Naomba ukaribisho

Naomba ukaribisho

SIna hamu yakuongelea tena haya mambo mkuu.Nimefatwa pm nimetukanwa matusi sijawahi yasikia😃😃😃.

Hapa sijui nilie au nicheke.😃😃
Niseme tu leo kama matusi yangekua yananukisha hata nzi wangenikimbia kwa kunuka.Mwanaume kanichamba,kanichambua,kanichimba,kanichachua.Aisee.Pm yangu imeoza kwa matusi.Sijui hata zile hasira ni za nini.😃😃😃

KIla nikifikiria ile mitusi nacheka kama mjinga.
Mwanaume gani anachamba?
Mimi najua wanaochamba ni wanawake kumbe hata wanaume wapo.
 
Back
Top Bottom