Naombeni msaada kuhusu huu utata ulipo kwenye dini

Naombeni msaada kuhusu huu utata ulipo kwenye dini

Sasa kwa nini unashindwa kuelewa jambo dogo kama vision ya Musa na Elia? Labda ni kwa kuwa unasoma Biblia intellectually, sio spiritually.
Labda nikufafanulie kidogo ili twende sawa

Mwanadamu anaundwa na vitu viwili vikuu
1.roho(pumzi)
2.mwili

Roho ya mwanadamu haina uwezo wa kujigawa mara mbili.

Yohana alibeba roho ya elia(maana yake roho ya elia imewahi kukaa kwenye miili miwili ya kibinadamu)

Wakati musa na elia wamekuja bado yohana alikua yupo hai
 
Agano jipya nimemaliza vitabu vyote, ukija agano la kale nimebakiza vitabu vichache sana hasa vile vinavyofanana na quran kimuundo


Mimi ni miongoni mwa wakatoliki ambaye ninauwezo wa kushindana kihoja na walokole plus weslam, kwahiyo usinichukulie poa ni wakatoliki wachache sana wanaoweza kufanya hivyo
Weslam ndo kina nani hao?
 
Mm pia mmoja wapo
Agano jipya nimemaliza vitabu vyote, ukija agano la kale nimebakiza vitabu vichache sana hasa vile vinavyofanana na quran kimuundo


Mimi ni miongoni mwa wakatoliki ambaye ninauwezo wa kushindana kihoja na walokole plus weslam, kwahiyo usinichukulie poa ni wakatoliki wachache sana wanaoweza kufanya hivyo
huwa m
Agano jipya nimemaliza vitabu vyote, ukija agano la kale nimebakiza vitabu vichache sana hasa vile vinavyofanana na quran kimuundo


Mimi ni miongoni mwa wakatoliki ambaye ninauwezo wa kushindana kihoja na walokole plus weslam, kwahiyo usinichukulie poa ni wakatoliki wachache sana wanaoweza kufanya hivyo
Mm pia mmoja wapo huwa napenda sana nikutane na sda wazee wa ufunuo wa yohana na daniel
 
Dini ni utapeli.

Biblia na Quran ni hadithi uchwara za danganya toto.
 
Mm pia mmoja wapo

huwa m

Mm pia mmoja wapo huwa napenda sana nikutane na sda wazee wa ufunuo wa yohana na daniel
Hao nikikutana nao huwa nawatusua sana...huwa nawaambia torati imesema amelaaniwa mtu yule asiyeshika vema maneno ya torati hii...sasa swali lake nawaambia wanitajie sheria 15 tu wanazozijua wakishindwa nawaambia basi mimi siwezi kubishana na mtu aliyelaaniwa..(huwa wanakasirika sana ila wanaupokea ukweli mchungu)
 
Dini ni utapeli.

Biblia na Quran ni hadithi uchwara za danganya toto.
Napingana na wewe...ukisema hivyo basi hata mizimu nayo ni utapeli tu na kama mizimu ni utapeli nenda kalale makaburini usiku halafu uje hapa tuendelee na mada
 
Labda nikufafanulie kidogo ili twende sawa

Mwanadamu anaundwa na vitu viwili vikuu
1.roho(pumzi)
2.mwili

Roho ya mwanadamu haina uwezo wa kujigawa mara mbili.

Yohana alibeba roho ya elia(maana yake roho ya elia imewahi kukaa kwenye miili miwili ya kibinadamu)

Wakati musa na elia wamekuja bado yohana alikua yupo hai
Tuanzie hapo. Kama mwanadamu anaundwa na vitu viwili, roho na mwili, Mungu aliumba vitu viwili ili kupata mwanadamu? Na roho ni nini hasa?

Unajua, nitakupa mfano. Ukisema hii gari ina nguvu ya Horsepower 200, ndio maana ina nguvu sana, je unaweza kutengenisha engine ya hiyo gari na Horsepower ya gari? Mainjinia wanapounda gari, wanachanganya engine (mwili) na horsepower (roho) ili engine ifanye kazi?

Sasa tunapoongelea engine ya Scania, tunaongea katika context ya engine kama chuma na power ya engine kama nguvu inayofanya engine iwe hai na kuendesha gari. Kujaribu kuvitenganisha ni kujaribu kujichanganya tu. Hivyo hivyo, binadamu anakuwa binadamu kwa sababu yeye ni combination ya mwili na roho, na huwezi kuviongelea katika context kama vitu viwili vinavyoweza kuwa separated, kama ambavyo huwezi ku-separate engine na nguvu ya gari. Ila unatambua bila block lachuma hakuna horsepower na bila horsepower hakuna engine. Kwa hiyo engine ikifa sio kuwa horsepower imeondolewa.

Kwa hiyo roho ni nguvu ya utendaji ndani ya mtu, ambayo sio kitu tangible au kinachoweza kuwa independent, kama ambavyo nguvu ya engine sio kitu tangible unaweza kuki-separate na engine. Ndio maana katika semi za kawaida tunaweza sema huyu jamaa ana roho ngumu sana, yaani ile nguvu yake ya utendaji inamuwezesha kufanya afanye vitu ambavyo watu wengine hawawezi. Au unakuwa na roho mbaya kwa sababu unatumia nguvu ya uhai wako vibaya.

Sasa hii nguvu ya utendaji ndio inakufanya wewe uwe mtu hai, na isipokuwapo wewe ni mfu, mwili tu. Na ndio nguvu Mungu alimwekea Adamu. Sio kwamba aliumba mwili wa Adamu, akaumba roho ya Adamu halafu akavichanganya kuwa kitu kimoja, kwa hiyo kimoja kinaweza kufa separate na kingine. Umewahi kusikia roho imekufa mwili umebaki?

Na kumbuka hii roho (horsepower) kila kiumbe wanayo, iwe mwanadamu, wanyama, ndege, wadudu, malaika na hata shetani ibilisi. Hata Mungu anayo. Shetani anaitumia vibaya kwa uovu, na Mungu anaitumia siku zote kwa mambo mema tu - ndio maana ya Mungu ni takatifu, njema, safi, katu haiwezi kutumika kwa ubaya wa aina yeyote ile. Na ukithubutu kusema Mungu anaitumia vibaya ni dhambi ambayo hutasamehewa.

Umeelewa au ndio nimekuchanganya zaidi?
 
Tuanzie hapo. Kama mwanadamu anaundwa na vitu viwili, roho na mwili, Mungu aliumba vitu viwili ili kupata mwanadamu? Na roho ni nini hasa?

Unajua, nitakupa mfano. Ukisema hii gari ina nguvu ya Horsepower 200, ndio maana ina nguvu sana, je unaweza kutengenisha engine ya hiyo gari na Horsepower ya gari? Mainjinia wanapounda gari, wanachanganya engine (mwili) na horsepower (roho) ili engine ifanye kazi?

Sasa tunapoongelea engine ya Scania, tunaongea katika context ya engine kama chuma na power ya engine kama nguvu inayofanya engine iwe hai na kuendesha gari. Kujaribu kuvitenganisha ni kujaribu kujichanganya tu. Hivyo hivyo, binadamu anakuwa binadamu kwa sababu yeye ni combination ya mwili na roho, na huwezi kuviongelea katika context kama vitu viwili vinavyoweza kuwa separated, kama ambavyo huwezi ku-separate engine na nguvu ya gari. Ila unatambua bila block lachuma hakuna horsepower na bila horsepower hakuna engine. Kwa hiyo engine ikifa sio kuwa horsepower imeondolewa.

Kwa hiyo roho ni nguvu ya utendaji ndani ya mtu, ambayo sio kitu tangible au kinachoweza kuwa independent, kama ambavyo nguvu ya engine sio kitu tangible unaweza kuki-separate na engine. Ndio maana katika semi za kawaida tunaweza sema huyu jamaa ana roho ngumu sana, yaani ile nguvu yake ya utendaji inamuwezesha kufanya afanye vitu ambavyo watu wengine hawawezi. Au unakuwa na roho mbaya kwa sababu unatumia nguvu ya uhai wako vibaya.

