Je Polisi wameishiwa mbinu mpaka wanatumia waganga wa kienyeji kubaini wahalifu? Pale CCP wanafundishwa pia ulozi?

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,845
Mwezi uliopita kulitokea wizi wa ng'ombe wa Bw.Said Bafiki mkazi wa Nyamakala, wilayani Kasuku. Wakaletwa waganga (maarufu kama lambalamba) ili kubaini wahalifu. Ramli ilionesha vijana 6 wamehusika.

Vijana hao walikamatwa na polisi kwa tuhuma za wizi na walikaa wiki moja rumande wakipigwa na kuteswa bila kupelekwa mahakamani. Wananchi wakaandamana kushinikiza wapelekwe mahakamani. Polisi wakaahidi kuwapeleka tar.11/12 /2023 lakini hawakuwapeleka.

Kufuatia hali hiyo waananchi wakaamua kukata mti na kufunga barabara kuu ya kuingia mjini Kasulu kama njia ya kushinikiza vijana hao wapelekwe mahakamani au waachiwe huru. DC akaagiza vijana hao wasakwe.

Polisi wakaingia mtaani usiku wa manane kuwasaka. Wakaingia nyumba ya Bibi Tausi Ntaburugwa (65) ambaye ni mjane na mgonjwa wa sukari na presha. Bibi huyo anaishi na mabinti zake watatu ambao ndio wanaomuuguza. Polisi walipofika waliuvunja mlango na kuingia ndani, hali ambayo ilizua taharuki.

Walidai wanasaka vijana waliofunga barabara. Bi Tausi akasema nyumbani kwake hakuna vijana, anaishi na mabinti zake watatu. Polisi wakapita vyumbani na kusachi. Hata hivyo hawakumpata mtu yeyote wala kitu chochote chenye kuashiria uhalifu.

Polisi wakaanza kufanya uharibifu katika nyumba hiyo. Wakapiga risasi za moto juu na kuharibu paa la nyumba. Wakavunja TV, vioo vya madirisha, mambomba ya maji etc.

Kisha wakawapiga wale mabinti. Mama yao alipojaribu kuwatetea walimchania nguo na kumjeruhi na kitako cha bunduki mgongoni. Inadaiwa pia walipora vitu mbalimbali katika nyumba hiyo ikiwemo simu za mkononi na pesa taslimu.

#MyTake:
1. Je Polisi wameishiwa mbinu mpaka wanatumia waganga wa kienyeji kubaini wahalifu? Pale CCP wanafundishwa pia ulozi?

2. Polisi kwa "ujinga wao" wameangalia matokeo badala ya chanzo. Barabara ilifungwa ili kushinikiza watuhumiwa watendewe HAKI. Either wapelekwe mahakamani au waachiwe huru. Sio kuwashikilia tu.

3. Halafu TV, madirisha na mabomba ya maji vinahusikaje na kufunga barabara? Yani watu wamekata mti wakafunga barabara nyie mnaenda kuvunja TV? Askari kabisa wenye mafunzo? Tafadhali @hamadmasauni shughulika na hawa wanaotuharibia jeshi letu "tukufu" la Polisi. Anza na Kasulu.!
FB_IMG_1703226868685.jpg
FB_IMG_1703226865392.jpg
FB_IMG_1703226871977.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwezi uliopita kulitokea wizi wa ng'ombe wa Bw.Said Bafiki mkazi wa Nyamakala, wilayani Kasuku. Wakaletwa waganga (maarufu kama lambalamba) ili kubaini wahalifu. Ramli ilionesha vijana 6 wamehusika.

Vijana hao walikamatwa na polisi kwa tuhuma za wizi na walikaa wiki moja rumande wakipigwa na kuteswa bila kupelekwa mahakamani. Wananchi wakaandamana kushinikiza wapelekwe mahakamani. Polisi wakaahidi kuwapeleka tar.11/12 /2023 lakini hawakuwapeleka.

Kufuatia hali hiyo waananchi wakaamua kukata mti na kufunga barabara kuu ya kuingia mjini Kasulu kama njia ya kushinikiza vijana hao wapelekwe mahakamani au waachiwe huru. DC akaagiza vijana hao wasakwe.

Polisi wakaingia mtaani usiku wa manane kuwasaka. Wakaingia nyumba ya Bibi Tausi Ntaburugwa (65) ambaye ni mjane na mgonjwa wa sukari na presha. Bibi huyo anaishi na mabinti zake watatu ambao ndio wanaomuuguza. Polisi walipofika waliuvunja mlango na kuingia ndani, hali ambayo ilizua taharuki.

Walidai wanasaka vijana waliofunga barabara. Bi Tausi akasema nyumbani kwake hakuna vijana, anaishi na mabinti zake watatu. Polisi wakapita vyumbani na kusachi. Hata hivyo hawakumpata mtu yeyote wala kitu chochote chenye kuashiria uhalifu.

Polisi wakaanza kufanya uharibifu katika nyumba hiyo. Wakapiga risasi za moto juu na kuharibu paa la nyumba. Wakavunja TV, vioo vya madirisha, mambomba ya maji etc.

Kisha wakawapiga wale mabinti. Mama yao alipojaribu kuwatetea walimchania nguo na kumjeruhi na kitako cha bunduki mgongoni. Inadaiwa pia walipora vitu mbalimbali katika nyumba hiyo ikiwemo simu za mkononi na pesa taslimu.

#MyTake:
1. Je Polisi wameishiwa mbinu mpaka wanatumia waganga wa kienyeji kubaini wahalifu? Pale CCP wanafundishwa pia ulozi?

2. Polisi kwa "ujinga wao" wameangalia matokeo badala ya chanzo. Barabara ilifungwa ili kushinikiza watuhumiwa watendewe HAKI. Either wapelekwe mahakamani au waachiwe huru. Sio kuwashikilia tu.

3. Halafu TV, madirisha na mabomba ya maji vinahusikaje na kufunga barabara? Yani watu wamekata mti wakafunga barabara nyie mnaenda kuvunja TV? Askari kabisa wenye mafunzo? Tafadhali @hamadmasauni shughulika na hawa wanaotuharibia jeshi letu "tukufu" la Polisi. Anza na Kasulu.!View attachment 2849538View attachment 2849539View attachment 2849540

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh ni nini mambo haya!??
 

Jeshi la Polisi ni taasisi inayohitaji marekebisho makubwa, na mengi yanapaswa kuanzia katika mchujo na huko mafunzoni. Kwanza sina hakika kama huko mafunzoni huwa wanafundishwa mambo ya saikolojia.

Polisi wengi wanaamini upolisi ni matumizi ya nguvu nyingi.

Polisi ukimuuliza maswali kidogo tayari unamuona ameanza 'kuchafukwa' anavimba kabisa, hii ni dalili mbaya katika afya ya akili.
 
Hivi polisi wetu akili zao ni sawa kweli?Maana siamini kama mlinzi wa wananchi na Mali zake wanafanya huu upuuzi!!!!Hata wavuta bangi sio hivi,nadhani wanavuta unga.Hivi Serikali inafanya A control substance screaning?Maana tunaona wanachoma ndumu sio unga,usikute usikute.
 
Mwezi uliopita kulitokea wizi wa ng'ombe wa Bw.Said Bafiki mkazi wa Nyamakala, wilayani Kasuku. Wakaletwa waganga (maarufu kama lambalamba) ili kubaini wahalifu. Ramli ilionesha vijana 6 wamehusika.

Vijana hao walikamatwa na polisi kwa tuhuma za wizi na walikaa wiki moja rumande wakipigwa na kuteswa bila kupelekwa mahakamani. Wananchi wakaandamana kushinikiza wapelekwe mahakamani. Polisi wakaahidi kuwapeleka tar.11/12 /2023 lakini hawakuwapeleka.

Kufuatia hali hiyo waananchi wakaamua kukata mti na kufunga barabara kuu ya kuingia mjini Kasulu kama njia ya kushinikiza vijana hao wapelekwe mahakamani au waachiwe huru. DC akaagiza vijana hao wasakwe.

Polisi wakaingia mtaani usiku wa manane kuwasaka. Wakaingia nyumba ya Bibi Tausi Ntaburugwa (65) ambaye ni mjane na mgonjwa wa sukari na presha. Bibi huyo anaishi na mabinti zake watatu ambao ndio wanaomuuguza. Polisi walipofika waliuvunja mlango na kuingia ndani, hali ambayo ilizua taharuki.

Walidai wanasaka vijana waliofunga barabara. Bi Tausi akasema nyumbani kwake hakuna vijana, anaishi na mabinti zake watatu. Polisi wakapita vyumbani na kusachi. Hata hivyo hawakumpata mtu yeyote wala kitu chochote chenye kuashiria uhalifu.

Polisi wakaanza kufanya uharibifu katika nyumba hiyo. Wakapiga risasi za moto juu na kuharibu paa la nyumba. Wakavunja TV, vioo vya madirisha, mambomba ya maji etc.

Kisha wakawapiga wale mabinti. Mama yao alipojaribu kuwatetea walimchania nguo na kumjeruhi na kitako cha bunduki mgongoni. Inadaiwa pia walipora vitu mbalimbali katika nyumba hiyo ikiwemo simu za mkononi na pesa taslimu.

#MyTake:
1. Je Polisi wameishiwa mbinu mpaka wanatumia waganga wa kienyeji kubaini wahalifu? Pale CCP wanafundishwa pia ulozi?

2. Polisi kwa "ujinga wao" wameangalia matokeo badala ya chanzo. Barabara ilifungwa ili kushinikiza watuhumiwa watendewe HAKI. Either wapelekwe mahakamani au waachiwe huru. Sio kuwashikilia tu.

3. Halafu TV, madirisha na mabomba ya maji vinahusikaje na kufunga barabara? Yani watu wamekata mti wakafunga barabara nyie mnaenda kuvunja TV? Askari kabisa wenye mafunzo? Tafadhali @hamadmasauni shughulika na hawa wanaotuharibia jeshi letu "tukufu" la Polisi. Anza na Kasulu.!View attachment 2849538View attachment 2849539View attachment 2849540

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwenze soketi na madirisha walikuwa wanatafuta nini? Au mganga wao aliwaambia vijana wamejificha humo?
 
FB_IMG_17007659062271476.jpg

Ultimate Partners in crime.
Namkizidi kuwasema vibaya wataruhusu au kufanya uhalifu ili muwahitaji na kuonesha kuwa wanafanya kazi.

Shit heads.
 
Back
Top Bottom