Napendekeza ugali dagaa kuwa chakula cha taifa


NAOMBA KUUNGA MKONO HOJA KWA 100%
 
Huu wali mbona mweupe sana?. Sio ule wa prastic huu kweli?
 
Weee Mkara acha hizo!
Hivi unajua mbuzi choma mwenye harufu ya kikwapa cha beberu?
Hii ndo iwe national menu.


Na maji ya dhahabu juu?
Dagaa bia havipandi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…