Kila nchi ina mila na desturi zake, na hawa ndege ni dunia ya ngapi?
View attachment 1464080View attachment 1464082View attachment 1464083View attachment 1464084
Si bata mzinga tu, bali ni bata mzinga weupe. Kwa jinsi walivyo hawa jamaa hawapendi bata mzinga weusi!Wale ni turkey a.k.a bata mzinga
Ajabu yenyewe huyi tausi apendezaye ni dume so ingekuwa sahihi watoto wakiume waitwe tausiJiulize kwanini ni ndege ambaye jinalake linatumika kuita watoto wakike?
Umewahi sikia mrembo anaitwa Mwewe,Mbuni,kunguru au Bata?
Wewe utakuwa wa longi hata Retired anamfahamu Profesa Kilama.Kitambo sana nlipata mchongo wa kutafuta manyoya ya tausi, Enzi hizo ocean road jengo ni pagale watu walikuwa wanaogopa Kuingia Ndani mule tausi walikuwa wanaacha manyoya yao.
Nikikusanya nlikuwa nawapelekea wazungu Kuwauzia, Kuna siku nkaingia kwenye 18 za walinzi wa NIMR walinzi Walibana Mara Akaja boss wao namkumbka Jina profesa kilama wakawa wanatuhoji.
Nkampa mchakato akaingia line maana tulikuwa machali akasema waachienii Hawa, mbona Watoto wadogo lkn masharp shooter, tukaachiwa.
Ila manyoya yke kwa decoration si mchezo
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Miaka IMEPITA hivi niliwahi waona wanafugwa pale Tabora jirani na National wana ita GAMEWanajf, bila shaka popote linapotajwa jina la ndege aina ya Tausi, basi bila shaka moja kwa moja zinakuja fikra za kuwaza ikulu! Na hii ni kwa sababu, ndege hawa wamekuwa maarufu zaidi kufugwa kule magogoni,na hivyo si rahisi kuwakuta sehemu nyingine kama majumbani au hata katika mbuga zetu!Baba wa Taifa Mwalimu J.K. Nyerere bila shaka ndiye aliyekuwa muasisi wa kuwafuga hawa ndege aina ya Tausi ikulu, na Marais waliofutia wote waliendeleza utamaduni wa kuwafuga na kuwatunza!
Katika awamu hii, Rais Magufuli amekuwa akiwahusudu sana hawa ndege na inaonyesha anawapenda sana! Alimpa Rais wa Kenya, Mh. Kenyata lakini vile vile alimpa masharti baada ya kumpatia!
Katika ikulu mpya inayotengenezwa Dodoma, amehakikisha hawa ndege wanakuwa katika eneo hilo ili kuenzi utamaduni wa kuwafuga ambao ulianzishwa na Baba wa taifa!
Sasa, je hawa ndege tofauti na umbo lao la kuvutia ni sababu gani hawa ndege inawafanya wawe maarufu hivi, kiasi cha kufikia kufugwa tu ikulu?
Ni kwa nini hawa ndege hugawiwa viongozi wakubwa tu, mfano Rais mstaafu Kikwete ametangaza kupewa na Rais Magufuli, pamoja na familia ya Hayati Mwalimu Nyerere?
Je kuna siri gani juu ya hawa ndege inayowafanya watunzwe kwenye maeneo sensitive kiasi hicho?
Vipi, kuna watu binafsi wanaowafuga kama bata, kuku n.k?
Je, raia wa kawaida akitaka kuwafuga, kuna utaratibu wa kufuata ili awapate, na atawapata wapi zaidi ya ikulu? Wanajf, naamini hiki ni kisiwa cha maarifa, na wapo wajuvi wanaojua kuhusu hili, hebu mtutoe tongotongo tafadhali!
Hahaha ...we jamaa umenichekesha sanatausi tausi tu hakuna nyuma ya pazia wala mbele ya pazia izo n mila na utamaduni wa kiafrika ambayo wenzetu wa dunia ya kwanza wanatushangaa tunapokaa na kuanza kukabidhiana mambo ambayo hana maana kwa dunia ya sasa
Hao Tausi wala sio wa kuwalilia, wakijazana usiku hamtalala, wanapiga sana kelele
veep kwa marealle apo shant wapoI think ni pambo tu. Njoo Moshi maeneo ya SHANT TOWN kuna watu kibao tu wanawafuga. Muasisi wa ufugaji wa tausi katika eneo la Shant Town ni mzungu mmoja almaarufu BUNDI.
Hapo sina uhakikaMbona shule ya Secondary Mzizima yupo Tausi au huwa anatoroka toka magogoni?
Kwani kuna tatizo?Wazungu mbwa na paka wanalala nao Hadi vitandani
Wanajf, bila shaka popote linapotajwa jina la ndege aina ya Tausi, basi bila shaka moja kwa moja zinakuja fikra za kuwaza ikulu! Na hii ni kwa sababu, ndege hawa wamekuwa maarufu zaidi kufugwa kule magogoni,na hivyo si rahisi kuwakuta sehemu nyingine kama majumbani au hata katika mbuga zetu!Baba wa Taifa Mwalimu J.K. Nyerere bila shaka ndiye aliyekuwa muasisi wa kuwafuga hawa ndege aina ya Tausi ikulu, na Marais waliofutia wote waliendeleza utamaduni wa kuwafuga na kuwatunza!
Katika awamu hii, Rais Magufuli amekuwa akiwahusudu sana hawa ndege na inaonyesha anawapenda sana! Alimpa Rais wa Kenya, Mh. Kenyata lakini vile vile alimpa masharti baada ya kumpatia!
Katika ikulu mpya inayotengenezwa Dodoma, amehakikisha hawa ndege wanakuwa katika eneo hilo ili kuenzi utamaduni wa kuwafuga ambao ulianzishwa na Baba wa taifa!
Sasa, je hawa ndege tofauti na umbo lao la kuvutia ni sababu gani hawa ndege inawafanya wawe maarufu hivi, kiasi cha kufikia kufugwa tu ikulu?
Ni kwa nini hawa ndege hugawiwa viongozi wakubwa tu, mfano Rais mstaafu Kikwete ametangaza kupewa na Rais Magufuli, pamoja na familia ya Hayati Mwalimu Nyerere?
Je kuna siri gani juu ya hawa ndege inayowafanya watunzwe kwenye maeneo sensitive kiasi hicho?
Vipi, kuna watu binafsi wanaowafuga kama bata, kuku n.k?
Je, raia wa kawaida akitaka kuwafuga, kuna utaratibu wa kufuata ili awapate, na atawapata wapi zaidi ya ikulu? Wanajf, naamini hiki ni kisiwa cha maarifa, na wapo wajuvi wanaojua kuhusu hili, hebu mtutoe tongotongo tafadhali!
Nasubiri kwa hamu sana majibu kutoka kwa wahusika wa nyara za taifa kwani mimi nawatamani sana tangu nikiwa mtoto kuna wakati nilitamani kukamata vifaranga waliokuwa wanazagaa kwenye bustani ya maua pale shabani robert lakini wahudumu wa pale miaka hiyo ya 70s wakanionya kuwa ningesababisha wazazi wangu wafungwe kama ningepeleka vifaranga hao nyumbani.