Sasa hii nguvu ya utendaji ndio inakufanya wewe uwe mtu hai, na isipokuwapo wewe ni mfu, mwili tu. Na ndio nguvu Mungu alimwekea Adamu. Sio kwamba aliumba mwili wa Adamu, akaumba roho ya Adamu halafu akavichanganya kuwa kitu kimoja, kwa hiyo kimoja kinaweza kufa separate na kingine. Umewahi kusikia roho imekufa mwili umebaki?

Na kumbuka hii roho (horsepower) kila kiumbe wanayo, iwe mwanadamu, wanyama, ndege, wadudu, malaika na hata shetani ibilisi. Hata Mungu anayo. Shetani anaitumia vibaya kwa uovu, na Mungu anaitumia siku zote kwa mambo mema tu - ndio maana ya Mungu ni takatifu, njema, safi, katu haiwezi kutumika kwa ubaya wa aina yeyote ile. Na ukithubutu kusema Mungu anaitumia vibaya ni dhambi ambayo hutasamehewa.

Umeelewa au ndio nimekuchanganya zaidi?
Hongera lakini kuna vitu umevichanganya....wewe unatambua hp peke yake ila tambua kwenye engine hp haimaanishi hyo nguvu unayoisema(huku tupaache)

Ukisema hp kwa minajili ya nguvu bas kwa mwili wa binadamu unaweza kuzalisha nguvu(roho haizalishi nguvu ya mwili bali inashawishi tu)
 
Hongera lakini kuna vitu umevichanganya....wewe unatambua hp peke yake ila tambua kwenye engine hp haimaanishi hyo nguvu unayoisema(huku tupaache)

Ukisema hp kwa minajili ya nguvu bas kwa mwili wa binadamu unaweza kuzalisha nguvu(roho haizalishi nguvu ya mwili bali inashawishi tu)
Sasa hapo ndio sikuelewi hata unataka kusema nini. Ulitaka niongelee HP pamoja na nozzles au plugs?

Sio kwamba roho inazalisha nguvu bali roho ndio nguvu ya utendaji na uhai wako yenyewe. Mbona nimekueleza kwa kirefu sana? Unaweza kusema HP ndio inazalisha nguvu ya gari?
 
Habarin wakuu

Kwanza kabisa mimi ni mkatoliki pure, nimekulia na kulelewa katika misingi ya imani..

Kama ujuavyo tena sisi wakatoliki sio watu wa kusoma biblia, mara nyingi tunaskiliza tu mahubiri na kusomewa neno halafu ndo inakua imetoka hiyo.

Kuna mwaka fulani nilibahatika kukaa na watu wanaopenda sana dini hivyo ikapelekea na mimi kuanza kuichimba biblia kisawasawa na nikafanikiwa kusoma vitabu vingi ambavyo viliniacha na maswali mengi sana

1.wana wa israel wamewahi kuibiwa sanduku la agano baada ya kuchezea kichapo kikali sana ila baadaye walifanikiwa kulirudisha, utata ndo unaanzia hapo kwenye kulirudisha, wakiwa njiani wamelibeba lile sanduku ilitokea ajali ndogo ambayo ilipelekea lile sanduku litake kudondoka hivyo bwana mmoja akaona ni vema akaliwahi ili lisidondoke ila cha kushangaza alikufa pale pale kwa sababu yeye haruhusiwi kulishika sanduku hilo

Swali langu likawa ni kwa hao walioliiba walikua wamelibebaje bila kuwa dhuru au ndo ilikua ni mipando ya mungu tu?


2.yesu akiwa mlimani alitokewa na watu wawili ambao ni musa na elia hali iliyopelekea simion kumwambia yesu wajenge vibanda vitatu, tukirudi nyuma tunaambiwa roho ya elia ilikuwa ndani ya yohana mbatizaji(swali litengeneze mwenyewe)

Maswali ni mengi mengine nitayaweka kwenye comment.


Ikabidi nizame kwa weslamu au mnyaazi.

Kiukweli kile kitabu ni kigumu sana kukisoma kutokana na mfumo wake wa uandi na ukitaka ukielewe inatakiwa usome kwanza kitabu cha mithali halafu ndo uanze kusoma quran

Ukizichambua hadithi hata hizo sahih utaona kabisa kuna fix nying zimewekwa

Mkuu hongera sana kwa kuamua kuchukua hatua ya kuanza kujisomea biblia takatifu ili kupata elimu ya Mungu kwa kina.

Katika kitabu cha Mithali 1:7 Biblia inasema kumcha Bwana ni chanzo cha Maarifa.

Naomba nianze kukujibu maswali yako mazuri kama ifuatavyo:

1. Ilikuwaje walioliiba Sanduku la Agano Hawakudhurika?

Tukio linalozungumziwa ni pale Waisraeli walipopigwa na Wafilisti (1 Samweli 4), na Sanduku la Agano likaibiwa na Wafilisti. Kwenye Biblia, imeandikwa kwamba Wafilisti walilichukua Sanduku hilo na kulipeleka kwenye mji wao, lakini haikuishia vizuri kwao.

Kwa nini Wafilisti hawakufa pale pale kama ilivyomtokea yule Mwisraeli?

Kwanza, ni kweli kwamba kuna watu waliokufa au kuadhibiwa walipoligusa Sanduku bila ruhusa, mfano mzuri ni Uza (2 Samweli 6:6-7). Alikufa papo hapo kwa sababu aliligusa Sanduku “bila ruhusa” akiwa na nia njema.

Kwa upande wa Wafilisti, hawakuwa na elimu ya sheria za Mungu wa Israeli, hawakujua Sanduku linapaswa kushikwa na Walawi tu, na kwa utaratibu maalumu. Lakini licha ya kutokufa papo hapo, waliadhibiwa sana: magonjwa, majipu, na miji yao ikapata majanga (1 Samweli 5:6-12).

Kwa hiyo, hawakudhurika kwa njia ile ile, lakini waliadhibiwa vikali, mpaka wakaamua kurudisha Sanduku la Agano kwa Waisraeli. Mungu alikuwa na lengo la kuwaonyesha ukuu wake, siyo tu kwa Waisraeli bali pia kwa Wafilisti na mataifa mengine.

Kwa nini Uza alikufa papo hapo lakini Wafilisti hawakufa?

Uza alijua sheria, alikuwa Mwisraeli. Mungu alikuwa anatoa fundisho la uzito wa kutii maagizo yake kwa watu wake. Wafilisti, hawakuwa na ufunuo huo; wao waliadhibiwa lakini hawakufa papo hapo. Ilikuwa fundisho kwa Waisraeli na pia onyo kwa mataifa.

2. Yesu, Musa, na Elia Wakitokea Mlimani na Roho ya Elia Ndani ya Yohana Mbatizaji?

Petro, Yakobo, na Yohana waliwaona Musa na Elia wakiwa na Yesu, ndipo Petro akasema, “Tujenge vibanda vitatu…” (Mathayo 17, Marko 9, Luka 9).

Swali la msingi hapa ni:

Kama Elia alikuja tena kama Yohana Mbatizaji (yaani roho yake), mbona anaonekana bado kama Elia mlimani akiwa na Yesu? Je, kuna “roho mbili” au “Elia wawili”? Au Elia ni mmoja tu, na bado anaonekana mlimani na Yesu, wakati tayari “roho yake” ilikuwa ndani ya Yohana Mbatizaji?

Yesu alisema wazi kwamba Yohana Mbatizaji ndiye “Elia atakayekuja” (Mathayo 11:14, Luka 1:17), lakini sio kwamba Yohana ni Elia aliyerudi, bali alikuja katika “roho na nguvu za Elia” yaani tabia, kazi, na utume wa Elia.

Yohana Mbatizaji mwenyewe alikanusha kwamba yeye ni Elia aliyerudi mwilini (Yohana 1:21).

Elia aliyekuja mlimani na Yesu hakuwa Yohana Mbatizaji bali ni yule Elia wa agano la kale. Hili lilionyesha kwamba Yesu ndiye anaunganisha Agano la Kale (Elia na Musa) na Agano Jipya (Yeye mwenyewe).

Kwa hiyo, si kwamba kuna roho mbili za Elia, bali ni kwamba Yohana alipewa utume wa Elia, siyo roho au nafsi ya Elia.

Wale waliotokea mlimani ni Musa (mwakilishi wa sheria) na Elia (mwakilishi wa manabii), wakiongea na Yesu kama uthibitisho kwamba Yesu ndiye utimilifu wa Sheria na Manabii.

