Nape Nnauye kutaka Kwako Kura za 'Dijitali' Uchaguzi Mkuu 2025 kunaweza kukufanya Utumbuliwe muda si mrefu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,742
109,177
Ni wazi kuwa huenda nawe sasa umekichoka Chama chako cha CCM na sasa unataka kikae pembeni, kwani GENTAMYCINE nina uhakika endapo Kura za Uchaguzi Mkuu ujao (2025) zitapigwa 'Kidijitali' basi Saa 3 Asubuhi tu CCM itaanguka na Kizimkazi Paje Kisiwani Zanzibar itapata Mgeni wao wa Kudumu na Tanzania kupata Chama Kipya cha Kushika Dola.
 
Soma hapo chini kwenye similar discussions. Huo uzi tayari hupo
 
Kwa hapa tuna safari ndefu ya kwenda
 

Attachments

  • Screenshot_20230929-081249.jpg
    Screenshot_20230929-081249.jpg
    96.8 KB · Views: 3
Ni wazi kuwa huenda nawe sasa umekichoka Chama chako cha CCM na sasa unataka kikae pembeni, kwani GENTAMYCINE nina uhakika endapo Kura za Uchaguzi Mkuu ujao ( 2025 ) zitapigwa 'Kidijitali' basi Saa 3 Asubuhi tu CCM itaanguka na Kizimkazi Paje Kisiwani Zanzibar itapata Mgeni wao wa Kudumu na Tanzania kupata Chama Kipya cha Kushika Dola.
Zipigwe manually au kidijitali hakuna wa kuiangusha ccm na Rais Samia

Mwisho kura digital ndio rahisi kuzi hack
 
Ni wazi kuwa huenda nawe sasa umekichoka Chama chako cha CCM na sasa unataka kikae pembeni, kwani GENTAMYCINE nina uhakika endapo Kura za Uchaguzi Mkuu ujao ( 2025 ) zitapigwa 'Kidijitali' basi Saa 3 Asubuhi tu CCM itaanguka na Kizimkazi Paje Kisiwani Zanzibar itapata Mgeni wao wa Kudumu na Tanzania kupata Chama Kipya cha Kushika Dola.
Na ikawe hivyo mtumishi wa Mungu
 
Back
Top Bottom