Nimeshapita Chalinze naelekea Same,Kilimanjaro.Namshukuru Mangwelele kwa 16000,namshuku Samboko kwa 5000 na Patience kwa 3500 na Kiepe Yai pokea shukrani zangu kwa kuhimiza japo hukutoa pesa ila umeonyesha moyo na kutumia mda wako kwa kuhimiza.Shukrani zangu za pekee ziwaendee JF kwa kuniruhusu kutumia Jukwaa lao kuombea msaada,nashukuru kwa walioniombea kwa Mungu nashukuru vilevile kwa wale waliokejeli na maneno machafu, tunaambiwa tushukuru katika kila jambo.Wale walioniahidi kunisadia kunipa chochote nitawashukuru mkifanya hivyo kwa maana naweza kununulia mahindi gunia moja kisha nikaanza kuuza rejarereja.Mbarikiwe NYOOOTE!