Umevisahau ghafla vilivyo fanywa Chatto na kanda pendwa kwa ujumla, walipaji sisi?
Chato kupo hivi. Je, hii ngozi haivutwi mno?
Cheti? No wonder nina vyeti matata sana kuliko utakavyoweza kuvipata maishani mwako mburula wewe.
Hata hivyo nisiache kukwambia. Msituhusishe na mambo yenu. Habari nzima iko hapa:
1. Minyukano ndani ya CCM haitusaidii kwenye madai yetu ya katiba mpya.
2. Mwendazake hayupo tena, makando kando yake tuhangaike nayo kwenye "haki na maridhiano" baada ya katiba mpya.
3. Agenda yetu ni ya kudumu si marafiki.
Pambaneni na hali zenu huko.