Naombeni msaada kuhusu huu utata ulipo kwenye dini

Naombeni msaada kuhusu huu utata ulipo kwenye dini

Ok twende kazi

Biblia kuna vitu imevisema ambavyo kiuhalisia ni vigumu kuvichukua kama vilivyo.. tukihoji tunaambiwa mambo ya roho mtakatifu, kama ni hivyo kwanini iliandikwa kwa wanadam?
Ni biblia potovu za makanisan8 na fafanuzi za uongo ....kuna siku kulikuwa na mjadala hapa jf kuhusu amri ya ,waheshimu baba yako na mama yako ...mimi nikawaambia wakristo kuwa wameipotosha maana hiyo amri wakabisha ....nikawaambia tena kuwa hakuna mkristo wa makanisani anaye jua maana ya amri 10 wakabisha ...basi nilicho fanya ni kuwauliza swali moja tu kuhusu amri 10 za mungu ....wote wakakimbia uzi ...wakabaki wasikilizaji tu kwenye ule uzi hadi wasikilizaji wakashangaa wakawa wanawaita wakristo kuja kutoa jibu hakuna aliye kuja na uzi ukafa.
 
Ni biblia potovu za makanisan8 na fafanuzi za uongo ....kuna siku kulikuwa na mjadala hapa jf kuhusu amri ya ,waheshimu baba yako na mama yako ...mimi nikawaambia wakristo kuwa wameipotosha maana hiyo amri wakabisha ....nikawaambia tena kuwa hakuna mkristo wa makanisani anaye jua maana ya amri 10 wakabisha ...basi nilicho fanya ni kuwauliza swali moja tu kuhusu amri 10 za mungu ....wote wakakimbia uzi ...wakabaki wasikilizaji tu kwenye ule uzi hadi wasikilizaji wakashangaa wakawa wanawaita wakristo kuja kutoa jibu hakuna aliye kuja na uzi ukafa.
Nadhani tunashindwa kuelewana
Wewe hoja yako ni ipi?

Bibilia iko sahihi kila kitu?
 
Hata mara mia tisa.Lakini,Kama mbichwa wako ni boga bovu utabaki hivyohivyo unauliza maswali ya kipumbaff!
Ukienda kisiwa ambacho watu waishio huko wote hawana maskio isipokuwa wewe tu ndo unayo maskio bila shaka jamii hiyo itakuona wewe mwenye maskio kuwa ni kilema ama unamatatizo ya kiAfya. The same kwa watu wanaozaliwa na vidole sita huwa tunawaona wanamatatizo kwasababu asilimia kubwa kwenye jamii tuna vidole vitano

I hope utakua umejua nini nimemaanisha
 
Nadhani tunashindwa kuelewana
Wewe hoja yako ni ipi?

Bibilia iko sahihi kila kitu?
Ndiyo na nioisha wajibu watu wengi humu ...tatizo lao ni akili zao ndogo hivyo wanashindwa kufumbua logic za mafundisho ya biblia ....
 
Ukienda kisiwa ambacho watu waishio huko wote hawana maskio isipokuwa wewe tu ndo unayo maskio bila shaka jamii hiyo itakuona wewe mwenye maskio kuwa ni kilema ama unamatatizo ya kiAfya. The same kwa watu wanaozaliwa na vidole sita huwa tunawaona wanamatatizo kwasababu asilimia kubwa kwenye jamii tuna vidole vitano

I hope utakua umejua nini nimemaanisha
Ukienda hicho kisiwa cha kipumbaff ambacho watu wake hawana (Zingatia neno hawana)masikio,hao ni vilema.Usiremberembe.Wewe ni kipumbaff tu.Usitafute excuses!
 
Wakristo hamuwezi mkaongelea dini yenu bila ya kuukashifu Uislamu kwenye mada zenu?
 
Ndiyo na nioisha wajibu watu wengi humu ...tatizo lao ni akili zao ndogo hivyo wanashindwa kufumbua logic za mafundisho ya biblia ....
Ngoja tuanze na maswali mepesi kwanza

Ukisoma kitabu cha ufunuo . Yohana alioneshwa mji ule ambao una milango 12 na kila mlango una jina la yale makabila 12 ya wana wa yakobo

Kila kabila litapita kwenye mlango wake
Swali langu je wewe mkinga utapita kwenye mlango gani? Au tutalazimisha tupite kwa walawi?
 
Ukienda hicho kisiwa cha kipumbaff ambacho watu wake hawana (Zingatia neno hawana)masikio,hao ni vilema.Usiremberembe.Wewe ni kipumbaff tu.Usitafute excuses!
Bila shaka kichwa chako ni mzigo mzito unaoutesa mwili, wakati wenzio tunapewa ubongo wewe ulikuwa wapi?
 
Labda nikufafanulie kidogo ili twende sawa

Mwanadamu anaundwa na vitu viwili vikuu
1.roho(pumzi)
2.mwili

Roho ya mwanadamu haina uwezo wa kujigawa mara mbili.

Yohana alibeba roho ya elia(maana yake roho ya elia imewahi kukaa kwenye miili miwili ya kibinadamu)

Wakati musa na elia wamekuja bado yohana alikua yupo hai
Mwanadamu haundwi na Vitu 2.

Mwanadamu anaundwa na Vitu 3.
1. Roho - Spirit.
2. Soul - Nafsi.
3. Mwili - Body.

Na Kila kimoja kinafanya kazi tofauti. Unaonekana unapenda mambo ya Dini, ila unatumia Akili Yako ya kawaida kutaka kuelewa Biblia na mambo ya Kiroho Kwa ujumla.

Maisha ni Roho, na Biblia ni mwongozo wa kuishi Maisha yanayompendeza Mungu kimwili na kiroho.
Kwa Vile Mungu ni Roho na Kila kitu kinachohusiana naye kina Roho, Sasa Kwa Akili tu mtoto mdogo, basi ili kumwelewa Mungu inabidi uingie kwenye Anga zake, uwe mtu wa Kiroho, kuwa mtu wa Kiroho sio kusoma Biblia.

Ndiyo maana Kwa vile Mungu ni Roho, na sisi Binadamu tu Mwili, Nafsi na Roho, na ili Mungu aingie kwenye Anga zetu tuweze kuelewana ama twende sawa, ilibidi ajivue Uungu wake, ashuke Duniani kama Binadamu kupitia Yesu Kristo....!

Ushauri wangu kwako kama unataka kuelewa Mambo ya kwenye Biblia na Ulimwengu wa Roho Kwa Ujumla, alika Roho nyingine iingie ndani Yako, soon Ile Roho ikiingia ndani Yako, itakusaidia kuelewa yote haya, wakati mwingine utashangaa unajiuliza tu jambo ndani Yako, na ghafla tu, ukajikuta unapata majibu ndani Yako, unajikuta unaelewa mambo ya Kiroho bila kufundishwa na Binadamu, Ile Roho unayotakiwa kuikaribisha inaitwa Roho Mtakatifu.

Mimi pia ni Mkatoriki Kwa Asili, lakini kwenye Ukatoriki Kazi za Roho Mtakatifu zimefinywa sana hivi, so Kuna Vitu nikaanza kubadirisha Mimi mwenyewe, mambo za kwenda Kwa Padre kutubu nikaondoa, nikawa nafanya toba straight Kwa Mungu na vitu vingine nikaongeza, zile sala za kukariri nikazitoa, nikaanza kufanya maombi kufunga mfululizo n k...... Kwa Nia kabisa... Then one day....... boom....!
Nikajikuta tu naanza kuelewa Mambo ya kiroho bila kufundishwa, nikajikuta naona vitu ambavyo macho ya kawaida hayawezi kuona, nikajikuta naanza kupata majibu ya maswali mengi niliyokua najiuliza, nikaanza kusikia Sauti ya ndani, Kuna Sauti ikaanza kuongea ndani yangu, nasikia mwenyewe Kwa ndani....!

Ikinikumbusha Kuomba nikisahau, ikinipa vifungu vya kusoma vya Biblia etc.
So kama Lengo lako ni kuijua kweli na sio kuja hapa ili Ubishane, badirisha Mentality Yako, tumia muda wako kumtafuta Mungu, naye atajifunua kwako Wazi Wazi.
 
Bila shaka kichwa chako ni mzigo mzito unaoutesa mwili, wakati wenzio tunapewa ubongo wewe ulikuwa wapi?
Nilikuwa wa kwanza kuchagua ubongo mzuri na nikawa monitor wenu.Ndiyo maana haukunikuta kwenye msururu wenu wa kipumbaff.
 
Wakristo hamuwezi mkaongelea dini yenu bila ya kuukashifu Uislamu kwenye mada zenu?
Ukienda dubai na ukachukua kipande cha gazeti la michezo na kuja nacho hapa nchini, ikitokea kwa bahati mbaya ukakichoma kile kipande kidogo cha gazeti ambacho kimeandika kwa lugha ya kiarabu na watu wa dini fulani wakakuona bila shaka utaingizwa kwenye matatizo kwamba umechoma maneno matakatifu hata kama hawajui ni nini kilichoandikwa
 
Ngoja tuanze na maswali mepesi kwanza

Ukisoma kitabu cha ufunuo . Yohana alioneshwa mji ule ambao una milango 12 na kila mlango una jina la yale makabila 12 ya wana wa yakobo

Kila kabila litapita kwenye mlango wake
Swali langu je wewe mkinga utapita kwenye mlango gani? Au tutalazimisha tupite kwa walawi?
Jibu ufunuo ni fumbo au siyo fumbo ?kama ni fumbo basi ukutumia akili kuuliza swali kama ilo, maana hata yesu aliwaambia watu kuwa wasipo kula mwili wake na kuinywa damu yake awawezi kuingia peponi...ila kama ufunuo siyo fumbo basi ninatakiwa kukupa jobu la ilo swali kama ulivyo uliza ...pia peponi wanaingia watakatifu kabla ya hayo makabila 12 ya Israel watakatifu walikuwepo je hao watatupwa motoni ..pia unatakiwa kujua jina Israel ni nini na lilitoka wapi?
 
Mwanadamu haundwi na Vitu 2.

Mwanadamu anaundwa na Vitu 3.
1. Roho - Spirit.
2. Soul - Nafsi.
3. Mwili - Body.

Na Kila kimoja kinafanya kazi tofauti. Unaonekana unapenda mambo ya Dini, ila unatumia Akili Yako ya kawaida kutaka kuelewa Biblia na mambo ya Kiroho Kwa ujumla.

Maisha ni Roho, na Biblia ni mwongozo wa kuishi Maisha yanayompendeza Mungu kimwili na kiroho.
Kwa Vile Mungu ni Roho na Kila kitu kinachohusiana naye kina Roho, Sasa Kwa Akili tu mtoto mdogo, basi ili kumwelewa Mungu inabidi uingie kwenye Anga zake, uwe mtu wa Kiroho, kuwa mtu wa Kiroho sio kusoma Biblia.

Ndiyo maana Kwa vile Mungu ni Roho, na sisi Binadamu tu Mwili, Nafsi na Roho, na ili Mungu aingie kwenye Anga zetu tuweze kuelewana ama twende sawa, ilibidi ajivue Uungu wake, ashuke Duniani kama Binadamu kupitia Yesu Kristo....!

Ushauri wangu kwako kama unataka kuelewa Mambo ya kwenye Biblia na Ulimwengu wa Roho Kwa Ujumla, alika Roho nyingine iingie ndani Yako, soon Ile Roho ikiingia ndani Yako, itakusaidia kuelewa yote haya, wakati mwingine utashangaa unajiuliza tu jambo ndani Yako, na ghafla tu, ukajikuta unapata majibu ndani Yako, unajikuta unaelewa mambo ya Kiroho bila kufundishwa na Binadamu, Ile Roho unayotakiwa kuikaribisha inaitwa Roho Mtakatifu.

Mimi pia ni Mkatoriki Kwa Asili, lakini kwenye Ukatoriki Kazi za Roho Mtakatifu zimefinywa sana hivi, so Kuna Vitu nikaanza kubadirisha Mimi mwenyewe, mambo za kwenda Kwa Padre kutubu nikaondoa, nikawa nafanya toba straight Kwa Mungu na vitu vingine nikaongeza, zile sala za kukariri nikazitoa, nikaanza kufanya maombi kufunga mfululizo n k...... Kwa Nia kabisa... Then one day....... boom....!
Nikajikuta tu naanza kuelewa Mambo ya kiroho bila kufundishwa, nikajikuta naona vitu ambavyo macho ya kawaida hayawezi kuona, nikajikuta naanza kupata majibu ya maswali mengi niliyokua najiuliza, nikaanza kusikia Sauti ya ndani, Kuna Sauti ikaanza kuongea ndani yangu, nasikia mwenyewe Kwa ndani....!

Ikinikumbusha Kuomba nikisahau, ikinipa vifungu vya kusoma vya Biblia etc.
So kama Lengo lako ni kuijua kweli na sio kuja hapa ili Ubishane, badirisha Mentality Yako, tumia muda wako kumtafuta Mungu, naye atajifunua kwako Wazi Wazi.
Nimekuelewa sana
Sio kwamba roho mtakatifu amefinywa hilo nakataa

Kuhusu swala la toba hata mimi siendagi kitubioni ila sio kama wanakosea watu wanaoenda kutubu

Biblia inasema mtakalo lifunga duniani na mbingu litafungwa pia mtakalo lifungua duniani na mbinguni litafunguliwa kwahiyo naweza kusema kama wakatoriki wamelifungua jambo lao basi hata mbinguni litakuwa limefunguliwa
 
Jibu ufunuo ni fumbo au siyo fumbo ?kama ni fumbo badi ukutumia akili kuuliza swali kama ilo maana hata yesu aliwaambia watu kuwa wasipo kula mwili wake na kuinywa damu yake awawezi kuingia peponi...ila kama ufunuo siyo fumbo basi ninatakiwa kukupa jobu la ilo swali kama ulivyo uliza ...pia peponi wanaingia watakatifu kabla ya hayo makabila 12 ya Israel watakatifu walikuwepo je hao watatupwa motoni ..pia unatakiwa kujua jina Israel ni nini na lilitoka wapi?
Jibu swali wacha mbwembwe.
Kama hadi idadi ya watakao ingia kwenye hyo milango inajulikana unashindwaje kunijibu swali jepesi hili?

