Naomba ukaribisho

Naomba ukaribisho

Maswali kwa mgeni
1. Huko kwenu kuna changamoto ya maji, umeme, matibabu,barabara?
2. Vipi utekaji upo au unauskia tu kwenye vyombo vya habari?
3. Serikali ya sasa unaionaje ila kama huhusiki na siasa ruka hili swali ujibu ni kwa nini umesema kuwa utafanya kilichokuleta?
4. Una matusi kilo ngapi ulokuja nayo? Maana humu lazima utukanane na utukanwe ndo mambo yasonge.
5. Makebo unayo kiasi au ni namba 1 iliyochangamka i mean upo d au p
Jibu hayo kwanza uende lunch urudi tuendele coz sio siri kuna kafeelings flani unapo fungua uzi na watu wanacoment unaweza hata ukasahau kula.
😁😁😁 namba tano umetisha

secretarybird
 
Hello habarini mimi ni mgeni kwenye hii forum japo nilikua nikiiona siku nyingi hivyo basi nimeamua kuji register Rasmi ili niwe na uwezo wa ku reply kwenye mada zenu naombeni mnipokee kwa ukarimu
Aisee.
 
Hello habarini mimi ni mgeni kwenye hii forum japo nilikua nikiiona siku nyingi hivyo basi nimeamua kuji register Rasmi ili niwe na uwezo wa ku reply kwenye mada zenu naombeni mnipokee kwa ukarimu
Karibu sana kilingeni, jisikie upo nyumbani.
 
Back
Top Bottom