Nape achezea udongo kwenye mazishi ya Membe

Nape achezea udongo kwenye mazishi ya Membe

Hujui chochote kuhusu historia ya Tanzania wewe unaweweseka tu.
Huyo aliyesili na mafisadi amewafunga wangapi? Mbona ndiyo kwanza Ali.fukuzq CAG na kuteka na kuua waandishi?
Alitunga sheria ngapi za kudhibiti ufisadi zaidi ya kutunga sheria za kudhibiti hata takwimu?
Unamsifia mtu kupambana na ufisadi wakati yye alikuwa fisadi?
Mbona aliuza nyumba za umma kwa mahala zake kina KABULA? Mbona alijiuzia maghorofa mawili ya NHC Pale dodoma kwa bei ya kutupa?
Amka wewe ccm hakuna aliyemsafi labda atoke mbinguni
Dada hizi hasira zako unamtolea nani hapa?

Waandishi hata baba yako Kikwete aliua, unamkumbuka Mwangosi wewe?


Kama vipi kazikwe pembeni ya kaburi lake
 
Dada hizi hasira zako unamtolea nani hapa?

Waandishi hata baba yako Kikwete aliua, unamkumbuka Mwangosi wewe?


Kama vipi kazikwe pembeni ya kaburi lake
Utaishia hivyo hivyo tu lakini haimanishi una kitu kichwani. Mm siandiki kwa hasira naandika vitu nina uhakika navyo mana vilishajadiliwa huko nyuma ukiwa kijijini kwenu usopweni huko
 
Siamini kama kila mwenye pesa aliathirika na utawala wa JPM, kila utawala una wale watu ambao wanakuwa upande wa neema.

Hata sasa chini ya utawala wa mama yenu, ni nini kimebadilika? Waliofunga maduka pale Kariakoo wakilalamika kuathiriwa na mfumo, wote ni masikini unaowazidi kipato?

Jifunzeni kujadili mada kwa kuleta hoja zenye mashiko.
Kila mtu ana haki ya kuandika aaminicho
 
Siamini kama kila mwenye pesa aliathirika na utawala wa JPM, kila utawala una wale watu ambao wanakuwa upande wa neema.

Hata sasa chini ya utawala wa mama yenu, ni nini kimebadilika? Waliofunga maduka pale Kariakoo wakilalamika kuathiriwa na mfumo, wote ni masikini unaowazidi kipato?

Jifunzeni kujadili mada kwa kuleta hoja zenye mashiko.
Hawa waliopo wamerithi mfumo wa kikatili na kinyonyaji Toka awamu iliyopita na kikosi kazi.
 
Kila mtu ana haki ya kuandika aaminicho
Haki ya kuandika uaminicho unayo hilo sijakataa, ila hicho unachokiamini kikiwa hakina ukweli wowote ni lazima kikosolewe utakapokileta public kama hivi.

Unless ubaki na unachokiamini kwenye kichwa chako mwenyewe.
 
Hawa waliopo wamerithi mfumo wa kikatili na kinyonyaji Toka awamu iliyopita na kikosi kazi.
Hii inathibitisha ni kwa namna gani wamekuwa dhaifu kiuongozi, mikaka miwili tangu JPM aondoke kwanini hawajarekebisha huo mfumo?
 
Aliyefariki ni Ben Membe, hizi threads mnazozijaza hapa JF sio uungwana. Ben Membe alikuwa mtu mwema, ameacha famili na marafiki. Hizi dhihaka kuhusu msiba wake sio za kuziendekeza.

BTW, kufurahia kifo cha Magufuli pia haikuwa sawa kwa mtu yeyote. Kila mtu atakufa eventually.

Leo unaweza kuwa unaandika ujinga hapa alafu kesho msiba utahamia nyumbani kwako. Tujifunze utu na uungwana.
Hatimaye jambazi sugu Membe limezikwa,lilimua balozi wa libya,kiko wapi?
 
Haki ya kuandika uaminicho unayo hilo sijakataa, ila hicho unachokiamini kikiwa hakina ukweli wowote ni lazima kikosolewe utakapokileta public kama hivi.

Unless ubaki na unachokiamini kwenye kichwa chako mwenyewe.
Ndo hivyo mkuu..kila mtu abaki na anachoamini..
 
Back
Top Bottom