Nape achezea udongo kwenye mazishi ya Membe

Nape achezea udongo kwenye mazishi ya Membe

Kumbe hujui Membe alifanyanini!!? Basi nimeishia hapa. Mabeberu wanasema "Don't argue with a fool people might not notice the difference"
Kama huwezi kusema membe alifanya nn kibaya zaidi ya kugombea uraisi na baadae kudukuliwa na waliomdukua kuonekana mashujaa basi wewe ni mwenye chuki zitokanazo na ujinga wa kihalaiki tu. Ungekuwa rational ungeweka wazi alifanya nn?
Naogopa kujua unaposema mabeberu kichwani mwako unazungumzia mfumo au watu kwa maana ya wazungu.? Ubeberu siyo lugha wewe ni mfumo
 
Sasa wewe nitakujibu nn hata jina unajiita la mtu. Umejawa na mahaba yaliyochanganyika na ukabila, udini, ukanda na ujinga wa kihalaiki? Mkuu unashangilia kifo cha membe? Membe alikuwa nani kwenye hii nchi mzee? Huyu si alikuwa wazir mstaafu tu? Alishawahi kumkosea nani? Sasa. Kafiwa nape au familia ya membe?
Elimu, elimu, elimu
Sasa inatofauti gani na mwanamke kushangilia bwana wake akipigwa na vibaka tu kwa sababu huwa anampiga na yete?
Nchi imepatwa na nn hii????
One good turn deserves the other !!
 
Ila kale ka clip bhana jamaa alibugi sana, kwamba Mungu kaamua ugomvi na bahari imetulia. Hivi unaweza kumshirikisha Mungu kwenye haya mambo ya kibinadamu? Hivi unaweza kumpangia Mungu kwamba watu wazuri ni fulani na fulani na hawatakiwi kufa!?​
 
Huyo Membe mbona alishamaliza kazi yake? Na alikua akiishi maisha yake?
Unataka kuaminisha watu kuwa kifo ni laana, je kama kifo ni laana, vipi kuhusu mtu aliyefia madarakani tena akiwa ametoka kushinda uchaguzi. Uchaguzi ambao alihakikisha wabunge wote wanaopita ni wabunge wa kwake watakaomsaidia kybadili katiba ili aongezewe muda wa kutawala?
Muwe mnatumia akili, siyo mnatoka kuka.,zwq mnakimbilia kuanzisha nyuzi
Hakumaliza kazi. Yaani ile tarehe 11 jioni ungemfata saa 11 jioni umuambie kesho saa tatu asubui we ni maiti, Membe angekufungulia kesi ya madai jioni ile ile.
 
Ila kale ka clip bhana jamaa alibugi sana, kwamba Mungu kaamua ugomvi na bahari imetulia. Hivi unaweza kumshirikisha Mungu kwenye haya mambo ya kibinadamu? Hivi unaweza kumpangia Mungu kwamba watu wazuri ni fulani na fulani na hawatakiwi kufa!?​
Masuti suti na matai tai huwa yanaficha mambo mengi !!
 
Waambieni hao Watu wazuri hata wakifa bado Wanaishi.

Membe kazi aliyotumwa na Mungu aliikamilisha hivyo muda ulifika, je kuna aliyechoma Mbuzi na kunywa bia/ Togwa?

Binadamu na Usolo/ Usoro tuna vinasaba nao ndio maana watoto wachanga huupenda na asisahau kwa watoto ufalme wa Mungu ni wao.

Kaitwa na Mungu yes, Maisha yake yalisababisha watu wasage meno! No

Kumfananisha Membe na yule mwovu ni kuonyesha upungufu mkubwa wa kimaaadili, kiakili na mwono hafifu.

Nawasilisha
 
Waambieni hao Watu wazuri hata wakifa bado Wanaishi.

Membe kazi aliyotumwa na Mungu aliikamilisha hivyo muda ulifika, je kuna aliyechoma Mbuzi na kunywa bia/ Togwa?

Binadamu na Usolo/ Usoro tuna vinasaba nao ndio maana watoto wachanga huupenda na asisahau kwa watoto ufalme wa Mungu ni wao.

Kaitwa na Mungu yes, Maisha yake yalisababisha watu wasage meno! No

Kumfananisha Membe na yule mwovu ni kuonyesha upungufu mkubwa wa kimaaadili, kiakili na mwono hafifu.

Nawasilisha
Ni kawaida sana kwa binadamu yule uliyekuwa ukimuona ni mwema sana kwenu mtu huyo huyo huwa anaonekana ni muovu kwa wengine !
 
Hata magufuli alikua hivi alivyofariki balozi kijazi waliishi vipi wanajua wenyewe na ndio huzni unayomuona nayo nape hapo.... haiusiani na dhana zako.
 
Waambieni hao Watu wazuri hata wakifa bado Wanaishi.

Membe kazi aliyotumwa na Mungu aliikamilisha hivyo muda ulifika, je kuna aliyechoma Mbuzi na kunywa bia/ Togwa?

Binadamu na Usolo/ Usoro tuna vinasaba nao ndio maana watoto wachanga huupenda na asisahau kwa watoto ufalme wa Mungu ni wao.

Kaitwa na Mungu yes, Maisha yake yalisababisha watu wasage meno! No

Kumfananisha Membe na yule mwovu ni kuonyesha upungufu mkubwa wa kimaaadili, kiakili na mwono hafifu.

Nawasilisha
Membe ni mwovu na ni shetani mkubwa hata Mungu anajua hivyo!! Hakuna cha kumpambapamba ukweli ndio huo hata Nape anajua hivyo na ataendelea kulialia kama mtoto mdogo kwa kujua uovu waliofanya.
 
Waambieni hao Watu wazuri hata wakifa bado Wanaishi.

Membe kazi aliyotumwa na Mungu aliikamilisha hivyo muda ulifika, je kuna aliyechoma Mbuzi na kunywa bia/ Togwa?

Binadamu na Usolo/ Usoro tuna vinasaba nao ndio maana watoto wachanga huupenda na asisahau kwa watoto ufalme wa Mungu ni wao.

Kaitwa na Mungu yes, Maisha yake yalisababisha watu wasage meno! No

Kumfananisha Membe na yule mwovu ni kuonyesha upungufu mkubwa wa kimaaadili, kiakili na mwono hafifu.

Nawasilisha
Ndio maana tumeshangazwa na kifo cha mtu mzuri.

#watuwazuriwamefiwa#
 
Ni kawaida sana kwa binadamu yule uliyekuwa ukimuona ni mwema sana kwenu mtu huyo huyo huwa anaonekana ni muovu kwa wengine !
Membe alikuwa na uovu gani?

Kama Taifa tutashindwa kutofautisha uovu na wema ujue tutakuwa ni Taifa la watu wa ovyo kupita maelezo!

Kama tutashindwa kuheshimu uhuru wa kisiasa na Utawala wa kisheria uliowekwa na Waasisi basi tujue uelekeo watu sio mzuri.

Waambie Wema hata wakifa huwa Wanaishi na Waovu hata wakiwa Wanaishi Wamekufa.

Mfano Yesu na Firauni
 
Membe ni mwovu na ni shetani mkubwa hata Mungu anajua hivyo!! Hakuna cha kumpambapamba ukweli ndio huo hata Nape anajua hivyo na ataendelea kulialia kama mtoto mdogo kwa kujua uovu waliofanya.
Taja uovu wa Membe nami niutaje wa yule mwovu
 
Taja uovu wa Membe nami niutaje wa yule mwovu
Wewe endelea kutaja tu! Mimi sina muda huo! Niko busy na kazi zangu ila uzuri Mungu ni fundi kama ameweza kutuondolea Membe aliyekuwa akifikiri yeye ataishi milele. Tunasubiri wengine sasa.
 
Nilikuwa sijui kama ni wengi waliumizwa na kifo cha kipenzi chetu JPM.

Kifo cha Membe ni kama kimeibua upya maumivu ya watu juu ya kifo cha JPM.

Ninaandika huku nikitokwa na machozi. Namkumbuka JPM.

Tunaoendelea kumlilia JPM tunyooshe mikono hapa.
Mamilioni tulimshukuru Mungu kutuondolea lile subiani la kihutu.
 
Wewe endelea kutaja tu! Mimi sina muda huo! Niko busy na kazi zangu ila uzuri Mungu ni fundi kama ameweza kutuondolea Membe aliyekuwa akifikiri yeye ataishi milele. Tunasubiri wengine sasa.
Kwa hiyo unafikiri wewe tu ndiyo mwenye kazi?
Uovu wa Membe ni nini?
Nami niutaje uovu wa yule bwana Mwenda kulima.
 
Nape ndiye aliyemuweka madarakani JIWE kwa wizi wa kura kule masaki akishirikiana na Kinana na January , nyie chawa muwe na heahima hata ya uongo basi

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
" NAPE ndiye aliyemuweka JPM madarakani" ?? 😂

Kuna sifa nyingine hata wahusika wakizisikia watashangaa.

NAPE aamue nani awe Rais wa Tz hii?
 
Back
Top Bottom