Nape achezea udongo kwenye mazishi ya Membe

Nape achezea udongo kwenye mazishi ya Membe

Aliyefariki ni Ben Membe, hizi threads mnazozijaza hapa JF sio uungwana. Ben Membe alikuwa mtu mwema, ameacha famili na marafiki. Hizi dhihaka kuhusu msiba wake sio za kuziendekeza.

BTW, kufurahia kifo cha Magufuli pia haikuwa sawa kwa mtu yeyote. Kila mtu atakufa eventually.

Leo unaweza kuwa unaandika ujinga hapa alafu kesho msiba utahamia nyumbani kwako. Tujifunze utu na uungwana.
Tunasahau kifo, kwakuwa makaburi yanapendeza
 
Kifo hakina huruma, alipata kuimba dokta Remmy Ongara.

Akionekana mwenye majonzi na haamini kilichotokea hadi sasa, Nape ameonekana akitafuta faraja japo kwa kuchezea vumbi kama mtoto wakati wa mazishi ya godfaza wake huko kijiji cha Chiponda Rondo kwa Membe.

Akiwa mpweke na asiye na kampani yoyote ya marafiki nape aliendelea kujiinamia peke yake huku kaipa mgongo kadamnasi iliyokuwa inaendelea na mazishi huku watu wakionekana kumpuuza kana kwamba sio mbunge wa huko mpaka bwana mmoja wa usalama alipoamua kumsogelea.

Hali hii imetokana na Mungu kumjibu Nape kwa haraka, kwa wakati na kwa ghafla kufuatia kiburi chake cha kibinadamu na mamlaka dhidi ya familia ya JPM, marehemu JPM na watanzania wengi waliohuzunishwa na kifo cha JPM.

Kweli Mungu fundi.

View attachment 2624587
Akili kama hizi ni za watu aina ya Sukuma gang
 
Wewe geuza upendavyo, haitakuwa. Faiza ni neno la Kiarabu maana yake ni ushindi.

Neno shenzi limetokana na neno la Kijerumani sheiza, ikimaanisha nguruwe. Tena kwa kukufafanulia zaidi, ni ile harufu mbaya ya nguruwe, ndipo pia lilipopatikana neno "ushuzi".


Unaweza kuiona kazi yangu nyingine ya "anthropology" ya lugha hapa...


Huwa sikisii.
Wewe kukujibu ni kupoteza muda. Ngoja nikupuuze na upuuzi wako.
 
Kosa kubwa ambalo watu wengi walilifanya ni kushangilia kifo cha JPM, Haikuwa sawa kabsa.
Wakati kuna watu walikuwa wanamuona JPM Kama mtu mbaya wao wakasahau jpm huyo huyo ana watu wanaomuona kama mkombozi kwao, Kwa kweli Mbele ya Mungu Watanzania wanaojua habari za Membe kama hawapo au ni kiduchu sana, JPM Anabaki kuwa shujaa wa walio wengi.
RIP John Pombe, Tutakukumbuka siku zote.
Kwanini " wengi walishangilia kifo" cha bwana yule?
 
Kwa ujinga huu CCM itatawala milele kwa mifumo hii hii iliyokuwepo iliyopo na hii ndio itakayoendelea.
 
Kifo hakina huruma, alipata kuimba dokta Remmy Ongara.

Akionekana mwenye majonzi na haamini kilichotokea hadi sasa, Nape ameonekana akitafuta faraja japo kwa kuchezea vumbi kama mtoto wakati wa mazishi ya godfaza wake huko kijiji cha Chiponda Rondo kwa Membe.

Akiwa mpweke na asiye na kampani yoyote ya marafiki nape aliendelea kujiinamia peke yake huku kaipa mgongo kadamnasi iliyokuwa inaendelea na mazishi huku watu wakionekana kumpuuza kana kwamba sio mbunge wa huko mpaka bwana mmoja wa usalama alipoamua kumsogelea.

Hali hii imetokana na Mungu kumjibu Nape kwa haraka, kwa wakati na kwa ghafla kufuatia kiburi chake cha kibinadamu na mamlaka dhidi ya familia ya JPM, marehemu JPM na watanzania wengi waliohuzunishwa na kifo cha JPM.

Kweli Mungu fundi.

