Naona red black kanizungumzia mimi🤣

Naona red black kanizungumzia mimi🤣

Kipindi kile una like tu waja wakaanza kukulazimisha uwe unachangia uwe unachangia

Ona sasa wameona yaliyomo yamo wanalalamika
Yaani kipindi kile jamaa ana like kila post nilijua ni lizee fulani liko tu limetulia linakuwa pensheni kumbe ni mu r chuga ambaye anakeshaga anakula mbege sasa kupata stimulus anakeshaga kulike post za jf.

Sasa limekuziwa ego inakuja na ulimbukeni wake humu. Huyu Nakuhakikishia, atakuwa daktari huyu, akitoka kazini anapitiliza baa kupumzisha maumivu ya kufanya kazi kwa miaka 50 straight, hana muda na attention ya wife, hana mtu wa kumliwaza Inshort anajifanya tu humu.
 
IMG-20260815-WA0065.jpg
 
Back
Top Bottom