Naomba ushauri juu ya hii biashara ya kuagiza bidhaa mchanganyiko kutoka Japan

Jonsonjohn

JF-Expert Member
Nov 19, 2019
291
334
Miaka mitano iliopita nilifungua website ya kuagiza bidhaa mbalimbali kwanjia ya mtandao bahatimbaya sikupata wateja wakutosha nilikutana na changamoto nyingi sana
1. Watu wengi niwaoga kutapeliwa 2.Baadhi ya watu wanataka vitu vya bei rahisi sana bila kujali ubora.
3.Mtu mwingine anataka akilipia Engine yake moja hataki kujua habari za usafiri wa kushare anata ipakiwe hiyi Engine moja container liondoke.
4.Mteja analipia mashine moja ya kuchonga vyuma baada ya miezi miwili ndio unapata mtu mwingine anataka Engine ya boat a Gari nikashindwa.

nikashindwa kwasabu ya hizo changamoto sikutaka kuingia kwenye migogoro na wateja,ikabidi niachane na hii biashara niombe kazi ya kuajiriwa nikafanya,kwasasa nimechoka kufanya kazi za kuajiriwa je nikianza tena hii biashara nitumiembinu gani ili nisipitie kwenye hizo changamoto?


Hapa Kuna bidhaa nyingi sana za mtumba zenye ubora tatizo nikupata wateja wakutosha kununua bidhaa mbalimbali za kujaa kwenye container angalau 20ft
www.digxam.site fungua hii site Kisha jisajili baada ya kujisajili nipe maoni yako niambie tatizo lake nini.
 
Miaka mitano iliopita nilifungua website ya kuagiza bidhaa mbalimbali kwanjia ya mtandao bahatimbaya sikupata wateja wakutosha nilikutana na changamoto nyingi sana
1. Watu wengi niwaoga kutapeliwa 2.Baadhi ya watu wanataka vitu vya bei rahisi sana bila kujali ubora.
3.Mtu mwingine anataka akilipia Engine yake moja hataki kujua habari za usafiri wa kushare anata ipakiwe hiyi Engine moja container liondoke.
4.Mteja analipia mashine moja ya kuchonga vyuma baada ya miezi miwili ndio unapata mtu mwingine anataka Engine ya boat a Gari nikashindwa.

nikashindwa kwasabu ya hizo changamoto sikutaka kuingia kwenye migogoro na wateja,ikabidi niachane na hii biashara niombe kazi ya kuajiriwa nikafanya,kwasasa nimechoka kufanya kazi za kuajiriwa je nikianza tena hii biashara nitumiembinu gani ili nisipitie kwenye hizo changamoto?


Hapa Kuna bidhaa nyingi sana za mtumba zenye ubora tatizo nikupata wateja wakutosha kununua bidhaa mbalimbali za kujaa kwenye container angalau 20ft
Wewe upo japan? Kuna bidhaa gani usable ulizoziona huko?
 
Miaka mitano iliopita nilifungua website ya kuagiza bidhaa mbalimbali kwanjia ya mtandao bahatimbaya sikupata wateja wakutosha nilikutana na changamoto nyingi sana
1. Watu wengi niwaoga kutapeliwa 2.Baadhi ya watu wanataka vitu vya bei rahisi sana bila kujali ubora.
3.Mtu mwingine anataka akilipia Engine yake moja hataki kujua habari za usafiri wa kushare anata ipakiwe hiyi Engine moja container liondoke.
4.Mteja analipia mashine moja ya kuchonga vyuma baada ya miezi miwili ndio unapata mtu mwingine anataka Engine ya boat a Gari nikashindwa.

nikashindwa kwasabu ya hizo changamoto sikutaka kuingia kwenye migogoro na wateja,ikabidi niachane na hii biashara niombe kazi ya kuajiriwa nikafanya,kwasasa nimechoka kufanya kazi za kuajiriwa je nikianza tena hii biashara nitumiembinu gani ili nisipitie kwenye hizo changamoto?


Hapa Kuna bidhaa nyingi sana za mtumba zenye ubora tatizo nikupata wateja wakutosha kununua bidhaa mbalimbali za kujaa kwenye container angalau 20ft

Wewe Uko wap kwa sasa?
 
Wewe upo japan? Kuna bidhaa gani usable ulizoziona huko?
Kunabidhaa nyingi sana kuanzia vifaa vya electronics kama Pcs,Simu,Ps,TV

Upanda wa vifaa vya officen hard copy machines,printers,

Upanda wa hospital pia Kuna vifaa vingi mno.

Spare za Magari Mpya na used,Magari pia,Mashine za ndogo na kubwa za kujenzi wa barabara nk

Baharini pia kuna boat,Engine za boat vifaa vya uvuvi vitu ni vingi sana tatizo ni hizo changamoto nilizozibainisha hapo.
 
Kunabidhaa nyingi sana kuanzia vifaa vya electronics kama Pcs,Simu,Ps,TV

Upanda wa vifaa vya officen hard copy machines,printers,

Upanda wa hospital pia Kuna vifaa vingi mno.

Spare za Magari Mpya na used,Magari pia,Mashine za ndogo na kubwa za kujenzi wa barabara nk

Baharini pia kuna boat,Engine za boat vifaa vya uvuvi vitu ni vingi sana tatizo ni hizo changamoto nilizozibainisha hapo.
pakia mizigo kwenye kontena tunakuja kuuzia hukuhuku. mbinu nyingine chukua hii. ukija bongo tafuta mbia mmoja mgeni "mweupe" wapo wafilipino wapo wazungu njaa. watz wanakuamini sana wakiona mgeni wa nje ktk jambo lako.
mm zamani nilikua na mfilipino jamaa alfanya nifanye biashara kiwepesi sana.
wateja walimuamini sana akiongea imo.
maana watz wana prefer quantity over quality..
 
pakia mizigo kwenye kontena tunakuja kuuzia hukuhuku. mbinu nyingine chukua hii. ukija bongo tafuta mbia mmoja mgeni "mweupe" wapo wafilipino wapo wazungu njaa. watz wanakuamini sana wakiona mgeni wa nje ktk jambo lako.
mm zamani nilikua na mfilipino jamaa alfanya nifanye biashara kiwepesi sana.
wateja walimuamini sana akiongea imo.
maana watz wana prefer quantity over quality..
Hiyo biashara nilifanya ikuwa mwaka 2014 nilipakia container nikalipia ushuru likatoka staki hata kukumbuka siwezi kupakia mzigo na kutuma,bora niendele kufanya kazi.
 
Miaka mitano iliopita nilifungua website ya kuagiza bidhaa mbalimbali kwanjia ya mtandao bahatimbaya sikupata wateja wakutosha nilikutana na changamoto nyingi sana
1. Watu wengi niwaoga kutapeliwa 2.Baadhi ya watu wanataka vitu vya bei rahisi sana bila kujali ubora.
3.Mtu mwingine anataka akilipia Engine yake moja hataki kujua habari za usafiri wa kushare anata ipakiwe hiyi Engine moja container liondoke.
4.Mteja analipia mashine moja ya kuchonga vyuma baada ya miezi miwili ndio unapata mtu mwingine anataka Engine ya boat a Gari nikashindwa.

nikashindwa kwasabu ya hizo changamoto sikutaka kuingia kwenye migogoro na wateja,ikabidi niachane na hii biashara niombe kazi ya kuajiriwa nikafanya,kwasasa nimechoka kufanya kazi za kuajiriwa je nikianza tena hii biashara nitumiembinu gani ili nisipitie kwenye hizo changamoto?


Hapa Kuna bidhaa nyingi sana za mtumba zenye ubora tatizo nikupata wateja wakutosha kununua bidhaa mbalimbali za kujaa kwenye container angalau 20ft
Tumia mitandao ya jamii na usiforcw sana soko la tz..kuwa global
 
Back
Top Bottom