Pumpkin girl
Senior Member
- Jun 24, 2026
- 148
- 394
- Thread starter
- #241
Duh sikujua mbona kaniuliza kama ninayo makubwa, hebu nifafanulieNi jina la member mmoja hapa jamvini🤣🤣..!
Duh sikujua mbona kaniuliza kama ninayo makubwa, hebu nifafanulieNi jina la member mmoja hapa jamvini🤣🤣..!
acha uoga weweHmm inatosha sana kutokuja huko!
Wazee wa kazi ndani ya mjengoUtawekwa!!
ahaa! nilielewa tofauti, nilijua the colour of makebo😆Jamni Kwan haujui pumpkin ni nini?
Kwani makebo ni nini etahaa! nilielewa tofauti, nilijua the colour of makebo😆
Daah kumbe ni biashara tena maarufu tuuBaada ya serasin kushtukiwa ni mbaba sasa mmetujia na maboga.
NIwe mkweli napenda hela.Kama hii biashara inalipa nipeni code na mimi nijiingize.😃😃💰
So tujiandae kuona mfululizo wa mibaba ikiandika nyuzi za kumlilia da kiboga ?😃
Hivi bado nauli zinatumwa huku?
Nasemaje,you people have my full blessings.Wapigeni.Nauli ya mwanaume mjinga ni yenu kisheria.Chukueni hela hizo.Wakishtukia boga lina mayai mawili tunakuja na sweet potato.Tunawapiga tena😃💰
Anywaz, pumpkin gal welcome to ze weld😃
Thanks much ila Sijaelewa hayo maneno ya juu Una maanisha nini pridaBaada ya serasin kushtukiwa ni mbaba sasa mmetujia na maboga.
NIwe mkweli napenda hela.Kama hii biashara inalipa nipeni code na mimi nijiingize.😃😃💰
So tujiandae kuona mfululizo wa mibaba ikiandika nyuzi za kumlilia da kiboga ?😃
Hivi bado nauli zinatumwa huku?
Nasemaje,you people have my full blessings.Wapigeni.Nauli ya mwanaume mjinga ni yenu kisheria.Chukueni hela hizo.Wakishtukia boga lina mayai mawili tunakuja na sweet potato.Tunawapiga tena😃💰
Anywaz, pumpkin gal welcome to ze weld😃
Kuna member, pia ni matuvitu fulani ivi pendwa apa jeiefu, just stay active u will know them !Kwani makebo ni nini et
OkKuna member, pia ni matuvitu fulani ivi pendwa apa jeiefu, just stay active u will know them !
6. Sina gariUkito lunch ujibu haya tumalize.
6. Vipi una gari aina gani mafundi wa humu wapate kazi ukihitaji.
7. Ukikasirika unafika °c ngapi
8. Mtu akikuudhi humu utampa tusi gani au utamfanyaje?
9,una mchumba au mme kwa sasa ama ni single mothers uloachiwa shimo kubwa moyoni (ila sio moyon tunajua mishimo inapoachwa)
10. Tutaendeaje
ok no.5 uliza mtu yeyote atakwambia ucjali1. Sio sana ila changamoto zipo
2. Nausikia ila sijawahi kushuhudia kwa macho yangu
3.sielewi sana kuhusu siasa,, kilicho nileta Humu nimekuja kujifunza na zaidi niweze ku reply kwenye mada maana as a guest hauna uwezo wa kureply zaidi ya kusoma pekeake
4. Matusi yapo japo siwezi kuyapa kipaumbele, nitakupokea namna ulivyo kuja
5.sijaelewa Makebo ni manini
Naomba nikuulize wewok no.5 uliza mtu yeyote atakwambia ucjali
Karibu jukwaani! Mimi ndo BABU NYAU mwenyeji wa Jamii Forums.. 🙏Hello habarini mimi ni mgeni kwenye hii forum japo nilikua nikiiona siku nyingi hivyo basi nimeamua kuji register Rasmi ili niwe na uwezo wa ku reply kwenye mada zenu naombeni mnipokee kwa ukarimu
no. 10 typing error i meant tutaendelea and namba 5. Wewe tag hilo neno makebo jibu litakuja lenyewe6. Sina gari
7. Mpka nikasirike ndo nitajua
8. Refer to no 7
9. Ndio nina mchumba
10. Sijaelewa
ukiniuliza mim na ndo nakufanyia interview si ntakua nimevujisha mtihani kipenzNaomba nikuulize wew