miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Jamani.....humu ndani mnanichekesha.Pole dada jamani tumsaidieni mwenzetu
Bac ww naomba ujitahid ukipata hiyo elfu kumi mm nitaku2mia hiyo elfu 15 niliyokuahid wala ucjal kuhuxu hilo dada yangu
Yani wote tunasoma na kuishia kusema pole tu jamani?Naamini wengi wana uwezo wa kumsaidia chochote, tumtumie hata 2,000 tu kila mmoja itafanya kitu.Atakaeweza kutuma zaidi amtumie.
Pole mamii, Mungu ni mwema, uwe na imani na kesho utakua Same.
Unajua naweza kku2mia but ukaja uka2mia tena kwa mambo mengine na ukawa haujafikia lengo lako la kuondoka dar ndio maana nimekuambia hivyo ili nikiku2mia uende kukata tkt moja kwa 1 c unajua hela ukiwa nayo haikoc ma2miz?
Jamani.....humu ndani mnanichekesha.Pole dada jamani tumsaidieni mwenzetu
Msaidie chochote hata kidogo ndio sadaka zenyewe. Akikutapeli 2,000 sio sawa na 50,000. Pia hutoi ili kupata kitu, unatoa ili kumuwezesha.tatizo siku hizi watu wamejaa sura za utapeli waziwazi
tatizo siku hizi watu wamejaa sura za utapeli waziwazi
Kama huyu ni mumeo wa ndoa umejaribu kuripoti kwa washenga wenu au hamkuwa na wasimamizi? na je kama simu yake inapatikana umeripoti ustawi wa jamii maana ana jukumu la kutoa matumizi yake ?
Ila umechangamka.Matapeli wapo tangu shetani alipomwasi Mungu kaka.Kama vipi nikatie tiketi nije unikabidhi ubungo napanda gari ukiwa unaniona .
Bac ucjal nikitoka kazin nitakuchek ucjal kama unatambua xhida uliyokua nayo maana mwingine waweza kum2mia akaenda kufanyia mambo mengine na na lengo unakuta halijatimia
Ila umechangamka.
mjini shule... Bongo daslamu