Naombeni msaada wana JF

Naombeni msaada wana JF

Pole sana mdughu wangu, shigha nirerehe iti ibene lina kini cha kukughenja japo ni kadori.


Eli79 mghenje rumburia maghu ahunduke kaa, itanga na vaathu vagenji tughenjanye yetoni.


Tumghenjeni rumburia. Vaathu tuketa lukoko hata tetughenjanya neri. ??
 
Last edited by a moderator:
Watu wagumu pesa zao jamani matajiri wa jf mbona hamuonekaniii lo,,comment zenu tu mie hoii
 
Pole sana mdughu wangu, shigha nirerehe iti ibene lina kini cha kukughenja japo ni kadori.

Eli79 mghenje rumburia maghu ahunduke kaa, itanga na vaathu vagenji tughenjanye yetoni.

Nnevashukuru sana vandughu vangu.Nam Mrungu avaghenje.
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu kanitumia elfu 16000 mda huu,jina lake la JF hajaniambia ila ni mchaga na anaishi Kisangara,Mwanga.Nakushukuru ndugu Mungu akubariki.
 
Kwanini nisikubali? Nipe namba yako ya simu kesho tukutane Ubungo asubuhi.

Kesho asubuhi saa tatu kamili nikukute kituo cha basi kinondoni moroko,subiri kituo cha kwenda kariakoo,tukutane hapo nitakupa hio nauli.
 
Kesho asubuhi saa tatu kamili nikukute kituo cha basi kinondoni moroko,subiri kituo cha kwenda kariakoo,tukutane hapo nitakupa hio nauli.

Sasa nitakujuaje bila kunipa mawasiliano yako ndugu.
 
Sasa nitakujuaje bila kunipa mawasiliano yako ndugu.

Uwe pale saa tatu kamili mimi nitakupigia simu nikifika. Nitafika hapo saa tatu kamili. Unachotakiwa kufanya ni kuwa hapo on time tu.
 
Namshukuru ndugu mwana JF Mangwelele amenitumia elfu 16 000 mda si mrefu.Mungu akubariki.
 
Uwe pale saa tatu kamili mimi nitakupigia simu nikifika. Nitafika hapo saa tatu kamili. Unachotakiwa kufanya ni kuwa hapo on time tu.

Ndugu sitaweza kufika bila kuwa na mawasiliano yako kwa maana wewe ni binadamu lolote laweza kukupata mda wowote.
 
Uwe pale saa tatu kamili mimi nitakupigia simu nikifika. Nitafika hapo saa tatu kamili. Unachotakiwa kufanya ni kuwa hapo on time tu.

Mkuu huyo dada ameshatoa namba yake ya simu.kama unania ya kumsaidia mtumie namba yako muwasiliane.sio lazima uiandike humu.reply za humu jf hazitoshi kumuhakikishia mtu appoitment ya uhakika.cha muhimu mpigie kwenye namba yake kama kweli unania.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mkuu huyo dada ameshatoa namba yake ya simu.kama unania ya kumsaidia mtumie namba yako muwasiliane.sio lazima uiandike humu.reply za humu jf hazitoshi kumuhakikishia mtu appoitment ya uhakika.cha muhimu mpigie kwenye namba yake kama kweli unania.

Namba yake nimeiona ndio maana nimemwambia awe halo niliposema,naweza kutuma mtu sio lazima nije mimi kwahio namba yangu haina umuhimu kwake.
 
Namba yake nimeiona ndio maana nimemwambia awe halo niliposema,naweza kutuma mtu sio lazima nije mimi kwahio namba yangu haina umuhimu kwake.

Sitaweza kufika ndugu kwa maana sina uhakika wa kukutana na wewe kwa maana hata mawasiliano hutaki kutoa na ulisema utanipeleka ubungo ukate tiketi na sasa umebadilika tena.
 
Sitaweza kufika ndugu kwa maana sina uhakika wa kukutana na wewe kwa maana hata mawasiliano hutaki kutoa na ulisema utanipeleka ubungo ukate tiketi na sasa umebadilika tena.

Sawa wewe ndio unataka msaada na mimi nataka kutoa, nitatoa kwa terms zangu Kama ngumu basi.
 
Sawa wewe ndio unataka msaada na mimi nataka kutoa, nitatoa kwa terms zangu Kama ngumu basi.

Mkuu unaonekana huna nia thabiti.huwezi kumwambia mtu aje mahali ambapo hakuna appoitment y uhakika.namba yako hutaki kutoa atakuamini vp.? hata kama utatuma mtu lakini dhamani yake ni wewe.kwahiyo namba yako ni muhimu awe nayo.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom