hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,669
- 27,559
IRAN IMETANGAZA MAZISHI YA ALI LARIJANI
MACHI 18, 2026
Kwa wale ambao bado wanadai kuwa ALI LARIJANI hajafa katika shambulio la anga la Israeli…
Basi leo, Machi 18, 2026, kituo cha Al Jazeera kimetoa taarifa kwamba:
"Iran wanafanya mazishi ya Ali Larijani."
Lakini pamoja na hilo, bado wapo wanaopinga taarifa hizi.
Wanasambaza video na picha zikidai kumuonyesha Larijani akiwa hai, huku wakitumia clips za AI kuhalalisha madai yao.
Cha kushangaza ni kwamba, hao hao wanatumia AI pia kudai kuwa Benjamin Netanyahu ameuawa.
Ukweli ni huu, muda ndio unaotoa majibu.
Si rahisi kuficha kifo cha mtu mkubwa kama huyu.
Picha: Al Jazeera-Machi 18, 2026 — Saa 9:05 asubuhi (Tanzania)
Soma pia Waziri wa Ulinzi Israel asema wamemuuwa Mkuu wa Ulinzi wa Iran, Ali Larijani
MACHI 18, 2026
Basi leo, Machi 18, 2026, kituo cha Al Jazeera kimetoa taarifa kwamba:
"Iran wanafanya mazishi ya Ali Larijani."
Lakini pamoja na hilo, bado wapo wanaopinga taarifa hizi.
Wanasambaza video na picha zikidai kumuonyesha Larijani akiwa hai, huku wakitumia clips za AI kuhalalisha madai yao.
Cha kushangaza ni kwamba, hao hao wanatumia AI pia kudai kuwa Benjamin Netanyahu ameuawa.
Ukweli ni huu, muda ndio unaotoa majibu.
Si rahisi kuficha kifo cha mtu mkubwa kama huyu.
Picha: Al Jazeera-Machi 18, 2026 — Saa 9:05 asubuhi (Tanzania)
Soma pia Waziri wa Ulinzi Israel asema wamemuuwa Mkuu wa Ulinzi wa Iran, Ali Larijani