View attachment 2624587
Huyo Membe mbona alishamaliza kazi yake? Na alikua akiishi maisha yake?
Unataka kuaminisha watu kuwa kifo ni laana, je kama kifo ni laana, vipi kuhusu mtu aliyefia madarakani tena akiwa ametoka kushinda uchaguzi. Uchaguzi ambao alihakikisha wabunge wote wanaopita ni wabunge wa kwake watakaomsaidia kybadili katiba ili aongezewe muda wa kutawala?
Muwe mnatumia akili, siyo mnatoka kuka.,zwq mnakimbilia kuanzisha nyuzi
 
Aliyefariki ni Ben Membe, hizi threads mnazozijaza hapa JF sio uungwana. Ben Membe alikuwa mtu mwema, ameacha famili na marafiki. Hizi dhihaka kuhusu msiba wake sio za kuziendekeza.

BTW, kufurahia kifo cha Magufuli pia haikuwa sawa kwa mtu yeyote. Kila mtu atakufa eventually.

Leo unaweza kuwa unaandika ujinga hapa alafu kesho msiba utahamia nyumbani kwako. Tujifunze utu na uungwana.
Umeandika vitu vya busara sana mkuu. Asante
 
Kifo hakina huruma, alipata kuimba dokta Remmy Ongara.

Akionekana mwenye majonzi na haamini kilichotokea hadi sasa, Nape ameonekana akitafuta faraja japo kwa kuchezea vumbi kama mtoto wakati wa mazishi ya godfaza wake huko kijiji cha Chiponda Rondo kwa Membe.

Akiwa mpweke na asiye na kampani yoyote ya marafiki nape aliendelea kujiinamia peke yake huku kaipa mgongo kadamnasi iliyokuwa inaendelea na mazishi huku watu wakionekana kumpuuza kana kwamba sio mbunge wa huko mpaka bwana mmoja wa usalama alipoamua kumsogelea.

Hali hii imetokana na Mungu kumjibu Nape kwa haraka, kwa wakati na kwa ghafla kufuatia kiburi chake cha kibinadamu na mamlaka dhidi ya familia ya JPM, marehemu JPM na watanzania wengi waliohuzunishwa na kifo cha JPM.

Kweli Mungu fundi.

View attachment 2624587
Ni sehemu ya majonzi na ni kawaida Kwa mtu yeyote anapoondokewa na mtu wa karibu yake,hata SABAYA pamoja na ununda wake wote lakini alilia jicho moja kifo cha Mwendazake. Sukuma gang ni watu malofa malofa Sana hata hili nalo hamlijui?
 
Nilikuwa sijui kama ni wengi waliumizwa na kifo cha kipenzi chetu JPM.

Kifo cha Membe ni kama kimeibua upya maumivu ya watu juu ya kifo cha JPM.

Ninaandika huku nikitokwa na machozi. Namkumbuka JPM.

Tunaoendelea kumlilia JPM tunyooshe mikono hapa.
Wenye matatizo ya akili nchini ni wengi sana na Taifa Lina kazi kubwa ya kufanya kuokoa watu wake.
 
Kifo hakina huruma, alipata kuimba dokta Remmy Ongara.

Akionekana mwenye majonzi na haamini kilichotokea hadi sasa, Nape ameonekana akitafuta faraja japo kwa kuchezea vumbi kama mtoto wakati wa mazishi ya godfaza wake huko kijiji cha Chiponda Rondo kwa Membe.

Akiwa mpweke na asiye na kampani yoyote ya marafiki nape aliendelea kujiinamia peke yake huku kaipa mgongo kadamnasi iliyokuwa inaendelea na mazishi huku watu wakionekana kumpuuza kana kwamba sio mbunge wa huko mpaka bwana mmoja wa usalama alipoamua kumsogelea.

Hali hii imetokana na Mungu kumjibu Nape kwa haraka, kwa wakati na kwa ghafla kufuatia kiburi chake cha kibinadamu na mamlaka dhidi ya familia ya JPM, marehemu JPM na watanzania wengi waliohuzunishwa na kifo cha JPM.

Kweli Mungu fundi.

View attachment 2624587

Ni nini cha ajabu? Hivi kuna marehemu ambaye kifo chake wanakosekana waliohuzunika mno, waliohuzunika kiasi, wsliohuzunika kawaida na wale walioona ni kawaida kwa vile kifo ni kwaajili ya kila mwanadamu?

Unakuwa kwenye kundi lipi katika huzuni, itategemea ukaribu wako na marehemu, impact yake katika maisha yako either positively or negatively.

Mathalani Magufuli alikuwa Rsis, Mwalimu Nyerere baba wa Taifa, Mkapa alikuwa Rais, Kawawa waziri mkuu, membe waziri; je, unaweza kusema vifo vya hawa viongozi wetu vilikumiza au vitakuliza kuliko vifo vya ama wazazi wako au wadogo zako su wanafamilia wengine?

Usilazimishe mtu ahuzunike kwa kiwango sawa na ulivyohuzunika wewe kwa sababu huzuni au kulia ni hisia, ni reflex action, vinginevyo utafanya maigizo ya kulia au kuhuzunika ili tu watu waone umehuzunika sana kama walivyofanya baadhi ya watu, mpaka kujifanya wamezimia wakati wa msiba wa Magufuli wakati wakiwa wameendelea kushikilia mifuko yao.

Sisi tulimfahamu Membe kama kiongozi, kuna wengine, siyo tu alikuwa kiongozi bali alikuwa mwanafamilia, rafiki na ndugu. Hawa watakuwa wameumizwa zaidi kuliko sisi wengine. Ndiyo maana siku zote utawasikia watu wakisema kuwa tunawapa pole waliopatwa na msiba, wanafamilia, ndugu, marafiki wa karibu na wafiwa wote.

Kwa upande wa Magufuli, Watanzania walipatwa na msiba wa Rais, lakini kuna watu walipatwa na msiba wa Baba, ndugu, rafiki na mwanafamilia mwenzao. Kwa Watanzania, kusema walifikwa na msiba, inakuwa imekaa kiujumla sana, na pengine kisiasa maana kuna watu ambao maisha yao hayakuwahi kuguswa na marehemu, na wengine waliguswa positively, wengine negatively, wengine hawakuwahi kuonana naye uso kwa uso hata mara moja, wengine walionana naye karibia kila siku, hivyo watu hawa huzuni yao itatofautiana hivyo hivyo.

Hivyo itakuwa ni ujinga wa hali ya juu kuamini au kutegemea watu waguswe na msiba wa Magufuli, Membe, Mkapa au wa ndugu yako binafsi kwa kiwango sawa, labda watu hao waigize. Ni uungwana tu huwa unatumika, wa kuhuzunika pamoja na wafiwa.
 
Kwani JPM hakuwa binadamu?
Mungu kumchukua ilikuwa makosa kwahiyo?
Bwana ametoa na bwana ametwaa haijaeleweka?
Ujinga wa kihalaiki utawaisha lini nyie watu? Unalingqnishaje kifo cha membe na magufuli?
Kwamba kila aliyechukiwa na magufuli baasi ni mbaya kwa wote hii ni aina nyingine ya ujinga mpya mjini
Nadhani kuna watu wamesoma, wamechangamana na watu mbalimbali, lakini ujinga hawajajitenga nao.
 
Kabisa dada cariha. Zamani tulizoea hata mtu kama unamchukia akifa una mute. Wao wakatufungulia dunia ya kufurahia vifo. Mwendo ni huu huu hadi mwisho wa nyakati.

Tunasubiria mwingine kutoka #wazuri family.

#watuwemawamefiwa#
Unaweza usiipate hiyo nafasi ya kushangilia. Waweza kutangulia wewe kuliko unaowasubiria. Kifo ni fumbo hakiangalii umri, cheo, utajiri au namna nyingine yoyote iwayo.
 
Sasa wewe nitakujibu nn hata jina unajiita la mtu. Umejawa na mahaba yaliyochanganyika na ukabila, udini, ukanda na ujinga wa kihalaiki? Mkuu unashangilia kifo cha membe? Membe alikuwa nani kwenye hii nchi mzee? Huyu si alikuwa wazir mstaafu tu? Alishawahi kumkosea nani? Sasa. Kafiwa nape au familia ya membe?
Elimu, elimu, elimu
Sasa inatofauti gani na mwanamke kushangilia bwana wake akipigwa na vibaka tu kwa sababu huwa anampiga na yete?
Nchi imepatwa na nn hii????
Kumbe hujui Membe alifanyanini!!? Basi nimeishia hapa. Mabeberu wanasema "Don't argue with a fool people might not notice the difference"
 
Aliyefariki ni Ben Membe, hizi threads mnazozijaza hapa JF sio uungwana. Ben Membe alikuwa mtu mwema, ameacha famili na marafiki. Hizi dhihaka kuhusu msiba wake sio za kuziendekeza.

BTW, kufurahia kifo cha Magufuli pia haikuwa sawa kwa mtu yeyote. Kila mtu atakufa eventually.

Leo unaweza kuwa unaandika ujinga hapa alafu kesho msiba utahamia nyumbani kwako. Tujifunze utu na uungwana.
One good turn deserves the other !!
 
Back
Top Bottom