wanzzuki
Member
- Feb 27, 2024
- 66
- 129
Habari zenu,
Nipo nasikiliza nyimbo za mwanamuziki kutokea nigeria "wizkid",ukiangalia jamaa anakubalika sana lakini mi naona kama diamond kamzidi jamaa vitu vingi sana,nkianza na uimbaji wake mbona wizkid ata habadiliki nyimbo zote staili ni ile ile ya kupooza ata hamna nyimbo za kuruka ruka wakati tukirudi kwa diamond jamaa anajitahidi kuwapa mashabiki ladha tofauti tofauti kila mziki anauweza,hamna aina ya mziki ambao diamond hajaimba hadi rap kafanya..wizkid hana muonekano wa kisanii ata kidogo diamond anao,mziki unataka mtu entertainer na diamond master wa hivyo vitu.
Nashangaa kuona diamond hana BET,wakati kwa ukali wake kwenye mziki alipaswa awe nazo zakucheba..! Au ndo wanapeana hiyo mituzo kwa kujuana ndo mana mwanetu anatemwa?
Nipo nasikiliza nyimbo za mwanamuziki kutokea nigeria "wizkid",ukiangalia jamaa anakubalika sana lakini mi naona kama diamond kamzidi jamaa vitu vingi sana,nkianza na uimbaji wake mbona wizkid ata habadiliki nyimbo zote staili ni ile ile ya kupooza ata hamna nyimbo za kuruka ruka wakati tukirudi kwa diamond jamaa anajitahidi kuwapa mashabiki ladha tofauti tofauti kila mziki anauweza,hamna aina ya mziki ambao diamond hajaimba hadi rap kafanya..wizkid hana muonekano wa kisanii ata kidogo diamond anao,mziki unataka mtu entertainer na diamond master wa hivyo vitu.
Nashangaa kuona diamond hana BET,wakati kwa ukali wake kwenye mziki alipaswa awe nazo zakucheba..! Au ndo wanapeana hiyo mituzo kwa kujuana ndo mana mwanetu anatemwa?