Kwa hiyo, Wafilisti hawakudhurika sawa na Waisraeli kwa sababu hawakuwa na ufunuo wa sheria, ila walipata adhabu zao kwa namna tofauti. Yohana Mbatizaji hakuwa Elia aliyerudi, bali alikuja katika roho na nguvu za Elia yaani tabia na utume, sio roho ileile ya Elia. Elia aliyekuwa na Yesu mlimani ni yule yule wa agano la kale, akitokea kimuujiza ili kudhihirisha mamlaka ya Yesu.
 
Habarin wakuu

Kwanza kabisa mimi ni mkatoliki pure, nimekulia na kulelewa katika misingi ya imani..

Kama ujuavyo tena sisi wakatoliki sio watu wa kusoma biblia, mara nyingi tunaskiliza tu mahubiri na kusomewa neno halafu ndo inakua imetoka hiyo.

Kuna mwaka fulani nilibahatika kukaa na watu wanaopenda sana dini hivyo ikapelekea na mimi kuanza kuichimba biblia kisawasawa na nikafanikiwa kusoma vitabu vingi ambavyo viliniacha na maswali mengi sana

1.wana wa israel wamewahi kuibiwa sanduku la agano baada ya kuchezea kichapo kikali sana ila baadaye walifanikiwa kulirudisha, utata ndo unaanzia hapo kwenye kulirudisha, wakiwa njiani wamelibeba lile sanduku ilitokea ajali ndogo ambayo ilipelekea lile sanduku litake kudondoka hivyo bwana mmoja akaona ni vema akaliwahi ili lisidondoke ila cha kushangaza alikufa pale pale kwa sababu yeye haruhusiwi kulishika sanduku hilo

Swali langu likawa ni kwa hao walioliiba walikua wamelibebaje bila kuwa dhuru au ndo ilikua ni mipando ya mungu tu?


2.yesu akiwa mlimani alitokewa na watu wawili ambao ni musa na elia hali iliyopelekea simion kumwambia yesu wajenge vibanda vitatu, tukirudi nyuma tunaambiwa roho ya elia ilikuwa ndani ya yohana mbatizaji(swali litengeneze mwenyewe)

Maswali ni mengi mengine nitayaweka kwenye comment.


Ikabidi nizame kwa weslamu au mnyaazi.

Kiukweli kile kitabu ni kigumu sana kukisoma kutokana na mfumo wake wa uandi na ukitaka ukielewe inatakiwa usome kwanza kitabu cha mithali halafu ndo uanze kusoma quran

Ukizichambua hadithi hata hizo sahih utaona kabisa kuna fix nying zimewekwa
1-Uzembe wako wa kutokusoma biblia usisingizie dhehebu lako.Kuna mtu/mkatoliki alikukataza kuisoma biblia?
2-Shuleni(kama ulipitia)hakukuwa na somo la dini ukajifunza?(Bible knowledge/Divinity)
3-Makosa yako/uzembe wako usimsingizie mtu au watu.Anza kujihoji wewe mwenyewe kama unatosha.
4-Unasoma biblia kikasuku.Rudi kasome upya.Majibu yapo humohumo.
 
Sasa hapo ndio sikuelewi hata unataka kusema nini. Ulitaka niongelee HP pamoja na nozzles au plugs?

Sio kwamba roho inazalisha nguvu bali roho ndio nguvu ya utendaji na uhai wako yenyewe. Mbona nimekueleza kwa kirefu sana? Unaweza kusema HP ndio inazalisha nguvu ya gari?
Huko kwenye engine paache tu hujui kitu ni vile theory imekujaa

Hapo mwanzo kabisa nilisema binadamu anaundwa na vitu viwili navyo ni roho na mwili sasa wewe ukaanza kuleta mambo ya engine

Ok unaijua lublication quils?
 
1-Uzembe wako wa kutokusoma biblia usisingizie dhehebu lako.Kuna mtu/mkatoliki alikukataza kuisoma biblia?
2-Shuleni(kama ulipitia)hakukuwa na somo la dini ukajifunza?(Bible knowledge/Divinity)
3-Makosa yako/uzembe wako usimsingizie mtu au watu.Anza kujihoji wewe mwenyewe kama unatosha.
4-Unasoma biblia kikasuku.Rudi kasome upya.Majibu yapo humohumo.
Ndo majibu yenu hayo...siku zote mkibananishwa kwenye kona huwa mnasema tusome biblia kwa muongozo wa roho mtakatifu.....kwann biblia iliandikwa kwa lugha ya kibinadamu ila mambo magumu tunatupia upande wa kutishana
 
Mkuu hongera sana kwa kuamua kuchukua hatua ya kuanza kujisomea biblia takatifu ili kupata elimu ya Mungu kwa kina.

Katika kitabu cha Mithali 1:7 Biblia inasema kumcha Bwana ni chanzo cha Maarifa.

Naomba nianze kukujibu maswali yako mazuri kama ifuatavyo:

1. Ilikuwaje walioliiba Sanduku la Agano Hawakudhurika?

Tukio linalozungumziwa ni pale Waisraeli walipopigwa na Wafilisti (1 Samweli 4), na Sanduku la Agano likaibiwa na Wafilisti. Kwenye Biblia, imeandikwa kwamba Wafilisti walilichukua Sanduku hilo na kulipeleka kwenye mji wao, lakini haikuishia vizuri kwao.

Kwa nini Wafilisti hawakufa pale pale kama ilivyomtokea yule Mwisraeli?

Kwanza, ni kweli kwamba kuna watu waliokufa au kuadhibiwa walipoligusa Sanduku bila ruhusa, mfano mzuri ni Uza (2 Samweli 6:6-7). Alikufa papo hapo kwa sababu aliligusa Sanduku “bila ruhusa” akiwa na nia njema.

Kwa upande wa Wafilisti, hawakuwa na elimu ya sheria za Mungu wa Israeli, hawakujua Sanduku linapaswa kushikwa na Walawi tu, na kwa utaratibu maalumu. Lakini licha ya kutokufa papo hapo, waliadhibiwa sana: magonjwa, majipu, na miji yao ikapata majanga (1 Samweli 5:6-12).

Kwa hiyo, hawakudhurika kwa njia ile ile, lakini waliadhibiwa vikali, mpaka wakaamua kurudisha Sanduku la Agano kwa Waisraeli. Mungu alikuwa na lengo la kuwaonyesha ukuu wake, siyo tu kwa Waisraeli bali pia kwa Wafilisti na mataifa mengine.

Kwa nini Uza alikufa papo hapo lakini Wafilisti hawakufa?

Uza alijua sheria, alikuwa Mwisraeli. Mungu alikuwa anatoa fundisho la uzito wa kutii maagizo yake kwa watu wake. Wafilisti, hawakuwa na ufunuo huo; wao waliadhibiwa lakini hawakufa papo hapo. Ilikuwa fundisho kwa Waisraeli na pia onyo kwa mataifa.

2. Yesu, Musa, na Elia Wakitokea Mlimani na Roho ya Elia Ndani ya Yohana Mbatizaji?

Petro, Yakobo, na Yohana waliwaona Musa na Elia wakiwa na Yesu, ndipo Petro akasema, “Tujenge vibanda vitatu…” (Mathayo 17, Marko 9, Luka 9).

Swali la msingi hapa ni:

Kama Elia alikuja tena kama Yohana Mbatizaji (yaani roho yake), mbona anaonekana bado kama Elia mlimani akiwa na Yesu? Je, kuna “roho mbili” au “Elia wawili”? Au Elia ni mmoja tu, na bado anaonekana mlimani na Yesu, wakati tayari “roho yake” ilikuwa ndani ya Yohana Mbatizaji?

Yesu alisema wazi kwamba Yohana Mbatizaji ndiye “Elia atakayekuja” (Mathayo 11:14, Luka 1:17), lakini sio kwamba Yohana ni Elia aliyerudi, bali alikuja katika “roho na nguvu za Elia” yaani tabia, kazi, na utume wa Elia.

Yohana Mbatizaji mwenyewe alikanusha kwamba yeye ni Elia aliyerudi mwilini (Yohana 1:21).

Elia aliyekuja mlimani na Yesu hakuwa Yohana Mbatizaji bali ni yule Elia wa agano la kale. Hili lilionyesha kwamba Yesu ndiye anaunganisha Agano la Kale (Elia na Musa) na Agano Jipya (Yeye mwenyewe).

Kwa hiyo, si kwamba kuna roho mbili za Elia, bali ni kwamba Yohana alipewa utume wa Elia, siyo roho au nafsi ya Elia.

Wale waliotokea mlimani ni Musa (mwakilishi wa sheria) na Elia (mwakilishi wa manabii), wakiongea na Yesu kama uthibitisho kwamba Yesu ndiye utimilifu wa Sheria na Manabii.

Kwa hiyo, Wafilisti hawakudhurika sawa na Waisraeli kwa sababu hawakuwa na ufunuo wa sheria, ila walipata adhabu zao kwa namna tofauti. Yohana Mbatizaji hakuwa Elia aliyerudi, bali alikuja katika roho na nguvu za Elia yaani tabia na utume, sio roho ileile ya Elia. Elia aliyekuwa na Yesu mlimani ni yule yule wa agano la kale, akitokea kimuujiza ili kudhihirisha mamlaka ya Yesu.
Umenena vema
 
Ndo majibu yenu hayo...siku zote mkibananishwa kwenye kona huwa mnasema tusome biblia kwa muongozo wa roho mtakatifu.....kwann biblia iliandikwa kwa lugha ya kibinadamu ila mambo magumu tunatupia upande wa kutishana
Usikariri ulichowahi kujibiwa awali.Nasisitiza:Kasome biblia na usimsingizie mtu au jamii fulani kwa uzembe wako wa kutosoma.
 
Kwaiyo hilo tukio la musa na elia kumtokea yesu halipo kwenye biblia?
Hii ilikua kielelezo chakukataza ibada za kuabudu wafu na ndo mana Yesu hakukubaliana nao, hivyo ni funzo kwako muabudu wafu na masanamu
 
Hii ilikua kielelezo chakukataza ibada za kuabudu wafu na ndo mana Yesu hakukubaliana nao, hivyo ni funzo kwako muabudu wafu na masanamu
Hiyo wanzuki unayokunywa jitahidi kuchanganya na maji
 
Habarin wakuu

Kwanza kabisa mimi ni mkatoliki pure, nimekulia na kulelewa katika misingi ya imani..

Kama ujuavyo tena sisi wakatoliki sio watu wa kusoma biblia, mara nyingi tunaskiliza tu mahubiri na kusomewa neno halafu ndo inakua imetoka hiyo.

Kuna mwaka fulani nilibahatika kukaa na watu wanaopenda sana dini hivyo ikapelekea na mimi kuanza kuichimba biblia kisawasawa na nikafanikiwa kusoma vitabu vingi ambavyo viliniacha na maswali mengi sana

1.wana wa israel wamewahi kuibiwa sanduku la agano baada ya kuchezea kichapo kikali sana ila baadaye walifanikiwa kulirudisha, utata ndo unaanzia hapo kwenye kulirudisha, wakiwa njiani wamelibeba lile sanduku ilitokea ajali ndogo ambayo ilipelekea lile sanduku litake kudondoka hivyo bwana mmoja akaona ni vema akaliwahi ili lisidondoke ila cha kushangaza alikufa pale pale kwa sababu yeye haruhusiwi kulishika sanduku hilo

Swali langu likawa ni kwa hao walioliiba walikua wamelibebaje bila kuwa dhuru au ndo ilikua ni mipando ya mungu tu?


2.yesu akiwa mlimani alitokewa na watu wawili ambao ni musa na elia hali iliyopelekea simion kumwambia yesu wajenge vibanda vitatu, tukirudi nyuma tunaambiwa roho ya elia ilikuwa ndani ya yohana mbatizaji(swali litengeneze mwenyewe)

Maswali ni mengi mengine nitayaweka kwenye comment.


Ikabidi nizame kwa weslamu au mnyaazi.

Kiukweli kile kitabu ni kigumu sana kukisoma kutokana na mfumo wake wa uandi na ukitaka ukielewe inatakiwa usome kwanza kitabu cha mithali halafu ndo uanze kusoma quran

Ukizichambua hadithi hata hizo sahih utaona kabisa kuna fix nying zimewekwa
Umechanganya matukio ....sanduku kutekwa ni kisa tofauti na hicho cha sanduku kutaka kudondoka likisindikizwa na daudi baada ya daudi kupata mamlaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom