Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,050
- 49,685
Hatari sana Hii kitu.Wali maharage ni
Hatari sana Hii kitu.Wali maharage ni
aisee nayaona mapinduzi ya wali harage.
binafsi kwa hesima nilioupa wali harage, huwa ni marufuku kutumia kijiko hata kama kuna siku ntakuja kuwa trilionea mwenye hadi vijiko vya dhahabu mezani.
Ugali Dagaa kwangu hauvunji heshima kubwa ya muda wote nilioipa wali maharage.
Mkuu umenikumbusha home asubuh ugari dagaa chukuchuku, mchana ugari dagaa wa kukaanga (wakavu), usiku ugari dagaa wa kukaanga na kutiwa lost yaan hatariiii.
ugali chumvi mkuu unakuwa unatamani uwahi kushibaUgari chumvi vip
Kuna wali maharage mazee
Wali nyama sitaki, nipe wali maharage (tena yale ya kijivu itakua poa sana).Kuna wali maharage mazee
DahHugali na mahindi ya kukaanga.