Naombeni msaada kuhusu huu utata ulipo kwenye dini

Naombeni msaada kuhusu huu utata ulipo kwenye dini

Hao unaowaomba msaada kuhusu utata wa dini wana utata zaidi kuliko hata dini
 
Wengine wanasema itakua limefukiwa pale macca
hapa kuna mawil, kama sio macca, huenda ni vatican.
japo hua naskia story yakua, chama cha freemason ndo wanalo na ndo hutumia kufanya makubwa kwan lina siri za Mungu.
 
hapa kuna mawil, kama sio macca, huenda ni vatican.
japo hua naskia story yakua, chama cha freemason ndo wanalo na ndo hutumia kufanya makubwa kwan lina siri za Mungu.
Yote yawezekana kwasababu freemason ilianzishwa na kanisa katoliki ili kutunza mali zake pamoja na kujenga mahandaki ambayo hakuna mtu anaweza kuingia na kutoka bila kuwa na ujuzi wa hilo eneo
 
Ukitaka kuielewa biblia lazima kwanza ujue kuwa Mungu yupo ndiye aliumba vitu vyote na kumweka mwanadamu aitawale dunia.Usisome biblia kama kitabu cha hadidhi wala usifanye utafiti wa maneno ya kitabu kama ni kweli au sikweli.Ukifanya hivyo utakosa imani ambayo inatuunganisha na Roho mtakatifu.Kuelewa kunahitaji imani kwanza kwamba Yesu ni mwokozi wetu.
In short mwambie kwamba akitaka kuilewa Biblia yeye ajitoe ufahamu awe zuzu, maana kuunganishwa na Roho Takatifu ni "Theomania"...
 
Yote yawezekana kwasababu freemason ilianzishwa na kanisa katoliki ili kutunza mali zake pamoja na kujenga mahandaki ambayo hakuna mtu anaweza kuingia na kutoka bila kuwa na ujuzi wa hilo eneo
anhaa kumbe, bas yawezekana freemasons walilitapeli kwa kanisa katorik walipojitenga na kuanzisha chama chao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom