Nashangaa!?

Chabo

JF-Expert Member
Jul 20, 2011
1,083
1,135
Habari wana jf.mm ndo kwanza naanza kutupia makoment humu ndani.so,kunikaribisha ndo ishu ya msingi.fanyeni hivyo basi halafu tuone.
 
Karibu Jamvi hilo kalia wenyewe wametoka kuingia kama unavyojua mtu kwake hapigi odi,heshima muhimu kwa wote.
 
Mm nashangaa kwa nn nashangaa ila nadhani nashangaa kushangaa kwenu na mshangazo wangu
 
Unashangaa kwa vile unashangaa au? karibu mkuu umekuja kutafuta mchumba au umeleta ujumbe wa Nape, au Slaa?.
 
Habari wana jf.mm ndo kwanza naanza kutupia makoment humu ndani.so,kunikaribisha ndo ishu ya msingi.fanyeni hivyo basi halafu tuone.

..........karibu sana chabo,.......umekukumbusha mbali sanaaa,..karibu sana,.............................naendelea kukumbuka mambo mengi hasa baada ya kukukaribisha.................................,Chabo,...........
 
haya jf nami ndio huyoo, ashukuriwe asionekana kutupima pumzi,kwani wengine wamefunga matumbo kutengeneza figa, wengine kwa njaa ili ifike kesho, ;Kikubwa pumzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom