Inasikitisha sana mtu unapokuwa mwongo mpaka unafikia hatua ya kujidanganya mwenyewe!!!!
mimi sio mwongo, kama huamini baaasi, lakini kiukweli leo CCM wametisha
Inasikitisha sana mtu unapokuwa mwongo mpaka unafikia hatua ya kujidanganya mwenyewe!!!!
hata mimi nimeshangazwa na huu mwamko wa watu wa Kigoma, kweli CHADEMA sasa mmefulia
hii ni real pic. Mkuu, Wema ni mrefu kidogo zaidi ya Zitto
Acha ushabiki watshe wasitishe mwisho wa siku wanaendelea kuwafisidi watanzania hawafai tena kuaminiwa na watanzaniamimi sio mwongo, kama huamini baaasi, lakini kiukweli leo CCM wametisha
mkuu, hapa kuna wale wa sizitaki mbichi hizi, hivi unafikiri wakipata chance kama hizi wataziacha, mbuzi hula kulingana na urefu wa kamba yake
Acha ushabiki watshe wasitishe mwisho wa siku wanaendelea kuwafisidi watanzania hawafai tena kuaminiwa na watanzania
- wacha bro moto wa kuotea mbali huo mbaby wema wa ukweeeee!!, si umeona hapo kwenye pic mtumzima alivyotulia! Ha! Ha! Ha! Ha!
Le mutuz!!
Oyaaaaa brother una miaka mingapi? Samahani nauliaza tu!
Kwa propaganda watu hamjambo,kweli love is blind,mleta mada kapenda dhaifu,kapost kidhaifu,naye dhaifu kama dhaifu.
ccm kukubalika kigoma labda ipite miaka mia nane.
Ccm mnatabia ya kujitekenya wenyewe na kucheka wenyewe.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Inatia moyo sana!...
Leo mji wa Kigoma umepambwa na shamrashamra za mkutano wa CCM, maeneo yote ya mji kuna makundi makubwa ya watu wanaoelekea viwanja vya Mwanga Community Center, barabara zote zimefungwa kutokana na makundi makubwa ya watu kutoka maeneo ya Mlole, Mwandiga, Mji Mwema, Ujiji n.k
Kuna taarifa kwamba baadhi ya madiwani wa CHADEMA na aliyekuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya chama hicho mwaka 2010 leo wanarudisha kadi za chama hicho dhaifu na kujiunga na chama dume CCM
Kwa mwendo huu inabidi CHADEMA mjipange sana mwaka huu, wananchi wameshawachoka, na propaganda zenu za kujisingizia kuuwawa
More updates & pics. to come, niko kwa MAMA NTILIE hapa Kwa Bella namalizia kula
kweli ccm kwishney, yaani mnacopy hata neno dhaifu, daah! Walahi mmezeeka hamna jipya! Kama ni kuku kazeeka hatagi tena ni wa kuchinja!