Nyie endeleeni kuwaona kama ndege wa kawaida tu... Sio lazima kila mtu afuge fisi.
Nyie endeleeni kuwaona kama ndege wa kawaida tu... Sio lazima kila mtu afuge fisi.
Mi namshangaa huyu jamaa, wazungu wanatoka kwao, kuja kuwatembelea wanyama polini hivi ni kweli hajui.Wazungu mbwa na paka wanalala nao Hadi vitandani
Yule jamaa banda lake dogo sana. Ngija nitaenda pale keshoHao hapo weupeView attachment 1464902
Kwa hio ni mapambo tuKuna wafugaji kibao Botswana wanap hao tausi na unaweza pata mayai yake ukaangulisha, hata Zambia wapo wengi sana wanauzwa
Got itWanaliwa sana ingawa wanafiti sana kwenye mapamboView attachment 1464904View attachment 1464905
Watamu sana. Nyama teke teke kama kono kono.je wanaliwa...?
DuuNasubiri kwa hamu sana majibu kutoka kwa wahusika wa nyara za taifa kwani mimi nawatamani sana tangu nikiwa mtoto kuna wakati nilitamani kukamata vifaranga waliokuwa wanazagaa kwenye bustani ya maua pale shabani robert lakini wahudumu wa pale miaka hiyo ya 70s wakanionya kuwa ningesababisha wazazi wangu wafungwe kama ningepeleka vifaranga hao nyumbani.
Kama alijua anafamilia kwanini hakufanya kazi yake ipasavyo? Au ndiyo mazoea unasikilia sikio hili lingine linatoa nje maagizo? Uzembe wake atafanya kazi anayo iwezaSasa wewe kumkubali ndio kunanifanya mie Nina roho ya kishetani? Sikiliza hii clip hapo chini ndio utajua roho ya kishetani anayo nani.
Msikilize JPM kisha sikiliza majibu ya JK kuhusu huyo mtumishi ambaye alikuwa na familia na ndugu wanao mtegemea. Kama una akili utaelewa kitu, lakini kama unatokea kundi lile la kusukumwa na hisia huwezi elewa
View attachment 1464004
Haaaaa kwahiyo mwanaume akiitwa tausi ni ugomvi mkubwaJiulize kwanini ni ndege ambaye jinalake linatumika kuita watoto wakike? Umewahi sikia mrembo anaitwa Mwewe, Mbuni,kunguru au Bata?
Kaka wapo Kenya hao aliopewa na Mzee MAGU walikuwa wanini!?Tausi wanauzwa mkuu ziko breeds aina mbili kuna weupe na weisi, tausi wanfugwa dana huko Duniani, Kenya hapo ni wengi tu, sisi ndo tuko lockdown tunona ni vitu vya ajabu
Tausi ni watamu Sana kuliko ndege wa aina yoyote. Ndio maana ni special meal kwa ajili ya marais tu. Nyie wengine kuleni bundi🦉🦉Nasubiri kwa hamu sana majibu kutoka kwa wahusika wa nyara za taifa kwani mimi nawatamani sana tangu nikiwa mtoto kuna wakati nilitamani kukamata vifaranga waliokuwa wanazagaa kwenye bustani ya maua pale shabani robert lakini wahudumu wa pale miaka hiyo ya 70s wakanionya kuwa ningesababisha wazazi wangu wafungwe kama ningepeleka vifaranga hao nyumbani.
Kaka wapo Kenya hao aliopewa na Mzee MAGU walikuwa wanini!?
Sijui kwanini watu wanapenda kukuza vitu vidogo kufanya mambo kuwa complicated unnecessarily hivi? Kabla ya Uhuru kulikuwa na tausi Temeke veterinary farm.
Uganda pia walikuwepo Makerere University na sehemu zingine.
Ndege hawa asili yao ni India na wako aina chache tofauti lakini sio rare species kama watu wanavyofikiri. Tanzania na hapa Dar es salaam kulikuwa na aina nyingi za ndege lakini baadhi ya hao wametoweka kutokana na kushambuliwa na kunguru mweusi.
Ingefaa hatua stahiki zichukuliwe kumwondoa kunguru mweusi ili kurudisha vizazi vya ndege wengine kama tetele, kasuku wadogo, shorwe, sparrows, dudumizi, kwasa, hata mwewe na kipanga.
JPM ameonyesha mfano kwa wataalamu wetu wa SUA na vyuo vinginevyo wafanyie kazi kurudisha ndege wa asili wa Tanzania katika miji yetu kwa faida ya vizazi vijavyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni chafu sana ila bila wao lingekuwa chafu mara elfuHivi jiji ni safi?