, Anatutetea sisi wanyonge,, sema tu watanzania wengi ni mkumbo tu
 
Ndugu zangu wa JF

Nitoe maoni yangu kama Mtanzania Mzalendo kufuatia kauli ya Ndugai kubeza kitendo cha Rais Samia kuendelea na Sera ya kukopa Fedha nje ya Nchi kugharamia miradi ya Maendeleo

Kauli ya Mheshimiwa Ndugai sio tu inabeza na kudharau mamlaka ya Rais bali inalenga kuhujumu jitihada za makusudi za Rais Samia kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo inayohitaji Fedha nyingi sana kuikamilisha

Mheshimiwa Ndugai akiwa Kiongozi wa Bunge ameshindwa kuonyesha uwajibikaji wa pamoja wa kidola na ameamua kwa makusudi kutumia nafasi yake vibaya kwa maslahi binafsi

Ieleweke Rais Samia anakopa fedha kwa maslahi ya Nchi yetu na amekuwa muwazi kwenye suala hili

Ieleweke kuwa Fedha za Tozo haziwezi kugharamia miradi yote mikubwa ya kimkakati na haiwezi kuwa mbadala wa kukopa Fedha

Mheshimiwa Ndugai angeliweza kuomba kuonana na Rais Samia na kumshauri aonavyo badala ya njia aliyoitumia ya kuropoka HADHARANI!

Kwa maoni yangu kauli ya Mheshimiwa Ndugai likusudia kukwamisha juhudi za Rais wetu kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM

Nashauri Mheshimiwa JOB NDUGAI ajiuzulu mara moja wadhifa wake wa Uspika na akishindwa kufanya hivyo mamlaka husika zimchukulie hatua za kumvua uanachama wa CCM kwani kwa sasa sio Mwenzetu tena

Tumpe ushirikiano Rais Samia

KaziIendelee
Mtanzania mwenye kadi ya CCM anaruhusiwa kujiunga na mjadala wowote wa kitaifa nje ya chumba cha mikutano ya chama chenu?
 
Ndugu zangu wa JF

Nitoe maoni yangu kama Mtanzania Mzalendo kufuatia kauli ya Ndugai kubeza kitendo cha Rais Samia kuendelea na Sera ya kukopa Fedha nje ya Nchi kugharamia miradi ya Maendeleo

Kauli ya Mheshimiwa Ndugai sio tu inabeza na kudharau mamlaka ya Rais bali inalenga kuhujumu jitihada za makusudi za Rais Samia kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo inayohitaji Fedha nyingi sana kuikamilisha

Mheshimiwa Ndugai akiwa Kiongozi wa Bunge ameshindwa kuonyesha uwajibikaji wa pamoja wa kidola na ameamua kwa makusudi kutumia nafasi yake vibaya kwa maslahi binafsi

Ieleweke Rais Samia anakopa fedha kwa maslahi ya Nchi yetu na amekuwa muwazi kwenye suala hili

Ieleweke kuwa Fedha za Tozo haziwezi kugharamia miradi yote mikubwa ya kimkakati na haiwezi kuwa mbadala wa kukopa Fedha

Mheshimiwa Ndugai angeliweza kuomba kuonana na Rais Samia na kumshauri aonavyo badala ya njia aliyoitumia ya kuropoka HADHARANI!

Kwa maoni yangu kauli ya Mheshimiwa Ndugai likusudia kukwamisha juhudi za Rais wetu kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM

Nashauri Mheshimiwa JOB NDUGAI ajiuzulu mara moja wadhifa wake wa Uspika na akishindwa kufanya hivyo mamlaka husika zimchukulie hatua za kumvua uanachama wa CCM kwani kwa sasa sio Mwenzetu tena

Tumpe ushirikiano Rais Samia

KaziIendelee
Inafikia wakati mtu unakuwa huelewi ninyi vijana wa Chadema huwa mnataka nini hasa. Angeunga mkono, mngepinga. Amepinga, mnapinga! Ngachoka mie!!!
 
Mchawi hapa ni jiwe aliyeanzisha miradi mingi kwa pamoja huku akiwa hana mbinu ya kuukuza uchumi wa nchi.
kwani si alisema kwamba hajui na hana uhakika kama akiondoka watakaofuata wataweza kuimaliza? Alijua kwamba kaweka msingi wa ujenzi wa miradi mingi.
 
