Nape, Mawaziri kufunika Kigoma

Nape, Mawaziri kufunika Kigoma

Wakuu nipeni muda kidogo ntazirusha picha za mkutano wa leo ili muone vijana wa NAPE walivyo waongo,kwanza hakuna hata mwanachama wa chama chochote ambae amerudisha kadi na lingine watu walokuja hapa wametoka maeneo ya Katonga,Gungu,Ujiji,Mwandiga,Luiche ni aibu kwa mkutano wa leo na zaidi haukua mkutano wa kuelezea sera zao isipokua kuponda wapinzani hasa cdm,kwa hyo ndiohakuna lolote la maana,ngoja najitahidi kuzirusha muone wenyewe!
 
Wakuu nipeni muda kidogo ntazirusha picha za mkutano wa leo ili muone vijana wa NAPE walivyo waongo,kwanza hakuna hata mwanachama wa chama chochote ambae amerudisha kadi na lingine watu walokuja hapa wametoka maeneo ya Katonga,Gungu,Ujiji,Mwandiga,Luiche ni aibu kwa mkutano wa leo na zaidi haukua mkutano wa kuelezea sera zao isipokua kuponda wapinzani hasa cdm,kwa hyo ndiohakuna lolote la maana,ngoja najitahidi kuzirusha muone wenyewe!


wewe hukuwepo kwenye mkutano, mbona sikukuona
 
Da again and again soon it will be written R.I.P CCM (Chama cha Mabwepande). Hahahahaha poleni sana na Nape wenu, naona na shangazi W. Malecela anajikogoja. Hakuna yasiyokuwa na mwisho. Babu yangu aliniambia siku moja aliamini Nyerer atatawala milele. Leo uko wapi?
 
5. Ofisi ya CCM mkoa wa Kigoma, iliyopo Mwanga.jpg
Ofisi ya CCM Kigoma leo.
 
Nakuunga mkono kabisa huyu jamaa anamatatizo na nina wasiwasi na akili yake ni mtu wa kuchunguzwa vizuri
​kama ni kuna lofa anayemzidi wiliam malecela basi hakuna maana ya lofa hili jamaa nina wasiwasi na uhalisia wa jina lake
 
Inatia moyo sana!...

Leo mji wa Kigoma umepambwa na shamrashamra za mkutano wa CCM, maeneo yote ya mji kuna makundi makubwa ya watu wanaoelekea viwanja vya Mwanga Community Center, barabara zote zimefungwa kutokana na makundi makubwa ya watu kutoka maeneo ya Mlole, Mwandiga, Mji Mwema, Ujiji n.k

Kuna taarifa kwamba baadhi ya madiwani wa CHADEMA na aliyekuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya chama hicho mwaka 2010 leo wanarudisha kadi za chama hicho dhaifu na kujiunga na chama dume CCM

Kwa mwendo huu inabidi CHADEMA mjipange sana mwaka huu, wananchi wameshawachoka, na propaganda zenu za kujisingizia kuuwawa

More updates & pics. to come, niko kwa MAMA NTILIE hapa Kwa Bella namalizia kula

hebu mulize huyo mama ntilie kuna andazi la shingi hamsini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom