sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,501
- 2,934
Amej8changanya etTanzania jamani kuna watu wa ajabu sana. Pole sana ndugu yangu ulieleta mada hii.
Amej8changanya etTanzania jamani kuna watu wa ajabu sana. Pole sana ndugu yangu ulieleta mada hii.
Naona wafuasi wa malaika membe mnaandika hekima nyingi ili kumuongezea neema huko umalaikani?Wafuasi wa dhalim Magufuli mnaandika upumbavu mwingi utafikiri mtampunguzia adhabu huko kwenye ziwa la moto
Unakaza fuvu mwisho lipasuke umfate jasusi aliyekufa kizembeWafuasi wa dhalim Magufuli mnaandika upumbavu mwingi utafikiri mtampunguzia adhabu huko kwenye ziwa la moto
Aliyeamuliwa ugomvi nayeYaani Afe Membe halafu iwe Mungu kamjibu Nape?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na hawa wengine wanaokufa kila siku Mungu humjibu Nani? Ni Mungu yupi huyo anayejibu Kwa vifo?
Na kifo cha bwana Yule Mungu alikuwa anamjibu Nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]? Wafuasi wa bwana Yule mnachekesha sana
We Marytina sikia,Yaani Afe Membe halafu iwe Mungu kamjibu Nape?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na hawa wengine wanaokufa kila siku Mungu humjibu Nani? Ni Mungu yupi huyo anayejibu Kwa vifo?
Na kifo cha bwana Yule Mungu alikuwa anamjibu Nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]? Wafuasi wa bwana Yule mnachekesha sana
Mwehu wenu saiv analiwa na funzaMliohuzunishwa na kufa cha yule mwehu katili ni sukuma gang tu
Unaonaje nyomi la sukuma gangMliohuzunishwa na kufa cha yule mwehu katili ni sukuma gang tu
Safari hii team wema hawafi mtataga dagaa!Kwa hiyo jirani yako akikukosea akipatwa na tatizo wewe unashangilia kwa sababu alikukosea? Your too low brother. Kama kina nyerere wangeeneza chuki kama alivyoeneza magufuli nchi hii watu wangeshauana kitambo wala yeye asingekuwa raisi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Utalia sana tuSasa aliyekwambia membe alikuwa mzuri ni nani? Unasumbuliwa na sonon tu huna lolote ujualo wewe. Wamekufa mitume na maisha Ynaendelea wewe unasononeka na kufiwa na wachunga NG'ombe.
Badala ya Magufuli ulitaka mungu amchukue nani ili uone ingekuwa sawa?
Mm sijawahi kuwa na team achilia mbali ku support chama cha wezi mafisadi na wezi wa kura. Napenda utu na ungwana.sipendi ukabila, udini wala chuki zitokanazo na mambo ya kishambaSafari hii team wema hawafi mtataga dagaa!
Yani leo ndio unaona hivyo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Na bado
Mungu kaamua ugomvi
Mungu fundi
Bahari imetulia
Hatasimama tena
Wema hawafi
Hayo maneno ungeyatoa pia nyakati za msiba wa JP!!kinyume na hapo waache watu wale huleeeee!(wafurahi) ,ukiona Hawa wanafurahi ,ujue waliumizwa pia kwa wale wengine waliofurahi, kwa hiyo ni Kama nao wamejibiwa maombi yao.Aliyefariki ni Ben Membe, hizi threads mnazozijaza hapa JF sio uungwana. Ben Membe alikuwa mtu mwema, ameacha famili na marafiki. Hizi dhihaka kuhusu msiba wake sio za kuziendekeza.
BTW, kufurahia kifo cha Magufuli pia haikuwa sawa kwa mtu yeyote. Kila mtu atakufa eventually.
Leo unaweza kuwa unaandika ujinga hapa alafu kesho msiba utahamia nyumbani kwako. Tujifunze utu na uungwana.
Wasukuma bhanaKifo hakina huruma, alipata kuimba dokta Remmy Ongara.
Akionekana mwenye majonzi na haamini kilichotokea hadi sasa, Nape ameonekana akitafuta faraja japo kwa kuchezea vumbi kama mtoto wakati wa mazishi ya godfaza wake huko kijiji cha Chiponda Rondo kwa Membe.
Akiwa mpweke na asiye na kampani yoyote ya marafiki nape aliendelea kujiinamia peke yake huku kaipa mgongo kadamnasi iliyokuwa inaendelea na mazishi huku watu wakionekana kumpuuza kana kwamba sio mbunge wa huko mpaka bwana mmoja wa usalama alipoamua kumsogelea.
Hali hii imetokana na Mungu kumjibu Nape kwa haraka, kwa wakati na kwa ghafla kufuatia kiburi chake cha kibinadamu na mamlaka dhidi ya familia ya JPM, marehemu JPM na watanzania wengi waliohuzunishwa na kifo cha JPM.
Kweli Mungu fundi.
View attachment 2624587
Mkuu wafuasi wa jiwe wanajipoozea machungu kwa Membe kitu ambacho hakihusiani wala kufanana hata kidogo ..Jpm na Membe hawafanani...Sasa wewe nitakujibu nn hata jina unajiita la mtu. Umejawa na mahaba yaliyochanganyika na ukabila, udini, ukanda na ujinga wa kihalaiki? Mkuu unashangilia kifo cha membe? Membe alikuwa nani kwenye hii nchi mzee? Huyu si alikuwa wazir mstaafu tu? Alishawahi kumkosea nani? Sasa. Kafiwa nape au familia ya membe?
Elimu, elimu, elimu
Sasa inatofauti gani na mwanamke kushangilia bwana wake akipigwa na vibaka tu kwa sababu huwa anampiga na yete?
Nchi imepatwa na nn hii????
Mtaalamu wa kuvuta ngada labdawe unaona ni udongo ila wataalam tumeona ni nini
Sukuma gangImebaki kuombeana kifo tu.
Magufuli kwanini uliondoka? Ona sasa nchi haikaliki,
Mbona wenye akili wameelewa ni wewe tu hujaelewaFuta rudia tena kuandika ili ueleweke.
Sasa sheiza tukianza kujadili kuhusuakili za watu hapa wewe utakuwa kundo gani? Huwezi elewa ninayoandika kwa sababu hayana maana kwa wote au kwasababu sikuungi mkono ujinga N chuki zalo unazopandikiza miongoni mwetu.Kwa akili yako hii ni ngumu kuelewa. Hata unachoandika hakieleweki. Wakati mwingine hata ukiishia kusoma tu inatosha. Si lazima uandike.