Nape, Mawaziri kufunika Kigoma

Nape, Mawaziri kufunika Kigoma

Asante kwa kumuumbua huyo pimbi wa ccm
Acha uzandiki kijana mbona kimya wa2 ni wachache na chakushangaza walikua waanze kuhu2bia saa sita mchana mpaka naondoka mkutanoni saa nane na nusu bado hawajaanza kuhu2bia kuwa muwazi..
Kuhusu kufungwa kwa barabara hakuna ki2 kama icho cha kushangaza ni hata njia ya kwenda kigoma mjini ni nyeupe ambapo 2litarajia ya kwamba kutafurika wa2 kutokana na kuwa na office za ccm ila hali ni tofauti na ilivyotarajiwa tafuta..
2achie kigoma ye2 kama ww c wa huku 2naona wenyewe kinachoendelea hapa mkutanoni natafuta picha niziweke hapa kwa more update soon
 
- wacha bro moto wa kuotea mbali huo mbaby wema wa ukweeeee!!, si umeona hapo kwenye pic mtumzima alivyotulia! Ha! Ha! Ha! Ha!

Le mutuz!!


Mkuu wewe ndo ulitaka kuwa mbunge wa Afrika Mashariki?
Kwa mawazo haya? Hufai kuwa hata balozi wa nyumba kumi.
 
Kwa akili kama hizi nasikitikia familia yako, ni bora kuwa na shamba la maboga kuliko kuwa na mtoto au binadamu kama wewe nyambani.
 
Kaenda kucheza kiduku tu... Ampate nani mkutanoni kama si makada na viongozi wa chama? Sana sana wawasombe toka vijijini kama kawaida yao!
 
Watu wa Kigoma ni werevu sana. Kigoma hakuna ccm. By the way hii offer ya TOT hakuna mtu angeacha, hata mie ningehudhuria kusikiliza muziki!
 
- wacha bro moto wa kuotea mbali huo mbaby wema wa ukweeeee!!, si umeona hapo kwenye pic mtumzima alivyotulia! Ha! Ha! Ha! Ha!

Le mutuz!!

kuna siku ukiwa USA ukalalama sana kuwa JF siku hizi imeingiliwa na watu wasio na uwezo tena wa u-Great Thinker. Kumbe ni wewe umekuwa duni wa fikara kiaasi hiki? Aibu imekujaa usoni kweli kweli. Lol
 
Huu ni wakati wa ccm kutimiza ilani yake ya uchaguzi na si huhutubia mikutano!!!!
 
malecela wiliam very soo mtasikia yuko milembe,kwa nini hamjasikia mzee malecela hajiusishi nae anjua bangi zilimuharibu tangia alipodandia meli kwishney
 
​hilo si ni bin la kina nape kama akili ingekuwa nzuri angejijua lakini ni nusu mfu
Mkuu kuna usemi usemao "vya mlevi huliwa na mgema"....

Mkigoma kalewa na sasa vyake vyaliwa na wagema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom