Collins
Senior Member
- Jul 19, 2012
- 145
- 48
ni photoshop mkuuBaada ya kutoka na singo yako ya picha hadi kwenye magazeti ya udaku naona unaanza kutoa na za wengine. Endeleaaaa.
ni photoshop mkuuBaada ya kutoka na singo yako ya picha hadi kwenye magazeti ya udaku naona unaanza kutoa na za wengine. Endeleaaaa.
Inakutia moyo kwa sababu wwe na Nape mna uhakika wa posho Lumumba.Lakini sio kwa mwanch wa kawaida ambae hana huduma muhimu kama barabara,viwanda vya kusindikia mazao yake,Elimu bora na umeme ambao kwa miaka 50 mmeshindwa kuufanya uwe wa uhakika.Ingependeza kama ungetuambia MAGAMBA leo wanazindua Visima vya maji,Miradi ya Umeme,uzinduz wa barabara kwa sababu ndio wajibu wa watawala.Badala yake wanafanya kazi za wapinzani.Hii ni dalili ya serikali dhaifu na ilikosa ubunifu adhabu yake nikuondolewa madarakani kwan wamepoteza uhalal wa kutawala .Inatia moyo sana!...
Leo mji wa Kigoma umepambwa na shamrashamra za mkutano wa CCM, maeneo yote ya mji kuna makundi makubwa ya watu wanaoelekea viwanja vya Mwanga Community Center, barabara zote zimefungwa kutokana na makundi makubwa ya watu kutoka maeneo ya Mlole, Mwandiga, Mji Mwema, Ujiji n.k
Kuna taarifa kwamba baadhi ya madiwani wa CHADEMA na aliyekuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya chama hicho mwaka 2010 leo wanarudisha kadi za chama hicho dhaifu na kujiunga na chama dume CCM
Kwa mwendo huu inabidi CHADEMA mjipange sana mwaka huu, wananchi wameshawachoka, na propaganda zenu za kujisingizia kuuwawa
More updates & pics. to come, niko kwa MAMA NTILIE hapa Kwa Bella namalizia kula
Inakutia moyo kwa sababu wwe na Nape mna uhakika wa posho Lumumba.Lakini sio kwa mwanch wa kawaida ambae hana huduma muhimu kama barabara,viwanda vya kusindikia mazao yake,Elimu bora na umeme ambao kwa miaka 50 mmeshindwa kuufanya uwe wa uhakika.Ingependeza kama ungetuambia MAGAMBA leo wanazindua Visima vya maji,Miradi ya Umeme,uzinduz wa barabara kwa sababu ndio wajibu wa watawala.Badala yake wanafanya kazi za wapinzani.Hii ni dalili ya serikali dhaifu na ilikosa ubunifu adhabu yake nikuondolewa madarakani kwan wamepoteza uhalal wa kutawala .
Inatia moyo sana!...
Leo mji wa Kigoma umepambwa na shamrashamra za mkutano wa CCM, maeneo yote ya mji kuna makundi makubwa ya watu wanaoelekea viwanja vya Mwanga Community Center, barabara zote zimefungwa kutokana na makundi makubwa ya watu kutoka maeneo ya Mlole, Mwandiga, Mji Mwema, Ujiji n.k
Kuna taarifa kwamba baadhi ya madiwani wa CHADEMA na aliyekuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya chama hicho mwaka 2010 leo wanarudisha kadi za chama hicho dhaifu na kujiunga na chama dume CCM
Kwa mwendo huu inabidi CHADEMA mjipange sana mwaka huu, wananchi wameshawachoka, na propaganda zenu za kujisingizia kuuwawa
More updates & pics. to come, niko kwa MAMA NTILIE hapa Kwa Bella namalizia kula
Huu ndio ukweli, Hapa Nape hahusiki mkuu
Huu ndio ukweli, Hapa Nape hahusiki mkuu
Juu kwako wewe kwa sababu unawaza posho 2 huna lolote shukuru umezaliwa katika systm ya mafisadi ambao mnaendelea kuwaibia watanzania
sasa hausikije wakati mambo ya uenez na propaganda ni ya Nnauye,au ndo kashakuwa katibu mkuu?tuelekeze vyema!
Ukinywa komoni jumapili lazima uwe mwehu
Lazima zitto alikwenda Kula siku hiyo hiyo jamaa huwa hapewi nafasi, mambo ya Amina chifupa yalianza hivi hiviHii ni photoshop zito haonyeshi Kama alikuwa anacheza angalia facial expression na mwili wake kwa ujumla
juu kwako wewe kwa sababu unawaza posho 2 huna lolote shukuru umezaliwa katika systm ya mafisadi ambao mnaendelea kuwaibia watanzania
- wacha bro moto wa kuotea mbali huo mbaby wema wa ukweeeee!!, si umeona hapo kwenye pic mtumzima alivyotulia! Ha! Ha! Ha! Ha!
Le mutuz!!
Mjinga n wewe kwa kua upo kwenye sytm ya ufisad wa nchi hii.Nilazima serikali iwahakikishie wananchi mazingira mazuri yatakayowezesha wananchi kufanya shughuli zao za kuwaingizia kipato kila sikuMkuu, mi silipwi posho na mtu yoyote hapa, lakini suala la kulaum serikali kwa kila kitu ni ujinga tu
hakuna fuso wala bajaji, watu wamekuja onfoot kwa mapenzi yao
Mkuu hapa tunataka picha za Mkutano ambao umtanagazwa kwa mbwembwe na CCM kwa siku tatu na kutabiri urudishaji wa kadi za Chama makini CHADEMA ili kujenga mazingira ya urudishaji wa kadi bandia ambazo zimeisha chapishwa.Hapa kulikoni picha ya Zitto na Wema Sepetu?Hata kama ndivyo Zitto Hajaoa na anahaki ya maisha binafsi.- wacha bro moto wa kuotea mbali huo mbaby wema wa ukweeeee!!, si umeona hapo kwenye pic mtumzima alivyotulia! Ha! Ha! Ha! Ha!
Le mutuz!!
aliyefanya photoshop kachemsha,unamwona wema sepetu kama kapanda juu ya kitu hivi,huku zitto haonyeshi mwelekeo wa kucheza na mtu mbele yake