Nape, Mawaziri kufunika Kigoma

Nape, Mawaziri kufunika Kigoma

Before nilidhania ni mwanasiasa lakini sasa nimegundua wewe na wema sepetu afadhali ya wema sepetu kuliko Wiliam malecela kuwa kiongozi, kiongozi unaona sifa kuwekwa kwenye udaku na mademu. na kwa nini upige picha nyingi na mademu,? au kuna kitu unaficha unaogopa usipoonekana na mademu watu watadhani vinginevyo???

ni lile kundi la wanumme wanao hemewa hivyo anapopiga picha na wema huwa wako unyago..
 
Inatia moyo sana!...

Leo mji wa Kigoma umepambwa na shamrashamra za mkutano wa CCM, maeneo yote ya mji kuna makundi makubwa ya watu wanaoelekea viwanja vya Mwanga Community Center, barabara zote zimefungwa kutokana na makundi makubwa ya watu kutoka maeneo ya Mlole, Mwandiga, Mji Mwema, Ujiji n.k

Kuna taarifa kwamba baadhi ya madiwani wa CHADEMA na aliyekuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya chama hicho mwaka 2010 leo wanarudisha kadi za chama hicho dhaifu na kujiunga na chama dume CCM

Kwa mwendo huu inabidi CHADEMA mjipange sana mwaka huu, wananchi wameshawachoka, na propaganda zenu za kujisingizia kuuwawa

More updates & pics. to come, niko kwa MAMA NTILIE hapa Kwa Bella namalizia kula

Ccm funika funika chadema funua funua siri zote hazaraniiiiiii.
 
Inatia moyo sana!...

Leo mji wa Kigoma umepambwa na shamrashamra za mkutano wa CCM, maeneo yote ya mji kuna makundi makubwa ya watu wanaoelekea viwanja vya Mwanga Community Center, barabara zote zimefungwa kutokana na makundi makubwa ya watu kutoka maeneo ya Mlole, Mwandiga, Mji Mwema, Ujiji n.k

Kuna taarifa kwamba baadhi ya madiwani wa CHADEMA na aliyekuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya chama hicho mwaka 2010 leo wanarudisha kadi za chama hicho dhaifu na kujiunga na chama dume CCM

Kwa mwendo huu inabidi CHADEMA mjipange sana mwaka huu, wananchi wameshawachoka, na propaganda zenu za kujisingizia kuuwawa

More updates & pics. to come, niko kwa MAMA NTILIE hapa Kwa Bella namalizia kula

Upo kwenye utekelezaji wa circula/waraka wa mwigulu siyo!propoganda@ work
 
Ninehudhuria mkutani hapa community centre Kigoma. Kwa uzito wa ujumbe uliofika toka DAR ukiulinganisha na watu waliojitokeza kwa kweli CCM wajipange upya. Ki simu changu kimegoma kuattach picha ila zinaonekana bendera za ccm kwa wingi kuliko watu!
Serukamba bado anatoa ahadi mpya za kujenga barabara za lami mjini Kgm na kusahau ahadi za wakati wa uchaguzi.
 
ni kawaida yenu sishangai, dawa yenu ipo
Inatia moyo sana!...

Leo mji wa Kigoma umepambwa na shamrashamra za mkutano wa CCM, maeneo
yote ya mji kuna makundi makubwa ya watu wanaoelekea viwanja vya Mwanga
Community Center, barabara zote zimefungwa kutokana na makundi makubwa
ya watu kutoka maeneo ya Mlole, Mwandiga, Mji Mwema, Ujiji n.k

Kuna taarifa kwamba baadhi ya madiwani wa CHADEMA na aliyekuwa mgombea
wa ubunge kwa tiketi ya chama hicho mwaka 2010 leo wanarudisha kadi za
chama hicho dhaifu na kujiunga na chama dume CCM

Kwa mwendo huu inabidi CHADEMA mjipange sana mwaka huu, wananchi
wameshawachoka, na propaganda zenu za kujisingizia kuuwawa

More updates & pics. to come, niko kwa MAMA NTILIE hapa Kwa Bella
namalizia kula
 
Acha uzandiki kijana mbona kimya wa2 ni wachache na chakushangaza walikua waanze kuhu2bia saa sita mchana mpaka naondoka mkutanoni saa nane na nusu bado hawajaanza kuhu2bia kuwa muwazi..
Kuhusu kufungwa kwa barabara hakuna ki2 kama icho cha kushangaza ni hata njia ya kwenda kigoma mjini ni nyeupe ambapo 2litarajia ya kwamba kutafurika wa2 kutokana na kuwa na office za ccm ila hali ni tofauti na ilivyotarajiwa tafuta..
2achie kigoma ye2 kama ww c wa huku 2naona wenyewe kinachoendelea hapa mkutanoni natafuta picha niziweke hapa kwa more update soon

Asante kwa taarifa za uhakika Mkuu! Tuletee picha.
 
Acha uzandiki kijana mbona kimya wa2 ni wachache na chakushangaza walikua waanze kuhu2bia saa sita mchana mpaka naondoka mkutanoni saa nane na nusu bado hawajaanza kuhu2bia kuwa muwazi..
Kuhusu kufungwa kwa barabara hakuna ki2 kama icho cha kushangaza ni hata njia ya kwenda kigoma mjini ni nyeupe ambapo 2litarajia ya kwamba kutafurika wa2 kutokana na kuwa na office za ccm ila hali ni tofauti na ilivyotarajiwa tafuta..
2achie kigoma ye2 kama ww c wa huku 2naona wenyewe kinachoendelea hapa mkutanoni natafuta picha niziweke hapa kwa more update soon

fanyaivyo 2one ukwel ujulikane mkuu
 
CCM DUME? wewe jike! uwe na adabu kwa dume lako maana litaendelea kukufanyizia mpaka upate mimba ya utapiamlo!!
 
Hongera sana hata kwa kufika KG na kupokelewa hata idadi hiyo ya watu ninaowaona kwenye picha nilidhani hakutakuwa na watu hata wa kuwapokea kwa upepo nianouona kwa viongozi wa chama cha Mapinduzi wanapofika kila eneo la Tanganyika.
 
Back
Top Bottom