Ndugu zangu wa JF

Nitoe maoni yangu kama Mtanzania Mzalendo kufuatia kauli ya Ndugai kubeza kitendo cha Rais Samia kuendelea na Sera ya kukopa Fedha nje ya Nchi kugharamia miradi ya Maendeleo

Kauli ya Mheshimiwa Ndugai sio tu inabeza na kudharau mamlaka ya Rais bali inalenga kuhujumu jitihada za makusudi za Rais Samia kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo inayohitaji Fedha nyingi sana kuikamilisha

Mheshimiwa Ndugai akiwa Kiongozi wa Bunge ameshindwa kuonyesha uwajibikaji wa pamoja wa kidola na ameamua kwa makusudi kutumia nafasi yake vibaya kwa maslahi binafsi

Ieleweke Rais Samia anakopa fedha kwa maslahi ya Nchi yetu na amekuwa muwazi kwenye suala hili

Ieleweke kuwa Fedha za Tozo haziwezi kugharamia miradi yote mikubwa ya kimkakati na haiwezi kuwa mbadala wa kukopa Fedha

Mheshimiwa Ndugai angeliweza kuomba kuonana na Rais Samia na kumshauri aonavyo badala ya njia aliyoitumia ya kuropoka HADHARANI!

Kwa maoni yangu kauli ya Mheshimiwa Ndugai likusudia kukwamisha juhudi za Rais wetu kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM

Nashauri Mheshimiwa JOB NDUGAI ajiuzulu mara moja wadhifa wake wa Uspika na akishindwa kufanya hivyo mamlaka husika zimchukulie hatua za kumvua uanachama wa CCM kwani kwa sasa sio Mwenzetu tena

Tumpe ushirikiano Rais Samia

KaziIendelee
Mku nafikiri Mh.Ndugai yaweza kuwa sahihi.
Unajua nchi hii ina njia nyingi za kwendeleza miradi.
1-Kupitia kodi mbalimbali
2-Kukopa ndani na nje
3-Kufuatilia vyanzo vipya kupitia rasiliamali za nchi e.g Mfano wa kuanzisha masoko ya madini kumeongeza mapato sana-ubunifu
4-Kupitia utaratibu wa PPP ( Public Private Partnership)

Sasa, hii njia namba 4 ya PPP mwekezaji anapewa mradi aujenge kwa kuleta fedha zote. Baada ya mradi kuisha wanagawana faida kila mwezi kwa makubaliano labda Mwekezaji 70% na Serikali 30%. Kugawana ni baada ya mradi kulipa kodi za nchi kama kawaida. Yani since day one, TRA inakuwa kazini sio yale mambo ya zamani kwamba naendesha miaka 40 bila kulipa kodi hapana.
Njia hii haipendwi sana na watu au watumishi wa wizarani kwababu mwekezaji ndie anaeleta fedha za ujezi wa mradi, ndie anaetafuta wakandarasi n.k. mambo ya percent yahapo. Hapa tunahitaji kuwa wazalendo kweli kweli. Tujaribu na hii njia pia yaweza kutuokoa.
Hapa sasa
 
Ndugu zangu wa JF

Nitoe maoni yangu kama Mtanzania Mzalendo kufuatia kauli ya Ndugai kubeza kitendo cha Rais Samia kuendelea na Sera ya kukopa Fedha nje ya Nchi kugharamia miradi ya Maendeleo

Kauli ya Mheshimiwa Ndugai sio tu inabeza na kudharau mamlaka ya Rais bali inalenga kuhujumu jitihada za makusudi za Rais Samia kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo inayohitaji Fedha nyingi sana kuikamilisha

Mheshimiwa Ndugai akiwa Kiongozi wa Bunge ameshindwa kuonyesha uwajibikaji wa pamoja wa kidola na ameamua kwa makusudi kutumia nafasi yake vibaya kwa maslahi binafsi

Ieleweke Rais Samia anakopa fedha kwa maslahi ya Nchi yetu na amekuwa muwazi kwenye suala hili

Ieleweke kuwa Fedha za Tozo haziwezi kugharamia miradi yote mikubwa ya kimkakati na haiwezi kuwa mbadala wa kukopa Fedha

Mheshimiwa Ndugai angeliweza kuomba kuonana na Rais Samia na kumshauri aonavyo badala ya njia aliyoitumia ya kuropoka HADHARANI!

Kwa maoni yangu kauli ya Mheshimiwa Ndugai likusudia kukwamisha juhudi za Rais wetu kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM

Nashauri Mheshimiwa JOB NDUGAI ajiuzulu mara moja wadhifa wake wa Uspika na akishindwa kufanya hivyo mamlaka husika zimchukulie hatua za kumvua uanachama wa CCM kwani kwa sasa sio Mwenzetu tena

Tumpe ushirikiano Rais Samia

KaziIendelee
Bega kwa bega na Rais wetu hadi kieleweke
 
RAIS NA KIONGOZI WA MHIMILI MWINGINE 'HANA IMANI'
SPIKA AMEPOTEZA IMANI YAKE KWA BUNGE NA CHAMA

Jana Jumatatu Spika wa Bunge la JMT Mh Ndugai alifafanua kauli ya 'mikopo na mnada wa nchi'

Spika alijitokeza baada ya 'kushukiwa vikali' na makundi ya chama na viongozi wa serikali

Spika alisema 'amenukuliwa vibaya, kipande cha video kinachozunguka si sahihi kwa alichosema'

Mwisho wa ufafanuzi ,Spika alimuomba radhi Mh Rais na Wananchi kwa ''usumbufu'' uliojitokeza bila ufafanuzi ikiwa atawachukulia hatua gani waliosambaza kipande cha video.

Mh Spika hakukana sauti ya video au kutilia shaka iwapo video imechezewa
Alichosema imepotoshwa bila kuonyesha wapi na kwa vipi.

Swali linafuata, je, alichukua hatua gani dhidi ya vyombo husika? na kwanini ilimchukua muda mrefu kujibu hoja yenye hisia kama ilivyo?

Mh Spika anasema alikuwa mgonjwa na kutoweza kujitokeza, hata hivyo ofisi ya Spika ni kubwa ingeliweza kutoa taarifa za awali ikisubiri hali ya Mh kuimarika. Hili halikutokea

Kabla ya mkutano mitandaoni kulikuwa na mazungumzo kwamba atapojitokeza atasema 'amenukuliwa vibaya' Huu ni utamaduni wa viongozi wanapokwepa kukiri au kuomba msamaha kwa matendo au kauli zao

Jumanne ya leo ndani ya Ikulu kulifanyika hafla ya taarifa ya utekelezaji wa mpango wa serikali unaohusiana na pesa za mkopo unaozungumziwa kwa utata

Viongozi wote wa serikali na chama walisomeka kwa kauli zao 'kumshambulia' Mh Spika

Mh Rais alionekana kukereka na ukweli kwamba 'taarifa za mikopo zinapita katika nyumba ' na kisha mtu anasema yaliyosemwa

Mh Rais anasema nguvu yake ni kutokana na kuungwa mkono na Wananchi katika sakata hili
Na kwamba ''wanaotazama 2025' waondoke wakajiandae vizuri

Ukifuatilia kwa undani msamaha wa Mh Spika haukupokelewa na mhimili wa serikali achilia mbali Chama chake

Mh Spika alikuwa na machaguo mawili.
Kwamba asimame na kile alichosema akiamini ni maoni yake, au
Kutoomba radhi asubiri kutetea hoja zake kwa mantiki bila kujali nini kitafuata

Kitendo cha kutochukua hatua dhidi ya ''wapotoshaji' na kitendo cha kuomba msamaha kinamwacha na chaguo moja 'Ajiuzulu'

Mh Spika atakuwa amepoteza ''vote of confidence' kutoka ''Caucus'' ambayo ni asilimia 90+

Mh Spika amepoteza 'Vote of confidence' katika Chama kufuatia matamko ya viongozi

Mh Spika amepoteza 'vote of confidence' kwa kiongozi wa Mhimili mwingine, hakusimama na kauli yake

Katika nchi nyingine hili la mihimili kutofautiana ni la kawaida, kwa nchi yetu ambako kuna mihimili imejichimbia, hili si la kawaida na linamwcha pagumu

Katika mazingira hayo Mh Spika hana pa kusimama tena kwa maana ya kwamba haungwi mkono na sehemu yoyote ya jamii japo kwa uwazi na amebaki kisiwani

Spika alipaswa kufanya alichofanya Waziri wa fedha enzi hizo bwana Edwin Mtei.
Mtei alipotofautiana na Mwl Nyerere kuhusu sera za nchi kwendana na matakwa ya IMF na WB, alijiuzulu. Miaka mingi baadaye ilibainika Mtei alikuwa Sahihi kwa maamuzi

Hadi leo Mzee Mtei anabaki heshima yake na ''role model'' ya namna gani viongozi wanapaswa kusimama na hoja zao kwa kuamini kile wanachoamini

Spika Ndugai hana uungwaji mkono ,hata kama ataendelea, kazi itakuwa ngumu sana

Kila kauli yake itakuwa sawa na kutembea juu ya miba.
Hii italiacha Bunge kupoteza nguvu zake zote kwasababu Spika ni 'symbol' ya Bunge

Mh Spika ni wakati wa Kujiuzulu, hakuna ajuaye nini kitatokea ndani ya chama chako.

Ikitokea vinginevyo aibu itakuwa kubwa kuliko ilivyo sasa.
Ni wakati ufanye tathmini na uchukue uamuzi mgumu

Jiuzulu, usimame na kile unachoamini , siyo dhambi wala kosa! ni ukomavu na ubaki mbunge

Sehemu II tutaangalia ufafanuzi wa deni na kauli za nchi duniani zinakopa

Tusemezane
 
Wadau Watanzania Wote Tumeusikia na kuutazama MPAMBANO baina ya MIHIMILI Miwili yaani SERIKALI NA BUNGE.Mpambano huo Unatokana na Serikali kuamua Kutekeleza Bajeti iliyopitishwa na BUNGE iliyohusisha UKOPAJI.
Kwa Mshangao MKUBWA Spika wa Bunge Alihutubia Wagogo Wenzake na KUIPONDA SERIKALI kwa KUKOPA na Kudai Huenda NCHI ikapigwa MNADA.Kutokana na KAULI hiyo ya SPIKA
Mh.RAIS amehitimisha MPAMBANO LEO.
USHAURI kwa SPIKA
Nichukue Nafasi kumtaka SPIKA NDUGUI Atumie UUNGWANA aliouonyesha Jana KUOMBA MSAMAHA KUTANGAZA "KUJIUZULU" kwani "HATAAMINIKA TENA"
 
Mfano akitaka iwe vita akaja na ile kuwa hatuna imani na rais? Sema sisi wananchi tutalivamia bunge nawaza kwa sauti😀😀😀
 
Wadau Watanzania Wote Tumeusikia na kuutazama MPAMBANO baina ya MIHIMILI Miwili yaani SERIKALI NA BUNGE.Mpambano huo Unatokana na Serikali kuamua Kutekeleza Bajeti iliyopitishwa na BUNGE iliyohusisha UKOPAJI.
Kwa Mshangao MKUBWA Spika wa Bunge Alihutubia Wagogo Wenzake na KUIPONDA SERIKALI kwa KUKOPA na Kudai Huenda NCHI ikapigwa MNADA.Kutokana na KAULI hiyo ya SPIKA
Mh.RAIS amehitimisha MPAMBANO LEO.
USHAURI kwa SPIKA
Nichukue Nafasi kumtaka SPIKA NDUGUI Atumie UUNGWANA aliouonyesha Jana KUOMBA MSAMAHA KUTANGAZA "KUJIUZULU" kwani "HATAAMINIKA TENA"
Aaawapi ,madaraka yalivyokuwa matamu.Hata Kwa greder habwagi ntu manyanga. Hadi tone la mwisho no full kupanbana🤔.
 
Mfano akitaka iwe vita akaja na ile kuwa hatuna imani na rais? Sema sisi wananchi tutalivamia bunge nawaza kwa sauti😀😀😀
Hatakuwa na hoja ya kumshtaki Rais kwasababu keshauza 'ghala la silaha' kwa kuomba msamaha

Laiti angesimama na kauli yake pengine angeungwa mkono na mpambano ungekuwa na mantiki

Kabla ya kuitisha 'hoja hiyo'' kamati kuu itamwita na kumfyekelea mbali.
Kumbuka cheo cha Uspika hakina qualification ni fadhila tu ya chama

Heshima yake ipo sehemu moja, Ajiuzulu
 
Aaawapi ,madaraka yalivyokuwa matamu.Hata Kwa greder habwagi ntu manyanga. Hadi tone la mwisho no full kupanbana🤔.
Tunajua hakuna utamaduni wa kuwajibika kwa matendo au kauli

Tunachosema hapa ni kwamba hata akiendelea Heshima yake ipoje?
Hivi atasema nini au atasimama wapi na kubaki na heshima
Tayari ni mtu mnyonge kama aliyetupwa kisiwani

Ni wakati sasa aangalie masilahi mapana ya Taifa!
 
Katika mkutano wa leo hakuna shaka Mh Rais alichukia na kuchukizwa sana na maneno ya Spika
Alisema:
'' Haya yote ni kwasababu ya 2025'
'Mtu mliyemuamini kushika mhimili'
'Huko Bungeni kwa akina Mjaliwa walisema serikali ya Mpito'
' Watu walimpa grade na hawaamini haya yanayotokea sasa''
'Huwezi kuamini mtu mzima na akili yake anaweza kusema yale''

Mh Ndugai, si tu kwamba amepoteza imani kwa viongozi wenzake lakini pia amedhalilika sana
Kauli ya 'mtu mzima na akili yake ' inatosha kueleza jinsi gani anamuona Ndugai katika kiwango cha kufikiri. Hakuna tena shaka Ndugai anaonekana kama 'debe tu linalosukumwa na upepo barabarani'

Ni wakati muafaka Mh Spika ajiuzulu, hakuna utetezi au hoja nyingine inayomjengea heshima tena
 
'
JamiiForums2099652560.jpg
 
Back
Top Bottom