mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
KombanwaaaaaNipo Japan
KombanwaaaaaNipo Japan
Mimi piaMm naitaji baiskeli za mtumba
Kwanfumo gani kati ya hii mifumo miwili.Oya mm naitaji tupige kaz kama vip wew njoo bongo tujadiliane namna bora ya kufanya kazi na promotion ya kaz yt
Kwajili ya biashara au matumizi yako?Mm naitaji baiskeli za mtumba
Upotevu kukaa muda mrefu undanganyifu wa bei,upangaji wa bei niambulia story tu siwezi kurudia tena kufanya biashara kwa nfumo huu.Kwaiyo vitu vilikua vinakaa mda mrefu bila kupata wateja
Tuanze na mim kwenye baiskeliUpotevu kukaa muda mrefu undanganyifu wa bei,upangaji wa bei niambulia story tu siwezi kurudia tena kufanya biashara kwa nfumo huu.
Baada ya kukaa nakutuliq akili nimegundua digital Markiting ni nfumo mzuri sana kwenye biashara kama hizi
Nimugundua mambo yafutayo
1.Unauza biashara kabla ya ku derivery, unakwepa gharama nyingi sana usumbufu wewe kazi yako ni ku Derivery kwa wateja wako mzigo ukifika.
2.Faida nyingine kwa upande wa wateja wangu kama nitatumia nfumo huu ukakubalika watapata bidhaa kwa bei nafuu sana kulingana wingi wa manunuzi kwa mkupuo moja.
3.Huu nfumo unaongeza ajira za mtandaoni nfano naweza kuajiri watu bila kukutanao wakafanya kazi na kulipwa kwanjia za online.
Kunafaida nyingi sana
Namba 5. Ya kudumu kwenye imani sijakuelewa kwenye imani hipi?kwa experience niliyopata mda mchache kwenye hii field napenda nishauri mambo yafiatayo.
1. ufanye research ya vitu ambavyo ni fast moving kwa huku tz na bei zake. hapa ni lazima ukileta mzigo huku mtu aone kweli kuna unafuu wa bei na sio kuplace high price kwasababu unavitu quality.
2. ni lazima uwe na mtaji wa kutosha wewe binafsi. hii itasaidia kutuma mzigo kwa wakati. i.e wateja wachache watakaoagiza mizigo yao haitakaa mda mrefu kusubiri order za watu wengine. watanzania wengi wanapenda uharaka hasa kwenye hii tasnia ya biashara za nje.
3. muhimu kuwa na chombo cha uhakika cha kupromote bidhaa zako ama biashara yako ya kuagizia watu vitu kutoka japan. hapa ndo kwenye uchawi wa biashara ukiweza hii sehemu, wateja watamiminika.
4. agent mzuri wa kuclear contena yako bandalini, kuna mda vitu ukifanya mwenyewe kuna utashi na kujuana huwa vinapungua, tafuta agent ambaye hatokuwa na charges kubwa na mwenye uzoefu.
5. dumu katika imani, kuna muda Mungu anaamua tu kukuangusha hata utumie mbinu gani kujiinua, ni kutwanga maji kwenye kinu.
IMANI MI KUKIRI KWAMBA YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKONamba 5. Ya kudumu kwenye imani sijakuelewa kwenye imani hipi?
uwe mtu unayeishi katika maisha ya kumpendeza Mungu.Namba 5. Ya kudumu kwenye imani sijakuelewa kwenye imani hipi?
Asante kwa ushauri.IMANI MI KUKIRI KWAMBA YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO
Pcs ngapi?Mimi pia
Nirekebishe wapi naomba ushauri nifure kipi niongeze kipi badala ya kuingea jumla jumla kwamba irekebishwe.website yako haiko poa , sikiliza ushauri ireirekebishe
Ramani ya kufika hapa, kila kitu kiko kwenye website,kuna baadhi ya taarifa uwezi kuziona bila kuwa registered kwenye website.Naomba Ramani ya kufika Huko
Web inaitwajeRama ya kufika hapa, kila kitu kiko kwenye website,kuna baadhi ya taarifa uwezi kuziona bila kuwa registered kwenye website.