Umezungumza kabla ya hayo makabila 12...jibu lake ni ndio watakuwepo ila haijulikani kama watapitia hukumu gani kwa maana enzi zao walikua wanaokolewa kwa kufata sheria ila kizazi cha baada ya yesu hakipo chini ya zile sheria

Biblia inasema zamani zile za ujinga mungu alijifanya haoni dhambi zenu lakini sasa tubuni
 
Nilikuwa wa kwanza kuchagua ubongo mzuri na nikawa monitor wenu.Ndiyo maana haukunikuta kwenye msururu wenu wa kipumbaff.
Inaonekana wewe bila kumkashifu mtu huridhiki kabisa....huko unakoelekea utakuja kunisababishia ban
 
Nimekuelewa sana
Sio kwamba roho mtakatifu amefinywa hilo nakataa

Kuhusu swala la toba hata mimi siendagi kitubioni ila sio kama wanakosea watu wanaoenda kutubu

Biblia inasema mtakalo lifunga duniani na mbingu litafungwa pia mtakalo lifungua duniani na mbinguni litafunguliwa kwahiyo naweza kusema kama wakatoriki wamelifungua jambo lao basi hata mbinguni litakuwa limefunguliwa
Hivi unajua Kuna mambo mengi Kanisa linafanya na Mungu hana shida nayo, Yani hayamvutii Mungu....!?

Mimi nimetumikia Kanisani nikiwa Kijana Mdogo, na baadaye nikaanza kuimba Kwaya, unajua Kuna Mapadre Katoriki sio wote, wana Upako wa hatari kina Mwamposa wanasubiri.
Unajua Kuna Mapadre ni Manabii kabisa, Yani wanayo Ile kalama ya Unabii.

Wapo Mapadre Wana kalama ya Uponyaji wa hatari, zaidi ya kusoma Misa, kutoa Sakramenti mbalimbali Kuna Nini kingine wanafanya Kwa kile kitu ambacho Mungu kaweka ndani Yao....!?

Hawaruhusiwi kuombea Wagonjwa Kanisani, hawaruhusiwi kutoa Mapepo Kanisani, na Wapo Mapadre uwezo huo wanao.

Miaka ya Nyuma nikiwa natumikia, tulipata Padre Mgeni alitoka nje ya Nchi, yule Padre akaja akanambia kuanzia Kesho na Kila Jumatano utakua unafungua Kanisa saa 11 alfajiri so utaamka saa 10 utaenda Kanisani, utaandaa Vifaa vyote Kwa ajiri ya Misa fupi.... Then akanambia lakini Usimwambie Mtu.

Kesho yake saa 10 nimeshaamka nikaenda kuandaa Vyote Padre alivyonambia, saa 11 nikafungua mlango, nikakuta Watu wengi walikua wanasubiri nje, sijui Padre aliwaandaa watu saa ngapi, ila nahisi kupitia Jumuiya, Padre akaendesha Misa fupi Mimi nikimsaidia, then akaanza kuwaombea Wagonjwa.

Maombi yake yalikua simple tu Kila mgonjwa akianza na "Kwa jina la Baba na Mwana........" Kwa Macho yangu nilishihudia akikemea Mapepo na Mapepo yakiwaachilia watu, Tena wakipiga kelele alikua anafanya Shhhhhhh........! Hutaki kelele, ondokeni bila kelele.
Kwa macho yangu nilishihudia Walemavu wakitembea, Wagonjwa wakipona.........! Mimi ikifika Jumatao saa 11 alfajiri tu naenda kufungua Kanisa.

Kuna siku nikamuuliza Padre, nikamwambia naona anafanya jambo jema kusaidia Wagonjwa, mbona anafanya usiku na Kwa Siri wakati watu wanaohitaji msaada ni wengi.....!?

Akanambia Kanisa Katoriki haliruhusu sisi Mapadre kufanya ninachofaya, kama Jimbo wakigundua watanitoa hapa na kunisimamisha....!
Nikabaki na maswali mengi sana.

Sasa kile alichokua anafanya Padre ndiyo Roho Mtakatifu anataka, Roho Mtakatifu anataka kutumika, na kile Kanisa Katoriki linafanya ndiyo Kufifisha Kazi ya Roho Mtakatifu.
 
ngoja namim niulize;-
  • lile sanduku lilikua na nin ndani?
  • kwa sasa lile sanduku lile lipo wapi? na linatumikaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom