Naomba kujuzwa siri za Tausi kufugwa Ikulu

Kwa nini maraisi wastaafu hawakujichukulia kupeleka kwao katika miaka yote waliyokaa Ikulu? Nyerere miaka 24, Mwinyi, Mkapa na Jk miaka kumikumi?
Huyu kuhamia tuu Ikulu ndani ya miaka miwili kesha beba na kupeleka Chato huku wengine akiwagawa hadi Kenya?
Huu ni mfano mbaya sana katika ubinafsi na kutokuaminika unapopewa dhamana ya Mali za kuziangalia. Jee akipewa hiyo miaka 10 atachukua mangapi? Ameshajimilikisha mangapi? Tuwe making na tunao wakabidhi Mali za taifa. Na kama uaminifu umepotea tuchukue hatua. Hata kuwapa wastaafu ni funika kombe kuficha aibu
Acha wivu huyu kawakuta wachache tena wameterekezwa wajiokotee chakula na kutaga hovyo vichakani na mayai kuliwa na nguchiro na kenge. Muhudumu msukuma akiagizwa na kikwete anunue incubetor azalishe wawe wengi kagoma.

Yeye kafika kamfukuza mtunza tausi kaweka mtunzaji, kaleta incubator, kazalisha na ziada. Wengine ka export, wengine kawagawia watangulizi wake, wengine kajigawia wegine zaidi ya 1400 kapeleka ikulu ya chamwino bado stock ya magogoni ipo ya kutosha.

Ulitakaje?. Acha roho ya kishetani. Mimi huyu JPM namkubali sana. Sasa aruhusu kila anayetaka kufuga na ana eneo afuge tuu shida ni nini kwani?.
 
Aisee, we ulisoma Madrasat Faswahiya kule Pangani Tanga!?
Utoto bhana una shda sana nakumbuka wakati nipo mdogo nasoma madrasa tulikuwa tunaweka Yale manyoya kwenye juzuu alafu tunasema huyu ni tausi wangu kesho anazaa .
 
Acha wivu huyu kawakuta wachache tena wameterekezwa wajiokotee chakula na kutaga hovyo vichakani na mayai kuliwa na nguchiro na kenge. Muhudumu msukuma akiagizwa na kikwete anunue incubetor azalishe wawe wengi kagoma. Yeye kafika kamfukuza mtunza tausi kaweka mtunzaji, kaleta incubator, kazalisha na ziada. Wengine ka export, wengine kawagawia watangulizi wake, wengine kajigawia wegine zaidi ya 1400 kapeleka ikulu ya chamwino bado stock ya magogoni ipo ya kutosha. Ulitakaje?. Acha roho ya kishetani. Mimi huyu JPM namkubali sana. Sasa aruhusu kila anayetaka kufuga na ana eneo afuge tuu shida ni nini kwani?.
Sasa wewe kumkubali ndio kunanifanya mie Nina roho ya kishetani? Sikiliza hii clip hapo chini ndio utajua roho ya kishetani anayo nani.

Msikilize JPM kisha sikiliza majibu ya JK kuhusu huyo mtumishi ambaye alikuwa na familia na ndugu wanao mtegemea. Kama una akili utaelewa kitu, lakini kama unatokea kundi lile la kusukumwa na hisia huwezi elewa

 
Greyson msigwa Ana majibu
Sijui kwanini watu wanapenda kukuza vitu vidogo kufanya mambo kuwa complicated unnecessarily hivi? Kabla ya Uhuru kulikuwa na tausi Temeke veterinary farm.
Uganda pia walikuwepo Makerere University na sehemu zingine.

Ndege hawa asili yao ni India na wako aina chache tofauti lakini sio rare species kama watu wanavyofikiri. Tanzania na hapa Dar es salaam kulikuwa na aina nyingi za ndege lakini baadhi ya hao wametoweka kutokana na kushambuliwa na kunguru mweusi.

Ingefaa hatua stahiki zichukuliwe kumwondoa kunguru mweusi ili kurudisha vizazi vya ndege wengine kama tetele, kasuku wadogo, shorwe, sparrows, dudumizi, kwasa, hata mwewe na kipanga.

JPM ameonyesha mfano kwa wataalamu wetu wa SUA na vyuo vinginevyo wafanyie kazi kurudisha ndege wa asili wa Tanzania katika miji yetu kwa faida ya vizazi vijavyo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wewe kumkubali ndio kunanifanya mie Nina roho ya kishetani? Sikiliza hii clip hapo chini ndio utajua roho ya kishetani anayo nani.

Msikilize JPM kisha sikiliza majibu ya JK kuhusu huyo mtumishi ambaye alikuwa na familia na ndugu wanao mtegemea. Kama una akili utaelewa kitu, lakini kama unatokea kundi lile la kusukumwa na hisia huwezi elewa

View attachment 1464004
Sasa hapo kuna shida gani mkuu si amesimamishwa kwa kushindwa kuwajibika au?
 
tausi tausi tu hakuna nyuma ya pazia wala mbele ya pazia izo n mila na utamaduni wa kiafrika ambayo wenzetu wa dunia ya kwanza wanatushangaa tunapokaa na kuanza kukabidhiana mambo ambayo hana maana kwa dunia ya sasa
Wazungu mbwa na paka wanalala nao Hadi vitandani
 
I think ni pambo tu. Njoo Moshi maeneo ya SHANT TOWN kuna watu kibao tu wanawafuga. Muasisi wa ufugaji wa tausi katika eneo la Shant Town ni mzungu mmoja almaarufu BUNDI.
Ukisema hivyo sidhani kama jamaa anakuelewa, unamwambia aje moshi so akifika what next?

Awaone na kuondoka au apate maelezo ya kina?
 
Tausi sio ndege wa asili wa Tanzania,unachanganya mambo.
Sijui kwanini watu wanapenda kukuza vitu vidogo kufanya mambo kuwa complicated unnecessarily hivi? Kabla ya Uhuru kulikuwa na tausi Temeke veterinary farm.
Uganda pia walikuwepo Makerere University na sehemu zingine.

Ndege hawa asili yao ni India na wako aina chache tofauti lakini sio rare species kama watu wanavyofikiri. Tanzania na hapa Dar es salaam kulikuwa na aina nyingi za ndege lakini baadhi ya hao wametoweka kutokana na kushambuliwa na kunguru mweusi.

Ingefaa hatua stahiki zichukuliwe kumwondoa kunguru mweusi ili kurudisha vizazi vya ndege wengine kama tetele, kasuku wadogo, shorwe, sparrows, dudumizi, kwasa, hata mwewe na kipanga.

JPM ameonyesha mfano kwa wataalamu wetu wa SUA na vyuo vinginevyo wafanyie kazi kurudisha ndege wa asili wa Tanzania katika miji yetu kwa faida ya vizazi vijavyo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
tausi tausi tu hakuna nyuma ya pazia wala mbele ya pazia izo n mila na utamaduni wa kiafrika ambayo wenzetu wa dunia ya kwanza wanatushangaa tunapokaa na kuanza kukabidhiana mambo ambayo hana maana kwa dunia ya sasa
Kila nchi ina mila na desturi zake, na hawa ndege ni dunia ya ngapi?
images (74).jpeg
images (71).jpeg
images (72).jpeg
images (73).jpeg
 
Back
Top Bottom