Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,758
- 60,048
Wala hawanihusu na sio muumini waoKazikwe naye kaka
Sina shobo za siasa zenu na sipigi kura huko,
Hayo maneno ndio yasiokuwa na hekima na hayafai
.
Wala hawanihusu na sio muumini waoKazikwe naye kaka
Asingekuwa anachezea vumbi kule makaburiniYaani Afe Membe halafu iwe Mungu kamjibu Nape?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na hawa wengine wanaokufa kila siku Mungu humjibu Nani? Ni Mungu yupi huyo anayejibu Kwa vifo?
Na kifo cha bwana Yule Mungu alikuwa anamjibu Nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]? Wafuasi wa bwana Yule mnachekesha sana
Labda ni agizo alipewaKifo hakina huruma, alipata kuimba dokta Remmy Ongara.
Akionekana mwenye majonzi na haamini kilichotokea hadi sasa, Nape ameonekana akitafuta faraja japo kwa kuchezea vumbi kama mtoto wakati wa mazishi ya godfaza wake huko kijiji cha Chiponda Rondo kwa Membe.
Akiwa mpweke na asiye na kampani yoyote ya marafiki nape aliendelea kujiinamia peke yake huku kaipa mgongo kadamnasi iliyokuwa inaendelea na mazishi huku watu wakionekana kumpuuza kana kwamba sio mbunge wa huko mpaka bwana mmoja wa usalama alipoamua kumsogelea.
Hali hii imetokana na Mungu kumjibu Nape kwa haraka, kwa wakati na kwa ghafla kufuatia kiburi chake cha kibinadamu na mamlaka dhidi ya familia ya JPM, marehemu JPM na watanzania wengi waliohuzunishwa na kifo cha JPM.
Kweli Mungu fundi.
View attachment 2624587
Ulitaka achezee play station au simu???Asingekuwa anachezea vumbi kule makaburini
Kama umeumia sana pembeni ya kaburi la Membe bado kuna nafasi ya watu hata watatu. Nenda kaombe uzikwe nae.
Alishiriki ufedhuli wa kumhujumu JPM na hatimae kufurahia kifo chakeUsichokijua ni kwamba wema haulingani na uovu! Wamekufa viongozi wengi sana ulishawahi sikia au kuona watu wakishangilia? Kwann yeye? Wazazi wa
Anzory
Ben sanane
Mawazo
Na wale waliokotwa kwenye viroba ilikuwa lazima washangilie maana muovu aliondoka! Sasa unajifariji kwa kifo cha membe? Membe alikuwa nani hapa nchini? Alimuua nani? Alimteka nani? Alipora pesa zq nani? Alibambikiza kesi kina nani?
Ujinga wa kihalaiki unawasumbua nyie
Wewe geuza upendavyo, haitakuwa. Faiza ni neno la Kiarabu maana yake ni ushindi.We KE una matatizo kwani hujui hata faiza unaweza igeuza ikawa fala.
Mm sipambani na mtu mjinga anayetetea uovu , uaji wizi na utekaji kwa kisingizio cha uzalendo. Napambania haki na wala siyo hango wala upendeleo. Nyie wengine mishipa inawatoka hapa kwasababu ulaji umekatwa na mungu hapo 17.3 imekuwa nongwaKazi unayo. Unapambana nao kila kona.
Shenzi wacha makasirikoAtanijibia mama ako.
Kosa kubwa ambalo watu wengi walilifanya ni kushangilia kifo cha JPM, Haikuwa sawa kabsa.Nilikuwa sijui kama ni wengi waliumizwa na kifo cha kipenzi chetu JPM.
Kifo cha Membe ni kama kimeibua upya maumivu ya watu juu ya kifo cha JPM.
Ninaandika huku nikitokwa na machozi. Namkumbuka JPM.
Tunaoendelea kumlilia JPM tunyooshe mikono hapa.
Sasa huyo JPM alikuwa anahujumiwa na kila mtu jamani? Mbona hawakumhujumu mkapa, jk, mwinyi na nyerere? Kwann yeye tu kila kitu anahujumiwa? Alimhujumu kwenye mambo gani?Alishiriki ufedhuli wa kumhujumu JPM na hatimae kufurahia kifo chake
Hatufananishi watu. Tunafananisha tendo la kufa. Kwani Membe alipokuwa anamponda Magu alimfikia hata robo kiukubwa.? Maana Membe hakuwahi kuwa hata waziri mkuu au spika wa bunge.Mkuu wafuasi wa jiwe wanajipoozea machungu kwa Membe kitu ambacho hakihusiani wala kufanana hata kidogo ..Jpm na Membe hawafanani...
NakaziaAliyefariki ni Ben Membe, hizi threads mnazozijaza hapa JF sio uungwana. Ben Membe alikuwa mtu mwema, ameacha famili na marafiki. Hizi dhihaka kuhusu msiba wake sio za kuziendekeza.
BTW, kufurahia kifo cha Magufuli pia haikuwa sawa kwa mtu yeyote. Kila mtu atakufa eventually.
Leo unaweza kuwa unaandika ujinga hapa alafu kesho msiba utahamia nyumbani kwako. Tujifunze utu na uungwana.
Furaha yangu ni kuwa mnahasimiana wenyewe maccm sina upande katika huo upuuzi wenuUnakaza fuvu mwisho lipasuke umfate jasusi aliyekufa kizembe
Hapo umeongea kiume. Unapambania asali. Utakuwa team Wema hawafi. Poleni na msiba na bado.Mm sipambani na mtu mjinga anayetetea uovu , uaji wizi na utekaji kwa kisingizio cha uzalendo. Napambania haki na wala siyo hango wala upendeleo. Nyie wengine mishipa inawatoka hapa kwasababu ulaji umekatwa na mungu hapo 17.3 imekuwa nongwa
Huyo bwege ni msambaaWasukuma bhana