sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,634
- 11,693
- Thread starter
- #41
We hujui Membe alimkosea nani? Mbona Membe kawakosea wengi tu.Sasa wewe nitakujibu nn hata jina unajiita la mtu. Umejawa na mahaba yaliyochanganyika na ukabila, udini, ukanda na ujinga wa kihalaiki? Mkuu unashangilia kifo cha membe? Membe alikuwa nani kwenye hii nchi mzee? Huyu si alikuwa wazir mstaafu tu? Alishawahi kumkosea nani? Sasa. Kafiwa nape au familia ya membe?
Elimu, elimu, elimu
Sasa inatofauti gani na mwanamke kushangilia bwana wake akipigwa na vibaka tu kwa sababu huwa anampiga na yete?
Nchi imepatwa na nn hii????
Membe kalikosea taifa kwa kauli za ajabu baada ya kifo cha Magufuli
Membe kanyanyasa sana vijana pale lumumba waliokuwa na misimamo ya kiitikadi kama kina Ally hapi.
Ni Membe huyu huyu alitangaza ana maadui sita nchini na wajiandae kuhamia Kenya maana anaenda kuwa rais.
Ilikuwa ukitaka kuelewana na Membe basi uikane nafsi yako na uwe tayari kuambatana nae kwenye falsafa na maono yake.
Waliofanya hivyo walienda nae vizuri.