Naomba ukaribisho

Naomba ukaribisho

Kwanza kabisa nikupe pole, nilimkataza akasema amekuvumila sana na hamja Anza leo

Nikamwambia baasi humu ni matani tuu, akasema hataki kusikia

But, pia you're wise to not react.

She's such a badass akivurugwa..

Pole sana rafki
Hamna mwanamke hapa JF ambae hajawahi kuhisiwa ni mwanaume.Mi ikitokea mtu kanihisi wa kiume wala sijali wala siion hekima ya kutukanana mitandaon kwanza sina talanta ya matusi.Hv mfano niseme wewe ni mwanamke na unajijua ni mwanaume kitakuviruga kitu gani iwapo wewe kujulikana ni wa jinsia fulani hakukupi maslahi yeyote.?
 
Hamna mwanamke hapa JF ambae hajawahi kuhisiwa ni mwanaume.Mi ikitokea mtu kanihisi wa kiume wala sijali wala siion hekima ya kutukanana mitandaon kwanza sina talanta ya matusi.Hv mfano niseme wewe ni mwanamke na unajijua ni mwanaume kitakuviruga kitu gani iwapo wewe kujulikana ni wa jinsia fulani hakukupi maslahi yeyote.?
Sure kabisa
Na wamemuita wengi tu hata mimi nilishawahi kumtania ila sijui kaona amalizie hasira zoote kwako?
 
Back
Top Bottom