- Thread starter
- #121
Aisee EMT njoo usome jibu lako.
BTW, huyo mtu alijua uko JF na JF ni rahisi kupata msaada akikutumia wewe? Unafikiri kwanini hakujiunga yeye mwenyewe na kwanini haitumii tena hiyo namba aliyokuelekeza uitumie?
chondechonde usije ukaipoteza hii yako wasamaria wema wakashindwa kuendelea kukusaidia.
Kila la kheri.
Huyo rafiki yangu alikuwa mkoani na hajui hata JF niliona badala ya kwenda Kibaha kuulizia madali kama alivyoniomba nikaona nitangaze namba yake ili awasiliane na hao madalali moja kwa moja endapo wataona namba yake.
Last edited by a moderator: