Endeleeni kujifanya mmejikita katika Mjadala wa Bandari na kuacha suala la ngano na mchele

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,681
109,092
Nchi ya Urusi imepanga kuzuia meli kubwa zinazobeba ngano inayotumiwa na nchi nyingi duniani (hasa Bara la Afrika) kutokea Ukraine ambako inalimwa kwa wingi.

Sasa GENTAMYCINE nasema jifanyeni hamjui matumizi na umuhimu wa unga wa ngano kwa sisi masikini (Tanzania) ikiwemo.

Nchi ya India imepanga kuzuia wakulima wake wakubwa wa mchele wake mzuri na mweupe unaopendwa Ulimwenguni Kuutoa nje ya Taifa baada ya Kukwazwa na Upumbavu unaoendelea kwa mataifa matajiri kuyaonea yale masikini.

Na hapa pia GENTAMYCINE nasema jifanyeni hamjui umuhimu wa mchele wakati bila ya unafiki Watanzania 90% wanapenda kula ubeche (wali) na siyo ugali ambao GENTAMYCINE sichoki na siuchoki kuula kila siku hasa nikiwa na mboga yangu ya kichuri, nyama, samaki au dagaa wa Ziwa Victoria.

Ya Mwarabu na Mama waachieni wenyewe kwani hata mhangaike nalo Mwarabu ameshawashiwa taa ya kijani na imeisha hiyo.
 
Nchi ya Urusi imepanga Kuzuia Meli Kubwa zinazobeba Ngano inayotumiwa na nchi nyingi duniani ( hasa Bara la Afrika ) kutokea Ukraine ambako inalimwa kwa Uwingi.

Sasa GENTAMYCINE nasema jifanyeni hamjui matumizi na umuhimu wa Unga wa Ngano kwa Sisi Masikini ( Tanzania ) ikiwemo.

Nchi ya India imepanga Kuzuia Wakulima wake wakubwa wa Mchele wake mzuri na mweupe unaopendwa Ulimwenguni Kuutoa nje ya Taifa baada ya Kukwazwa na Upumbavu unaoendelea kwa Mataifa Matajiri kuyaonea yale Masikini.

Na hapa pia GENTAMYCINE nasema jifanyeni hamjui Umuhimu wa Mchele wakati bila ya Unafiki Watanzania 90% wanapenda Kula Ubeche ( Wali ) na siyo Ugali ambao GENTAMYCINE sichoki na siuchoki Kuula kila Siku hasa nikiwa na Mboga yangu ya Kichuri, Nyama, Samaki au Dagaa wa Ziwa Victoria.

Ya Mwarabu na Mama Waachieni Wenyewe kwani hata mhangaike nalo Mwarabu ameshawashiwa Taa ya Kijani na imeisha hiyo.
Nitashangaa sana kama nchi yetu ikitishika kwa jambo hilo.Tena wahindi et ngano na mchele.Tujiandae kulima masika yamekaribia ndg zangu.
 
Kwa hiyo bandari ndo imeshakwenda hiyo, bongo kuwa na upungufu wa chakula ni matumizi finyu ya ubongo kwani Israeli ana uwezo wa kuzalisha chakula jangwani na kulisha ulaya nzima, tafakari na chukua hatua!
 
Nchi ya Urusi imepanga kuzuia meli kubwa zinazobeba ngano inayotumiwa na nchi nyingi duniani (hasa Bara la Afrika) kutokea Ukraine ambako inalimwa kwa wingi.

Sasa GENTAMYCINE nasema jifanyeni hamjui matumizi na umuhimu wa unga wa ngano kwa sisi masikini (Tanzania) ikiwemo.

Nchi ya India imepanga kuzuia wakulima wake wakubwa wa mchele wake mzuri na mweupe unaopendwa Ulimwenguni Kuutoa nje ya Taifa baada ya Kukwazwa na Upumbavu unaoendelea kwa mataifa matajiri kuyaonea yale masikini.

Na hapa pia GENTAMYCINE nasema jifanyeni hamjui umuhimu wa mchele wakati bila ya unafiki Watanzania 90% wanapenda kula ubeche (wali) na siyo ugali ambao GENTAMYCINE sichoki na siuchoki kuula kila siku hasa nikiwa na mboga yangu ya kichuri, nyama, samaki au dagaa wa Ziwa Victoria.

Ya Mwarabu na Mama waachieni wenyewe kwani hata mhangaike nalo Mwarabu ameshawashiwa taa ya kijani na imeisha hiyo.
Mkuu GENTAMYCIME lengo lako ni kuhamisha mjadala sio bure umeshalamba kibunda shwaashwaa
 
Nitashangaa sana kama nchi yetu ikitishika kwa jambo hilo.Tena wahindi et ngano na mchele.Tujiandae kulima masika yamekaribia ndg zangu.
Kweli mikoa tunatofautiana majira ya kililimo.
Kanda ya kaskazini ndio tunavuna msimu wa masika inamaana hadi mwezi
wa nane katikati hakuna zao lolote la mvua za masika litakuwepo shambani
Itakua kujiandaa na mvua za vuli mwezi wa kumi huko.
 
Nchi ya Urusi imepanga kuzuia meli kubwa zinazobeba ngano inayotumiwa na nchi nyingi duniani (hasa Bara la Afrika) kutokea Ukraine ambako inalimwa kwa wingi.

Sasa GENTAMYCINE nasema jifanyeni hamjui matumizi na umuhimu wa unga wa ngano kwa sisi masikini (Tanzania) ikiwemo.

Nchi ya India imepanga kuzuia wakulima wake wakubwa wa mchele wake mzuri na mweupe unaopendwa Ulimwenguni Kuutoa nje ya Taifa baada ya Kukwazwa na Upumbavu unaoendelea kwa mataifa matajiri kuyaonea yale masikini.

Na hapa pia GENTAMYCINE nasema jifanyeni hamjui umuhimu wa mchele wakati bila ya unafiki Watanzania 90% wanapenda kula ubeche (wali) na siyo ugali ambao GENTAMYCINE sichoki na siuchoki kuula kila siku hasa nikiwa na mboga yangu ya kichuri, nyama, samaki au dagaa wa Ziwa Victoria.

Ya Mwarabu na Mama waachieni wenyewe kwani hata mhangaike nalo Mwarabu ameshawashiwa taa ya kijani na imeisha hiyo.
Ngano kalime, mchele kalime.

Sasa hivi tunataka kufahamu kesi ya Mbeya inaendaje?

Mdude_Nyagali
Erythrocyte
 
Kwamba ukiongelea moja huwezi kuongelea Jingine ? Au wenyewe waongelee hili wewe uongelee hilo....

By the way mchele au chakula kikipanda kila mtu atajua; Suala la Mikabata Mibovu bila kuambiwa by the time unaujua its Too Late...
 
Back
Top Bottom