MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 5,172
- 13,232
Kwa sababu hata wakifa huwa wanaishiWatu wazuri hawafi sijui imekuaje huyu Membe amekufa!!
Kwa sababu hata wakifa huwa wanaishiWatu wazuri hawafi sijui imekuaje huyu Membe amekufa!!
Wewe taahira kabisaMmekutana wapuuzi watupu
Mbona unahangaika sana wewe taja tu kwani utakuwa wa kwanza!!?Kwa hiyo unafikiri wewe tu ndiyo mwenye kazi?
Uovu wa Membe ni nini?
Nami niutaje uovu wa yule bwana Mwenda kulima.
Bora kuwa mpuuzi kuliko kuwa MJINGA WA KIHALAIKIMmekutana wapuuzi watupu
"Wengi" kwa mujibu wa takwimu gani?Kwanini " wengi walishangilia kifo" cha bwana yule?
Wewe bibi hebu endelea kulea wajukuu huko acha kutupotezea muda wetu!!Nape ndiye aliyemuweka madarakani JIWE kwa wizi wa kura kule masaki akishirikiana na Kinana na January , nyie chawa muwe na heahima hata ya uongo basi
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Yupi Membe au?Kwanini " wengi walishangilia kifo" cha bwana yule?
Siamini kama kila mwenye pesa aliathirika na utawala wa JPM, kila utawala una wale watu ambao wanakuwa upande wa neema.AMbaye hakuathirika na utawala wa Jpm ni wale masikini kindaki ndaki...
Utatema nyongo yote safari hii!Mm sijawahi kuwa na team achilia mbali ku support chama cha wezi mafisadi na wezi wa kura. Napenda utu na ungwana.sipendi ukabila, udini wala chuki zitokanazo na mambo ya kishamba
Mliokuja mjini juzi na kuijua ccm kupitia jf ndo mna nongwa nayo na ushamba mwingi!
Na mamilioni tunamwomba Mungu aliondoe lile kupe lenu. Siku hiyo itakuwa ni ya kilele cha furaha.Mamilioni tulimshukuru Mungu kutuondolea lile subiani la kihutu.
Kwani Mwinyi, Mkapa na Jk nao walikuwa wana deal na mafisadi?Sasa huyo JPM alikuwa anahujumiwa na kila mtu jamani? Mbona hawakumhujumu mkapa, jk, mwinyi na nyerere? Kwann yeye tu kila kitu anahujumiwa? Alimhujumu kwenye mambo gani?
Niteme nyongo kwa watu waliojingishwa nao wakakubali hadi kuwa wajinga wa kihalaiki??. Hembu jitathminiUtatema nyongo yote safari hii!
Team wema hawafi mna hali mbaya sana
Kazikwe pembeni ya jasusi wako ili usiwaone sukuma gangAkili kama hizi ni za watu aina ya Sukuma gang
Naona una hasira sana!Huyo Membe mbona alishamaliza kazi yake? Na alikua akiishi maisha yake?
Unataka kuaminisha watu kuwa kifo ni laana, je kama kifo ni laana, vipi kuhusu mtu aliyefia madarakani tena akiwa ametoka kushinda uchaguzi. Uchaguzi ambao alihakikisha wabunge wote wanaopita ni wabunge wa kwake watakaomsaidia kybadili katiba ili aongezewe muda wa kutawala?
Muwe mnatumia akili, siyo mnatoka kuka.,zwq mnakimbilia kuanzisha nyuzi
Team wema hawafi mnaomba busara?Umeandika vitu vya busara sana mkuu. Asante
Yap.. Kwa sababu siyo mafisadiAMbaye hakuathirika na utawala wa Jpm ni wale masikini kindaki ndaki...
Sasa wale team wema hawafi unawaambiaje?Unaweza usiipate hiyo nafasi ya kushangilia. Waweza kutangukia wewe kuliko unaowasubiria. Kifo ni fumbo hakiangalii umri, cheo, utajiri au namna nyingine yoyote uwayo.
Hujui chochote kuhusu historia ya Tanzania wewe unaweweseka tu.Kwani Mwinyi, Mkapa na Jk nao walikuwa wana deal na mafisadi?
Mpumbavu sana yuleIla kale ka clip bhana jamaa alibugi sana, kwamba Mungu kaamua ugomvi na bahari imetulia. Hivi unaweza kumshirikisha Mungu kwenye haya mambo ya kibinadamu? Hivi unaweza kumpangia Mungu kwamba watu wazuri ni fulani na fulani na hawatakiwi kufa!?
Ndio hapo sasa upumbavu wenu unapoonekana!Waambieni hao Watu wazuri hata wakifa bado Wanaishi.
Membe kazi aliyotumwa na Mungu aliikamilisha hivyo muda ulifika, je kuna aliyechoma Mbuzi na kunywa bia/ Togwa?
Binadamu na Usolo/ Usoro tuna vinasaba nao ndio maana watoto wachanga huupenda na asisahau kwa watoto ufalme wa Mungu ni wao.
Kaitwa na Mungu yes, Maisha yake yalisababisha watu wasage meno! No
Kumfananisha Membe na yule mwovu ni kuonyesha upungufu mkubwa wa kimaaadili, kiakili na mwono hafifu.
Nawasilisha